Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hajui kwamba yeye na hiyo media wanaharibu investment market ya Tanzania. People can just skip Tanzania for reading such articles online. Na ubaya AI chats na google wanacollect all those info online. Mtu akigoogle about investment environment in Tanzania, google wataleta such results

He failed yes in Tanzania but there are successful investors in Tanzania.

Na pia sis watz inabidi media zetu sometimes zifocus na achievements za baadhi ya watz kwenye Tech.
Naona wanaongelea GePG, Bus bora, mwendokasi app, Tausi etc. walipaswa waliodevelop hio mifumo wawe wanapewa platform na media, hii it's inspire vijana wa kitanzania zaidi kudevelop mifumo zaidi ya namna hiyo.
Huyo Ferdinand anajisifia his achievements kama yeye tu. He doesn't care about Tanzania and business space. Anawaharibia Tanzania Investment Center
Huyo jamaa kwanza hajafanya kitu kipya chochote.

Ni mhuni tu, anayetumia pesa kutafuta soko la bidhaa yake.

Possibility kubwa ya kwenda Kenya, ni kwasababu ndio watumaji wakubwa wa remmitance.

UKweli ndio huo hata kama hasemi.
 
Back
Top Bottom