You can’t beg on a street corner and use the donation to buy recreational drugs . No wonder they deported yo ass..🤣🤣
Kigogo hawana habari naye au ndiyo wenyewe wanaotawala sasa?Jamaa anashindwa hata kuzama kidogo. Mtu hayupo Tanzania lakini anaoata details za kila aina, how kama azinunui?
Mange anatumika kama Maria or kama ilivyokuwa kwa Kigogo. Sasa hivi Kigogo hapati tena taarifa kwakua hawana mpango nae tena na humsikii.
All towers outside CBD are here in one pic,, Westlands alone ni x10 of this😂Dasilinga View attachment 3389126
You can’t beg on a street corner and use the donation to buy recreational drugs . No wonder they deported yo ass..🤣🤣
View attachment 3389386
Tanzanite bridge
Mimi sijawahi kutazama clip or kusoma ujumbe wowote wa Mange. Mimi ni mtu mzima mwenye akili timamu na ni marufuku kujihusisha na mambo ya kipashkuna. Mabinti wenye tabia mbovu kama Mange siwezi kuwa na muda nao, na wala sijui mambo yake anaongelea kwenye app ipi. Nachojua ni kuwa, analishwa info na watu na at the same time, anaongeza chumvi kwenye mambo yake pia.Wewe video uliiona wapi, kama siyo kwa Mange?
Huyo Dada ndio alimtumia hiyo video Mange.
Mange ndio aliweka CLIP online.
Na Mange ndio alisema huyo dada alimpigia simu analia kuwa asiposti hiyo video ametishiwa maisha na Nyalandu.
Stori inaanza na Mange na inaisha na Mange.
Kama una taarifa zozote zinazoonesha kuwa Nyalandu alimpa Mange pesa ili asiposti, leta hapa.
Kama wewe una taarifa tofauti kutoka chanzo tofauti na Mange leta hapa.
Hizi siyo imani za dini.
Una counter ushahidi, leta watu tuone.
Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??Mimi sijawahi kutazama clip or kusoma ujumbe wowote wa Mange. Mimi ni mtu mzima mwenye akili timamu na ni marufuku kujihusisha na mambo ya kipashkuna. Mabinti wenye tabia mbovu kama Mange siwezi kuwa na muda nao, na wala sijui mambo yake anaongelea kwenye app ipi. Nachijua ni kuwa, analishwa info na watu na at the same time, anaongeza chumvi kwenye mambo yake pia.
Correct.Kigogo hawana habari naye au ndiyo wenyewe wanaotawala sasa?
"Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??"Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??
Ulijuaje Mange anapata taarifa za watu??
Mange anapewa taarifa, ambazo kiuhalisia ni 80% FACTS."Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??"
Hakuna mahala nimesema hilo na ndio kwanza nimesoma hapa toka kwako.
"Ulijuaje Mange anapata taarifa za watu??"
Kwenye posts za watu na spaces twitter. I am thousand miles away from her nonsense.
"he hosted Raila and that it was an honour to see him"Wewe mnyamwezi kiingereza kitakuponga hadi lini. The guy has clearly stated that he hosted Raila and that it was an honour to see him in person. Sasa nani katafuta nani hapa?
Why would I cry?… 🤣🤣… your comeback is wack !… I am living my American dream whereas you got ur ass handed to you by ICE . Your ban is 10 years per the law. You got 8 more years to go ..Stay away ..🤣🤣
Kawaida sana ya mitanganyika yakishashindwa kwenye hoja. The person you call a failure amekuzidi in everything under the sun. Sasa sijui failure ni nani kati yako na yeye"he hosted Raila and that it was an honour to see him"
Hii business language wewe bundi.
Those are the solid statements to say "thank you" to customers.
There is nothing exception to seeing uncircumcised Raila, a serial failure.
Cc Sama boy 255
Point of correction... that's Dhaka, Bangladesh 🤣 🤣Mombasa
![]()
mwaiofhawaii ndio maana Foundational black Americans wanasema wanaweza spot an African miles away, zero sense of fashion. Kakunja-kunja sleeves kama Mfuko wa nyanya 😂 😂 🚮🚮
Kafail Urais, kafeli tena na tena.Kawaida sana ya mitanganyika yakishashindwa kwenye hoja. The person you call a failure amekuzidi in everything under the sun. Sasa sijui failure ni nani kati yako na yeye