Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Demokrasia ni watu kuchaguana.

Tunachaguana kwenye vikao vya ukoo, kamati za harusi, viongozi wa mitaa.

Kwanini kuchguana kwenye madaraka ya kuendesha nchi mpaka kuwepo ma dhulma, mauaji, utekaji, kitupana jela bila hatia na wizi??


Aana kuna watu wasio wastaarabu wamevamia utaratibu na wanautumia vibaya.
Siasa za vyama vingi Tanzania ni upumbavu mtupu,

Tanzania kiongozi wa upunzani hawaletagi sera mbadala ispokua wanaleta matusi, kejeli, kutukana watu, kujipa umuhimu na ujinga mwingine unaofanana na huo… wengine wanaenda mbalii kabisa wanaleta usaliti kwa taifa mfano Tundulisu. Unayakumbuka maneno haya .?👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=TPo3Xxx0TXg8Mt94. Huyu bwana Lisu hayastahili maisha kabisa. Vitu kama hivi Ndio vinavyowasababisha kuuwawa na kutekwa…,

My take.
Nikiwa kama mtanzania mzalendo na mpenda maendeleo wa taifa hili, nasapoti hatua kali za kinidhamu kwa watovu wa tabia , taifa halijengwi kwa matusi na usaliti.. ingawa sisapoti utekeji.
 
Siasa za vyama vingi Tanzania ni upumbavu mtupu,

Tanzania kiongozi wa upunzani hawaletagi sera mbadala ispokua wanaleta matusi, kejeli, kutukana watu, kujipa umuhimu na ujinga mwingine unaofanana na huo… wengine wanaenda mbalii kabisa wanaleta usaliti kwa taifa mfano Tundulisu. Unayakumbuka maneno haya .?👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=TPo3Xxx0TXg8Mt94. Huyu bwana Lisu hayastahili maisha kabisa. Vitu kama hivi Ndio vinavyowasababisha kuuwawa na kutekwa…,

My take.
Nikiwa kama mtanzania mzalendo na mpenda maendeleo wa taifa hili, nasapoti hatua kali za kinidhamu kwa watovu wa tabia , taifa halijengwi kwa matusi na usaliti.. ingawa sisapoti utekeji.

Siasa za vyama vingi na utawala wa sheria ndio NCHI, AMANI na USALAMA wa nchi. Mazungumzo.

TZ tulichagua wenyewe vyama vya siasa, na utawala wa sheria.

Watu wachaguane kwa kura na wanaotafuta haki waende mahakamani.

Kama hiyo mifumo haifanyi kazi, maana yake unataka watu wafanye nini kutoa nyongo zao.


DRC, RWANDA, SOMALIA, ETHIOPIA, ERITREA, UGANDA, BURUNDI, MSUMBIJI kote kuna VIKUNDI vyenye silaha vinapigana MSITUNI.

WEST AFRICA huko wamechagua vita, wanajeshi, kupinduana madarakani KILA Siku na VIKUNDI MSITUNI.

Msifikiri Nyerere alikuwa MJINGA au sisi ni SPECIAL sana.

Amani ya nchi hailindwi kwa MABOMU na BUNDUKI.


Siku ikivurugika, haitakuja kukaa sawa tena, maana hivyo vikundi vitajiungana wahuni wa dunia huko, vitawapa SILAHA na MADINI vitakuwa vinachimba bure wakati UTALII hautakuwepo.

Nchi itakufa.

Na hizi mentality za matusi ni za watu wapumbavu tu, kwamba chama kimoja tu ndio kinatukanwa nchi hii, wengine malaika??

Mwisho wa siku wananchi wanajua na wanaelewa, hakuna sababu ya kulazimisha FIKRA.
 
Huyu bwana Lisu hayastahili maisha kabisa. Vitu kama hivi Ndio vinavyowasababisha kuuwawa na kutekwa…,
Lissu ameiba kitu cha nani?

Amempora nani?

Amemuumiza nani?

Sasa tuna mahakama na tawala za sheria za nini?

Tufute mahakama na polisi ili tuanze kutoa hukumu wemyewe mitaani basi.

Bahati nzuri wewe siyo Mungu. Lissu yupo na huyo Magufuli ni FUVU na SUTI tu sasa hivi.

Too materiaristic kuabudu vitu, mbele ya UTU.

Nyie ndio mnatoa mpaka watu KAFARA.
My take.
Nikiwa kama mtanzania mzalendo na mpenda maendeleo wa taifa hili, nasapoti hatua kali za kinidhamu kwa watovu wa tabia , taifa halijengwi kwa matusi na usaliti.. ingawa sisapoti utekeji.
Hakuna mtu mzalendo wa aina yako.

Uzalendo ni kuipenda nchi yako. Siyo kupenda wanasiasa au kuwa msukule wa Mwanasiasa mwenye madaraka.
 
FB_IMG_1751344339888.jpg
FB_IMG_1751344333472.jpg


Mwanza, Tanzania
 
Siasa za vyama vingi na utawala wa sheria ni NCHI, AMANI na USALAMA wa nchi.

TZ tulichagua wenyewe vyama vya siasa, na utawala wa sheria.

Watu wachaguane kwa kura na wanaotafuta haki waende mahakamani.

Kama hiyo mifumo haifanyi kazi, maana yake unataka watu wafanye nini kutoa nyongo zao.


FmDRC, RWANDA, UGANDA, BURUNDI, MSUMBIJI kote kuna VIKUNDI vyenye silaha vinapogana MSITUNI.

WEST AFRICA huko wamechavuna wanajeshi, kupinduana madaraka KILA Siku na VILUNDI MSITUNI.

Msifikiri Nyerere alikuwa MJINGA.

Amani ya nchi hailindwi kwa MABOMU na BUNDUKI.


Siku ikivurugika, haitakuja kukaa sawa tena, maana hivyo vikundi vitajiungana wahuni wa dunia huko, vitawapa SILAHA na MADINI vitakuwa vinachomba bure wakati UTALII hautakuwepo.

Nchi itakufa.

Na hizi mentality za matusi ni za watu wapumbavu tu, kwamba chama kimoja tunndio kinatukumanwa nchi hii, wengine malaika??

Mwisho wa siku wananchi wanajua na wanaelewa, hakuna sababu ya kulazimisha FIKRA.
Multipartism hatukuichagua kaka, ililazimishiwa tu na world order.
 
Multipartism hatukuichagua kaka, ililazimishiwa tu na world order.
Kama tulilazimishwa, na hatuwezi kuiepuka kwanini tusii-customize iendane na mahitaji yetu?

Tufute multipartism.

Wote tuwe chama kimoja, then tuweke utaratibu wa MERITOCRACY.

Maana sasa hivi, kwasababu kuna CHADEMA basi CCM inaokota wahuni tu kwasababu wanaweza kudeal na CHADEMA.

Sasa hivi ukiona kundi lililoko UVCCM la kina akheri James, Makonda, Juma Homera, Sabaya, mtoto wa Mwigulu, Jokate, NIKKI WA pili unaona nchi hii ina FUTURE kweli???

Anyway, sidhani hii siyo thread yake.
 
Why would I cry?… 🤣🤣… your comeback is wack !… I am living my American dream whereas you got ur ass handed to you by ICE . Your ban is 10 years per the law. You got 8 more years to go ..Stay away ..🤣🤣
Kuishi America kwako ni dream nzuri sio. What a myopic thinking for an African man. I am dissapointed in you as a fellow African.
 
Back
Top Bottom