Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mombasa
Image
 
Jamaa anashindwa hata kuzama kidogo. Mtu hayupo Tanzania lakini anaoata details za kila aina, how kama azinunui?
Mange anatumika kama Maria or kama ilivyokuwa kwa Kigogo. Sasa hivi Kigogo hapati tena taarifa kwakua hawana mpango nae tena na humsikii.
Kigogo hawana habari naye au ndiyo wenyewe wanaotawala sasa?
 
Wewe video uliiona wapi, kama siyo kwa Mange?

Huyo Dada ndio alimtumia hiyo video Mange.

Mange ndio aliweka CLIP online.

Na Mange ndio alisema huyo dada alimpigia simu analia kuwa asiposti hiyo video ametishiwa maisha na Nyalandu.

Stori inaanza na Mange na inaisha na Mange.

Kama una taarifa zozote zinazoonesha kuwa Nyalandu alimpa Mange pesa ili asiposti, leta hapa.

Kama wewe una taarifa tofauti kutoka chanzo tofauti na Mange leta hapa.

Hizi siyo imani za dini.

Una counter ushahidi, leta watu tuone.
Mimi sijawahi kutazama clip or kusoma ujumbe wowote wa Mange. Mimi ni mtu mzima mwenye akili timamu na ni marufuku kujihusisha na mambo ya kipashkuna. Mabinti wenye tabia mbovu kama Mange siwezi kuwa na muda nao, na wala sijui mambo yake anaongelea kwenye app ipi. Nachojua ni kuwa, analishwa info na watu na at the same time, anaongeza chumvi kwenye mambo yake pia.
 
Mimi sijawahi kutazama clip or kusoma ujumbe wowote wa Mange. Mimi ni mtu mzima mwenye akili timamu na ni marufuku kujihusisha na mambo ya kipashkuna. Mabinti wenye tabia mbovu kama Mange siwezi kuwa na muda nao, na wala sijui mambo yake anaongelea kwenye app ipi. Nachijua ni kuwa, analishwa info na watu na at the same time, anaongeza chumvi kwenye mambo yake pia.
Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??

Ulijuaje Mange anapata taarifa za watu??
 
"Sasa ulijuaje ana CLIP za Nyalandu??"
Hakuna mahala nimesema hilo na ndio kwanza nimesoma hapa toka kwako.

"Ulijuaje Mange anapata taarifa za watu??"
Kwenye posts za watu na spaces twitter. I am thousand miles away from her nonsense.
Mange anapewa taarifa, ambazo kiuhalisia ni 80% FACTS.

Na zinasaidia maana TZ Investigative journalism kwaajili ya maslahi ya umma na nchi, ilishakufa.
 
Wewe mnyamwezi kiingereza kitakuponga hadi lini. The guy has clearly stated that he hosted Raila and that it was an honour to see him in person. Sasa nani katafuta nani hapa?
"he hosted Raila and that it was an honour to see him"
Hii business language wewe bundi.
Those are the solid statements to say "thank you" to customers.
There is nothing exception to seeing uncircumcised Raila, a serial failure.

Cc Sama boy 255
 
"he hosted Raila and that it was an honour to see him"
Hii business language wewe bundi.
Those are the solid statements to say "thank you" to customers.
There is nothing exception to seeing uncircumcised Raila, a serial failure.

Cc Sama boy 255
Kawaida sana ya mitanganyika yakishashindwa kwenye hoja. The person you call a failure amekuzidi in everything under the sun. Sasa sijui failure ni nani kati yako na yeye
 
Kawaida sana ya mitanganyika yakishashindwa kwenye hoja. The person you call a failure amekuzidi in everything under the sun. Sasa sijui failure ni nani kati yako na yeye
Kafail Urais, kafeli tena na tena.
Juzi tu kafeli AU chair.
Ni urithi tu wa baba yake pamoja na sera mbovu za uchumi Kenya unatoa nafasi kwake, Kenyatta kuendelea kuwakandamiza Wakenya.
 
Back
Top Bottom