Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe video uliiona wapi, kama siyo kwa Mange?

Huyo Dada ndio alimtumia hiyo video Mange.

Mange ndio aliweka CLIP online.

Na Mange ndio alisema huyo dada alimpigia simu analia kuwa asiposti hiyo video ametishiwa maisha na Nyalandu.

Stori inaanza na Mange na inaisha na Mange.

Kama una taarifa zozote zinazoonesha kuwa Nyalandu alimpa Mange pesa ili asiposti, leta hapa.

Kama wewe una taarifa tofauti kutoka chanzo tofauti na Mange leta hapa.

Hizi siyo imani za dini.

Una counter ushahidi, leta watu tuone.
Mimi sijawahi kutazama clip or kusoma ujumbe wowote wa Mange. Mimi ni mtu mzima mwenye akili timamu na ni marufuku kujihusisha na mambo ya kipashkuna. Mabinti wenye tabia mbovu kama Mange siwezi kuwa na muda nao, na wala sijui mambo yake anaongelea kwenye app ipi. Nachojua ni kuwa, analishwa info na watu na at the same time, anaongeza chumvi kwenye mambo yake pia.
 
Mimi sijawahi kutazama clip or kusoma ujumbe wowote wa Mange. Mimi ni mtu mzima mwenye akili timamu na ni marufuku kujihusisha na mambo ya kipashkuna. Mabinti wenye tabia mbovu kama Mange siwezi kuwa na muda nao, na wala sijui mambo yake anaongelea kwenye app ipi. Nachijua ni kuwa, analishwa info na watu na at the same time, anaongeza chumvi kwenye mambo yake pia.
Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??

Ulijuaje Mange anapata taarifa za watu??
 
"Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??"
Hakuna mahala nimesema hilo na ndio kwanza nimesoma hapa toka kwako.

"Ulijuaje Mange anapata taarifa za watu??"
Kwenye posts za watu na spaces twitter. I am thousand miles away from her nonsense.
Mange anapewa taarifa, ambazo kiuhalisia ni 80% FACTS.

Na zinasaidia maana TZ Investigative journalism kwaajili ya maslahi ya umma na nchi, ilishakufa.
 
Wewe mnyamwezi kiingereza kitakuponga hadi lini. The guy has clearly stated that he hosted Raila and that it was an honour to see him in person. Sasa nani katafuta nani hapa?
"he hosted Raila and that it was an honour to see him"
Hii business language wewe bundi.
Those are the solid statements to say "thank you" to customers.
There is nothing exception to seeing uncircumcised Raila, a serial failure.

Cc Sama boy 255
 
"he hosted Raila and that it was an honour to see him"
Hii business language wewe bundi.
Those are the solid statements to say "thank you" to customers.
There is nothing exception to seeing uncircumcised Raila, a serial failure.

Cc Sama boy 255
Kawaida sana ya mitanganyika yakishashindwa kwenye hoja. The person you call a failure amekuzidi in everything under the sun. Sasa sijui failure ni nani kati yako na yeye
 
Mombasa
Image
Point of correction... that's Dhaka, Bangladesh 🤣 🤣
 
Kawaida sana ya mitanganyika yakishashindwa kwenye hoja. The person you call a failure amekuzidi in everything under the sun. Sasa sijui failure ni nani kati yako na yeye
Kafail Urais, kafeli tena na tena.
Juzi tu kafeli AU chair.
Ni urithi tu wa baba yake pamoja na sera mbovu za uchumi Kenya unatoa nafasi kwake, Kenyatta kuendelea kuwakandamiza Wakenya.
 
Kafail Urais, kafeli tena na tena.
Juzi tu kafeli AU chair.
Ni urithi tu wa baba yake pamoja na sera mbovu za uchumi Kenya unatoa nafasi kwake, Kenyatta kuendelea kuwakandamiza Wakenya.
Afadhali yeye kafeli hizo vitu umetaja. Wewe kafeli Kila kitu, hata akili umefeli kuwa nayo
 
mwaiofhawaii ndio maana Foundational black Americans wanasema wanaweza spot an African miles away, zero sense of fashion. Kakunja-kunja sleeves kama Mfuko wa nyanya 😂 😂 🚮🚮
Unfortunately that was the fashion trend at the time… there are many Africans even in Tandale that dressed that way from watching American videos ..
IMG_6460.jpeg
 
Unfortunately that was the fashion trend at the time… there are many Africans even in Tandale that dressed that way from watching American videos ..
View attachment 3389582
Having a sense of fashion is not about dressing according to the latest trends or watching videos of black Americans most of whom are weed smokers and x-street kids.
Sense of fashion: knowing how to dress and look good. Knowing appropriate clothes, colors and how to wear them.
 
Back
Top Bottom