Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Babu jinga zile over size zako ni vintage tosha kabisa 😃😃,si ungeenda tu kuwakilisha
You can’t defend the indefensible. Hata wenzako wametulia na mambo ya Venus star. They know the truth. Ni wewe tu unapayuka tu. Kununua kiatu mpya si jambo la ajabu 😄😄
 
Alafu hizo nilizoleta ni nini?
Kwanza nikuumbue kidogo.
Chang'ombe ni hii hapa chini,tizama Chang'ombe ambapo wanakaa watu changanyikeni Yani masikini waishio Kibera ndio hao wanaishi Chang'ombe kwa Dar.
Chang'ombe ndio Kibera ya Daresalaam.

images-30.jpg
images-31.jpg
images-32.jpg

Ukimaliza nikuletee mid class ya Dar.
 
Alafu Tandale, Buguruni, Vingunguti, Mabibo, Mazense na maeneo mengine kama hayo wanaishi akina nani?
Hiyo ni sehemu ya Chang'ombe, Chang'ombe kubwa nikuoneshe upande wake mwingine!??
Tandale,Manzese wanakaa changanyikeni watu wa hali ya chini na ya kati hata ya juu pia,Yani makazi yamechanganyika.
 
You can’t defend the indefensible. Hata wenzako wametulia na mambo ya Venus star. They know the truth. Ni wewe tu unapayuka tu. Kununua kiatu mpya si jambo la ajabu 😄😄
Babu jinga sijanunua hata kiatu kipya,yule chokoraa wako tu nataka nimmbeto na tamaa zake,halafu vp kuhusu vintage space,nasikia next time itakua arusha,babu jinga uje basi na over size zako 😂
markup_39781 (1).png
markup_41354.jpg
 
Back
Top Bottom