Siasa za vyama vingi Tanzania ni upumbavu mtupu,
Tanzania kiongozi wa upunzani hawaletagi sera mbadala ispokua wanaleta matusi, kejeli, kutukana watu, kujipa umuhimu na ujinga mwingine unaofanana na huo… wengine wanaenda mbalii kabisa wanaleta usaliti kwa taifa mfano Tundulisu. Unayakumbuka maneno haya .?👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=TPo3Xxx0TXg8Mt94. Huyu bwana Lisu hayastahili maisha kabisa. Vitu kama hivi Ndio vinavyowasababisha kuuwawa na kutekwa…,
My take.
Nikiwa kama mtanzania mzalendo na mpenda maendeleo wa taifa hili, nasapoti hatua kali za kinidhamu kwa watovu wa tabia , taifa halijengwi kwa matusi na usaliti.. ingawa sisapoti utekeji.
Siasa za vyama vingi na utawala wa sheria ndio NCHI, AMANI na USALAMA wa nchi. Mazungumzo.
TZ tulichagua wenyewe vyama vya siasa, na utawala wa sheria.
Watu wachaguane kwa kura na wanaotafuta haki waende mahakamani.
Kama hiyo mifumo haifanyi kazi, maana yake unataka watu wafanye nini kutoa nyongo zao.
DRC, RWANDA, SOMALIA, ETHIOPIA, ERITREA, UGANDA, BURUNDI, MSUMBIJI kote kuna VIKUNDI vyenye silaha vinapigana MSITUNI.
WEST AFRICA huko wamechagua vita, wanajeshi, kupinduana madarakani KILA Siku na VIKUNDI MSITUNI.
Msifikiri Nyerere alikuwa MJINGA au sisi ni SPECIAL sana.
Amani ya nchi hailindwi kwa MABOMU na BUNDUKI.
Siku ikivurugika, haitakuja kukaa sawa tena, maana hivyo vikundi vitajiungana wahuni wa dunia huko, vitawapa SILAHA na MADINI vitakuwa vinachimba bure wakati UTALII hautakuwepo.
Nchi itakufa.
Na hizi mentality za matusi ni za watu wapumbavu tu, kwamba chama kimoja tu ndio kinatukanwa nchi hii, wengine malaika??
Mwisho wa siku wananchi wanajua na wanaelewa, hakuna sababu ya kulazimisha FIKRA.