Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,932
- 27,899
Scammer maskini wewe. Hata Heri uendelee na kuchunga ng’ombe uachane na mambo ya scamming cause you suck at it.Nimebonyeza "show ignored content" Kumbe ni huyo govi. 😂😂😂
Scammer maskini wewe. Hata Heri uendelee na kuchunga ng’ombe uachane na mambo ya scamming cause you suck at it.Nimebonyeza "show ignored content" Kumbe ni huyo govi. 😂😂😂
Are all Tanzanians this foolish?Cost ya Kupaint hizi no ilichukua how much? 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇 👇 Na haya matundu kwenye viti ni kwaajili ya nini?
View attachment 3400244
Your hands are so dry and hard that you can’t dare showing anybody here, no wonder unaiba picha za wanaume wengine ukijifanya ni wewe.
Obviously ukweli umedunga wewe it was needed.Unaumia ukiwa wapi? Mathare ama pipeline?
Things that happen in Tanzania are not done by Tanzanians. Nyinyi kazi yenu ni uchawi, omba omba na kuvuta bangi.Made in Tanzania kwani Tanzania ni ya nani?
All the companies in Tanzania are owned by foreigners from Indians, Arabs, Chinese, Europeans, South Africans to Kenyans. Nyinyi hakuna kitu mnamiliki tofauti na jina la nchi.unafikiri huku kwetu ni kama kwenu mji mnawajngea europeans
Huyo jamaa kwanza hajafanya kitu kipya chochote.Hajui kwamba yeye na hiyo media wanaharibu investment market ya Tanzania. People can just skip Tanzania for reading such articles online. Na ubaya AI chats na google wanacollect all those info online. Mtu akigoogle about investment environment in Tanzania, google wataleta such results
He failed yes in Tanzania but there are successful investors in Tanzania.
Na pia sis watz inabidi media zetu sometimes zifocus na achievements za baadhi ya watz kwenye Tech.
Naona wanaongelea GePG, Bus bora, mwendokasi app, Tausi etc. walipaswa waliodevelop hio mifumo wawe wanapewa platform na media, hii it's inspire vijana wa kitanzania zaidi kudevelop mifumo zaidi ya namna hiyo.
Huyo Ferdinand anajisifia his achievements kama yeye tu. He doesn't care about Tanzania and business space. Anawaharibia Tanzania Investment Center
hata ulie vipi siachii kende 🤣🤣🤣🤣All the companies in Tanzania are owned by foreigners from Indians, Arabs, Chinese, Europeans, South Africans to Kenyans. Nyinyi hakuna kitu mnamiliki tofauti na jina la nchi.
Sisi huwa tunakuhurumia tu. Unavyojitutumua kutaka kujionesha kuwa upo vizuri lakini ukweli watu wote hapa JF wanajua kuwa wewe ni masikini wa kutupwa.Are all Tanzanians this foolish?
Usikute hata Afcon wasi host hawa wakenya.Hivi CHAN itafanyika kweli Kenya? Na haya maandamano?
Naskia GenZ wanapanga maandamano zaidi wiki hii!Usikute hata Afcon wasi host hawa wakenya.
Yanayotokea Kenya yameharibu miundombinu mingi sana hadi ya usafirishaji,pia imeonesha uteterekaji wa kiamani na hapo wamepanga maandamano siku nyingine zaidi.Naskia GenZ wanapanga maandamano zaidi wiki hii!
Hamna CHAN wala AFCON hapo.Hivi CHAN itafanyika kweli Kenya? Na haya maandamano?
Yeah hamna kaka,maana miundombinu ilivyoharibika ni aibu.Hamna CHAN wala AFCON hapo.