Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siasa za vyama vingi na utawala wa sheria ni NCHI, AMANI na USALAMA wa nchi.

TZ tulichagua wenyewe vyama vya siasa, na utawala wa sheria.

Watu wachaguane kwa kura na wanaotafuta haki waende mahakamani.

Kama hiyo mifumo haifanyi kazi, maana yake unataka watu wafanye nini kutoa nyongo zao.


FmDRC, RWANDA, UGANDA, BURUNDI, MSUMBIJI kote kuna VIKUNDI vyenye silaha vinapogana MSITUNI.

WEST AFRICA huko wamechavuna wanajeshi, kupinduana madaraka KILA Siku na VILUNDI MSITUNI.

Msifikiri Nyerere alikuwa MJINGA.

Amani ya nchi hailindwi kwa MABOMU na BUNDUKI.


Siku ikivurugika, haitakuja kukaa sawa tena, maana hivyo vikundi vitajiungana wahuni wa dunia huko, vitawapa SILAHA na MADINI vitakuwa vinachomba bure wakati UTALII hautakuwepo.

Nchi itakufa.

Na hizi mentality za matusi ni za watu wapumbavu tu, kwamba chama kimoja tunndio kinatukumanwa nchi hii, wengine malaika??

Mwisho wa siku wananchi wanajua na wanaelewa, hakuna sababu ya kulazimisha FIKRA.
Multipartism hatukuichagua kaka, ililazimishiwa tu na world order.
 
Multipartism hatukuichagua kaka, ililazimishiwa tu na world order.
Kama tulilazimishwa, na hatuwezi kuiepuka kwanini tusii-customize iendane na mahitaji yetu?

Tufute multipartism.

Wote tuwe chama kimoja, then tuweke utaratibu wa MERITOCRACY.

Maana sasa hivi, kwasababu kuna CHADEMA basi CCM inaokota wahuni tu kwasababu wanaweza kudeal na CHADEMA.

Sasa hivi ukiona kundi lililoko UVCCM la kina akheri James, Makonda, Juma Homera, Sabaya, mtoto wa Mwigulu, Jokate, NIKKI WA pili unaona nchi hii ina FUTURE kweli???

Anyway, sidhani hii siyo thread yake.
 
Why would I cry?… 🤣🤣… your comeback is wack !… I am living my American dream whereas you got ur ass handed to you by ICE . Your ban is 10 years per the law. You got 8 more years to go ..Stay away ..🤣🤣
Kuishi America kwako ni dream nzuri sio. What a myopic thinking for an African man. I am dissapointed in you as a fellow African.
 
Siasa za vyama vingi Tanzania ni upumbavu mtupu,

Tanzania kiongozi wa upunzani hawaletagi sera mbadala ispokua wanaleta matusi, kejeli, kutukana watu, kujipa umuhimu na ujinga mwingine unaofanana na huo… wengine wanaenda mbalii kabisa wanaleta usaliti kwa taifa mfano Tundulisu. Unayakumbuka maneno haya .?👇🏾
View: https://youtu.be/b5bRxLfG44g?si=TPo3Xxx0TXg8Mt94. Huyu bwana Lisu hayastahili maisha kabisa. Vitu kama hivi Ndio vinavyowasababisha kuuwawa na kutekwa…,

My take.
Nikiwa kama mtanzania mzalendo na mpenda maendeleo wa taifa hili, nasapoti hatua kali za kinidhamu kwa watovu wa tabia , taifa halijengwi kwa matusi na usaliti.. ingawa sisapoti utekeji.

Hapo kwenye usaliti sasa,sijawahi kuona upinzani wa nchi yoyote duniani unapambana nchi yao iwekewe vikwazo,yan upinzani tayari hata utengeneze matukio ili tu nchi ionekane ya kidikteta,upinzani ulimfelisha magu kwa % flan aliporeact hata wenzake huko ccm wakawa kama awamuungi mkono,alipofariki wakataka kuwabeba wapinzani if magu akuwa sahihi,kilichowakuta ndio wanajua magu alikua na maono ya mbali
 
Hapo kwenye usaliti sasa,sijawahi kuona upinzani wa nchi yoyote duniani unapambana nchi yao iwekewe vikwazo,yan upinzani tayari hata utengeneze matukio ili tu nchi ionekane ya kidikteta,upinzani ulimfelisha magu kwa % flan aliporeact hata wenzake huko ccm wakawa kama awamuungi mkono,alipofariki wakataka kuwabeba wapinzani if magu akuwa sahihi,kilichowakuta ndio wanajua magu alikua na maono ya mbali
Yani hili suala linaniumiza moyo sana.. yangekua ni mamlaka yangu ningefutulia mbali vyama vyote vya hovyo kwenye hili taifa.

Sio kisa eti mmepewa fursa ya kugombea nyazma mbali mbali za kiuongozi, eti Ndio muone pia mko huru kufanya ushenzi.. how on earth mtu anaenda kutaka eti taifa likose misaada au wadhamini.? How on earth mtu anaenda eti kuvujisha taarifa za taifa kwa mwekezaji wa kigeni ili kukwamisha marekebisho ya mikataba ya madini.? Ambayo kimsingi marekebisho hayo yanafanywa ili sasa wanachi au nchi inufaike.?

Yule fala Lisu ni wa kuuliwa kwa kunyongwa hadharani. Mtu yeyote anaemsapoti yule ni mpumbavu tu kama wapumbavu wengine. The guy deserves death.
 
Back
Top Bottom