Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Salsa walikiwa wanabisha mini!? Kwamba Dar ni Vumbistan!?
Screenshot_20250629-125243.jpg
 
Sawa Mombasa kubwa, why hamjapeleka CHAN or AFCON?

Hii CHAN Tanzania ina Miji miwili ZANZIBAR, DAR ES SALAAM.

Afcon ina miji 4, Dar, Dodoma, Zenji, Arusha.

Ukunyaaa NAIROBI NAIROBI

Uganda KAMPALA, HOIMA, LIRA

Wasenge sana, lini mtapona kuishi kwa virtual
Afcon Tanzania tuna miji 4, Dar es salaam ,Zanzibar, Arusha na Dodoma.
Kenya miji 4 ,Nairobi, Nairobi, Nairobi na Nairobi. 🤣
 
Salsa walikiwa wanabisha mini!? Kwamba Dar ni Vumbistan!?
View attachment 3389189
Do you even know where Kigamboni is?

Kigamboni District is bigger than Naislum.

Land Area Comparison
Kigamboni: Kigamboni District covers an area of 578.3 km² (223.3 square miles).
Nairobi: Nairobi County spans 703.9 km² (271.8 square miles).
 
Nakupa mfano mdogo tu,alikuwaga na clip ya nyalandu,kwanini akuitoa kama sio nyalandu alimlipa asiitoe
Jamaa anashindwa hata kuzama kidogo. Mtu hayupo Tanzania lakini anapata details za kila aina, how kama azinunui?
Mange anatumika kama Maria or kama ilivyokuwa kwa Kigogo. Sasa hivi Kigogo hapati tena taarifa kwakua hawana mpango nae tena na humsikii.
 
Jamaa anashindwa hata kuzama kidogo. Mtu hayupo Tanzania lakini anaoata details za kila aina, how kama azinunui?
Mange anatumika kama Maria or kama ilivyokuwa kwa Kigogo. Sasa hivi Kigogo hapati tena taarifa kwakua hawana mpango nae tena na humsikii.
Vijana wanashindwa kung'amua kuwa hakuna mtu wa kufanya harakati za bila faida zama hizi.
Paid activists.
 
Back
Top Bottom