Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That's Ruai "slum" bongolala and it's well captured in the image you shared hereView attachment 3399418

View attachment 3399420

A million times better than your sprawling uswazi hovels. I can show at least two other estates from your image that are way better than your uswazis in every aspect
Roysambu/Mirema Slum according to the the South.
Screenshot_20250709-175652.jpg
 
MRADI WA TZS. 1.2 Trilioni WA UJENZI WA MUHIMBILI MPYA

DKT. KIMAMBO AKUTANA NA EXIM BANK KOREA KUJADILI MRADI WA UJENZI WA MUHIMBILI MPYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo leo amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi wa Bank ya Exim Korea, kuhusu mradi wa ujenzi wa Muhimbili Mpya, ambapo beki hiyo iliwakilishwa na Bw. KimKyeon, -Gu pamoja na Hamza Ramadhan. Mradi huo utagharimu kiasi cha TZS. 1.2 Trilioni.


View: https://www.instagram.com/p/DL5EGEst3FC/?igsh=MXduNTlvcGs1dHJoYQ==
 
Kenya wamewekeza 96% Nairobi, lakini Nairobi bado ya ovyooo.

Yaani sijui pesa wanapeleka wapi?
Wamechukua loans sawa na Ethiopia, imagine Ethiopia ni communist nation ni serikali imejenga almost developments zote adis na Kunyaland ni private sector owns almost everything in naislum lakini utashangaa pesa zote serikali yao imekopa imezipeleka wapi wakati naislum na adis ni kifo na usingizi.
 
Wamechukua loans sawa na Ethiopia, imagine Ethiopia ni communist nation ni serikali imejenga almost developments zote adis na Kunyaland ni private sector owns almost everything in naislum lakini utashangaa pesa zote serikali yao imekopa imezipeleka wapi wakati naislum na adis ni kifo na usingizi.
Ukiona Addis wala hata huwezi kuhoji mikopo.

SGR, GERD, Beatiful Addis Ababa, Expressway.

Njoo Kenya sasa.

Deni Mlima, maendeleo Kibaba.
 
Kenya wamewekeza 96% Nairobi, lakini Nairobi bado ya ovyooo.

Yaani sijui pesa wanapeleka wapi?
Haha nje ya Dar Kuna cities like Mombasa kisumu or Nakuru kweli???
Even ruiru-thika stretch???
Dar yenyewe ni takataka tu ndugu ya Ibadan or Enugu
 
Haha nje ya Dar Kuna cities like Mombasa kisumu or Nakuru kweli???
Even ruiru-thika stretch???
Dar yenyewe ni takataka tu ndugu ya Ibadan or Enugu
Ukitaka kuona flyover,interchanges lazima uende Dar es salaam...that's enough to tell you venye hio nchi iko
 
Ukiona Addis wala hata huwezi kuhoji mikopo.

SGR, GERD, Beatiful Addis Ababa, Expressway.

Njoo Kenya sasa.

Deni Mlima, maendeleo Kibaba.
Kunyaland imechukua mikopo mikubwa saivi wana zaidi ya 90 billion dollars debt lakini hakuna lolote walilofanya zaidi ya thika highway sababu expressway ni PPP na Talanta na bado uchumi upo mortuary
 
Ukiona Addis wala hata huwezi kuhoji mikopo.

SGR, GERD, Beatiful Addis Ababa, Expressway.

Njoo Kenya sasa.

Deni Mlima, maendeleo Kibaba.
Ethiopia uchumi wake upo bias sana kulingana na maeneo,pia vitu vingi alivyowekeza sio productive kiasi hicho.
 
Back
Top Bottom