ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Waanze na kubomoa manyumba,Salsa walikiwa wanabisha mini!? Kwamba Dar ni Vumbistan!?
View attachment 3389189
Jamaa anashindwa hata kuzama kidogo. Mtu hayupo Tanzania lakini anapata details za kila aina, how kama azinunui?Nakupa mfano mdogo tu,alikuwaga na clip ya nyalandu,kwanini akuitoa kama sio nyalandu alimlipa asiitoe
Wewe unaleta stori za vijiweni as though wakati wa maombi na dada anapigwa biti mlikuwa kwenye conference call.Yule dada aliyekuwa na Nyalandu pamoja na familia yake walitishiwa sana maisha na Nyalandu.
Yule dada alimuomba sana Mange asiposti.
Mange alimhurumia.
Alijua watamuua.
Vijana wanashindwa kung'amua kuwa hakuna mtu wa kufanya harakati za bila faida zama hizi.Jamaa anashindwa hata kuzama kidogo. Mtu hayupo Tanzania lakini anaoata details za kila aina, how kama azinunui?
Mange anatumika kama Maria or kama ilivyokuwa kwa Kigogo. Sasa hivi Kigogo hapati tena taarifa kwakua hawana mpango nae tena na humsikii.
Who would want a fainting train?you will never have it. Maumivu peleka kibera🤣🤣🤣
Kenya ni taifa la malofa. Ni taifa lenye utamaduni wa kujikweza na kutaka seat za mbele, unfortunately mtumbwi unazama.ila matako kulia mbwata hakujawashinda!