Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwasababu unasema unamchinja, maana yake Mange anachopigania yuko sahihi.

Kuua, kuteka watu, kuumiza watu ni tabia za kishamba za kizamani za karne ya 4.

Ni tabia za ovyo.

Na watu wauaji ndio watakuja kuua kabisa nchi hii.

Amani hailindwi kwa bunduki na mauaji.
Mange ni fala kama mafala wengine.
Siwezi kumuweka katika activists hata siku Moja.
Mtu ambaye hajui hata uwasilishaji wa kiwanaharakati na mbea mmbea tu.
 
2025 G-Wagon has a 4 bar grill. 🤣🤣🤣 Danganya bongolala wenzako.

View attachment 3388830
Acha ushamba wa kifala wewe.
Sio kila G-wagon lazima ziwe vile usemavyo wewe hapo mbele.
Inaonekana hata magari hutajui mazeeh.
Kuna G-wagon za namna hiyo wanamiliki matajiri wa Dubai exactly kama hivyo ilivyo hio na naweza kukuletea hapa.
 
Mange ni fala kama mafala wengine.
Siwezi kumuweka katika activists hata siku Moja.
Mtu ambaye hajui hata uwasilishaji wa kiwanaharakati na mbea mmbea tu.
Jambo la muhimu ni agenda, anayokuwa anazungumzia kwa wakati husika.

Tabia binafsi mwachie mwenyewe.

Watu wote hatutaki siasa za wizi, dhulma, ubaguzi, ukabila, mauaji, wahuni na risasi.

Kwasababu zitakuja kuua nchi.

DRC kuna vikundi zaidi ya 100 vinapigana msituni.

West africa wanapinduana kila siku.

TZ tulichagua vyama vya siasa, uchaguzi, na kutatua matatizo yetu kwa mazungumzo na sheria.

Sasa ukizuia sheria kufanya kazi, uchaguzi ukiwa hauna maana, kura haina thamani maana yake unataka watu wasio ridhika wapate haki vipi?

Maana yake unataka nchi ivuruguke kabisa
 
Acha ushamba wa kifala wewe.
Sio kila G-wagon lazima ziwe vile usemavyo wewe hapo mbele.
Inaonekana hata magari hutajui mazeeh.
Kuna G-wagon za namna hiyo wanamiliki matajiri wa Dubai exactly kama hivyo ilivyo hio na naweza kukuletea hapa.
Sasa umesema nini cha maana ju hueleweki. Nimekuambia G-Wagon ya 2025 ina 4 bar grill, G63 ya 2025 nayo ikona vertical vents chini ya bumper. Kama hujui kuhusu magari ni heri unyamaze kuliko utuambie a lot of nothing. Sasa matajiri wa Dubai wanaingilia wapi kwa design ya 2025 G-Wagon. 🤣🤣🤣
 
Hapa panapigwa mkeka
Maeneo mengi sana Dar hayajaoneshwa kwenye hii thread, wakundustan hii ni Kigamboni huwa mkiambiwa Dar ni 3 times bigger than naislum muwe waelewa, imagine hii ni district 1 tu ya Dar kati ya 5 ina 45 km stretch of tarmac road project, Kunyaland hii stretch ungeshatokea kajiado caunty

Screenshot_20250629-125243.jpg
 
yes itakwama kama zinavyokwama za kwenye first world countries. Ama wewe hutaki zikwame kabisa 😁
Kukwama more than ten times in one year can never happen in first world countries. Hio tumeona Kwa LDC bongoslum pekee.
 
Back
Top Bottom