Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Morogoro inahitaji haswa pale Msamvu!
Msamvu hakuna msongamano wa magari kiasi hicho.
Mie huenda Kila wakati Morogoro mkuu, Msamvu foleni yake hata dakika 5 haichukui,na pale uweke flyover wapi maana Kuna mtawanyiko wa barabara ukikunja kulia Dodoma road,kushoto Iringa road.
Hakuna haja ya flyover pale ila panahitajika kutanuliwa barabara maana ni nyembamba sana.
 
Tanzania ni nchi inayojenga miundombinu kiuhitaji.
Haijengi tu miundombinu kisifa.
Hata hii Dar-es-salaam imejengwa flyover baada ya kuonekana zinahitajika kujengwa.
Mikoa iliyobaki kuna barabara nzuri,pana na bora,hivyo huko hakuna msongamano wa magari hakuhitajiki flyover.
Unadhani sisi kama nyie mwajijengea tu?
Hata ile expressway ya mkopo wanayoringia,TZ ina uwezo kukopa kwa mchina na kutengenezewa zaidi ya ile,ila TZ priority yetu sio show off ambayo haina faida kwa wa hali ya chini,tumefocus kwanza na BRT kuhakikisha inapatikana dar yote
 
Kwa hiyo flyover na interchanges ndo general developments kwako?!

Mkuu Tz haijengi kwa maonyesho wala sifa. Bali zinajengwa kwa uhitaji.
Last month hapa watu wa Eldoret, fifth largest city in kenya waliwekewa traffic lights for the first time and they were trained mpaka ikawa news. Tanzania hadi vijijini huko sehemu kama Babati, katoro nk Kuna traffic lights na ni vitu vya kawaida.

Na sisi tuseme Kenya is not developed because Miji yao Mingi haina traffic lights?
TZ sasa hivi kila shule iliyopo barabarani kuna cross traffic light,kuna siku nikaona kunyan wanamcheka jamaa alipost tiktok pale kinyerezi shule,wakenya si wakaziona zile taa,wakawa wanadai pale ni CBD,kunyan taa za kuvukia ziko mijini tu 😃😃
 
sio kweli kuna sometimes tunabugi sana yani tunachelewa kufanya maendeleo kusubiri maji yatufike shingoni mfano dar es salaam flyover zilichelewa sana tena sana, maji yameshafika shingoni ndio tumekumbuka flyover, tizama barabara zinazojengwa BRT mfano mjini kutoka kamata kwenda airport tunarudia makosa yale yale yakujenga 4 lanes kwa ajili private cars tunaacha nafas kubwa wakat ilitakiwa tujenge hata 6lanes minimum kwa barabara kama hio lakini after 1 yrs tutabomoa tutajenga tena likewise jangwani bridge tunakumbuka shuka kumeshakucha
Katika sector ambayo inahitaji watu serious ni Ujenzi.
Huko TANROADS na wizara ya Ujenzi hakupaswi kuwepo machawa hata kidogo.
Ni sekta ambayo wakiomba pesa ya kurekebisha au kujenga kitu Fulani inabidi itoke chap bila kusubiria hata budget.
Magufuli na wakina Mfugale waliiweza sana hii sekta.

Tanzania kwa sasa hitaji lake kubwa ni infrastructure. Infrastructures zinapush maendeleo zenyew.

Mimi ningekuwa Rais Kibaha to Tunduma ningeshaipanua kuwa Njia nne kitambo, tena maeneo ya Mijini ningepanua Njia sita kabisa. Hata ingekuwa toll road sawa. Watu wengi wa southern Africa wanaitegemea Dar port. Ni vile sisi tunachukulia easy.

Hao TRC sijui wana mipango gani mizigo yote ya outside ichukuliwe Kwala. Ni sehemu Fulani hiv ambayo unaweza ingiza mapato haraka sana
 
New Tanzanian investment in Malawi hatuna kelele mingi kama wale wanaowekeza peanuts na kupiga kelele kama zote
 

View: https://vm.tiktok.com/ZNd5yamou/ hao jamaa ni washamba,angalia comment zao hapo wanacheka hizo military buses za TZ,kwao hata askari wakienda kwenye sherehe wanatumia armored 😃,kunyan wapo nyuma sana,hapo jwtz walikua wanatoka chamazi complex kwenye CDF cup dogo katoa salute za kutosha

Dogo ndoto yake ije kutimia tu. 😂😂😂
 
New Tanzanian investment in Malawi hatuna kelele mingi kama wale wanaowekeza peanuts na kipiga kelele kama zote
Tanzanian ama Mwarabu? Mtanzania Hana pesa ya kuwekeza mahali yoyote. The only people Tanzania has are the drug dealers and omba omba.
 
What do you understand by the word "Made in Tanzania " labda tuanzie hapo kupima afya yako ya akili kwanza😁
Tulikuwa tunaongelea uwezo wa mtanzania kutengeneza gari. Ama umebadilisha goal post tena.
 
Tulikuwa tunaongelea uwezo wa mtanzania kutengeneza gari. Ama umebadilisha goal post tena.
Leo nataka nikuoneshe jinsi nchi yenu ipo nyuma kwenye maendeleo ya Technology.

Tanzania tupo na GePG (Government Electronic Payment Gateway)
Nyie nchi yenu ni Zero. Mnatumia MPESA kukusanya mapato yenu. Pesa zinaingia SafariCom then Serikali inaenda kuomba pesa kutoka SafariCom ili izihamishe kwenda Central Bank. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hapa lazima wizi wa pesa utendeke

KigezoGePG (Tanzania)eCitizen + M‑PESA (Kenya)
Muundo wa MfumoMfumo wa kitaifa wa kati (centralized gateway) – GePG ni lazima kwa malipo yote ya serikali.Mfumo wa huduma mseto – eCitizen ni jukwaa la huduma nyingi, si lazima kwa kila idara.
Uwazi wa MapatoMapato yote huingia moja kwa moja kwenye akaunti ya serikali BOT – hakuna pesa kupotea kirahisi.Malipo huenda kupitia M-PESA au benki, kisha kwa idara husika – uwezekano wa ucheleweshaji wa kurekodi mapato.
 
Leo nataka nikuoneshe jinsi nchi yenu ipo nyuma kwenye maendeleo ya Technology.

Tanzania tupo na GePG (Government Electronic Payment Gateway)
Nyie nchi yenu ni Zero. Mnatumia MPESA kukusanya mapato yenu. Pesa zinaingia SafariCom then Serikali inaenda kuomba pesa kutoka SafariCom ili izihamishe kwenda Central Bank. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hapa lazima wizi wa pesa utendeke
Nikajua utani! 😂😂😂
IMG_4715.jpeg
 
Back
Top Bottom