Jambo la muhimu ni agenda, anayokuwa anazungumzia kwa wakati husika.
Tabia binafsi mwachie mwenyewe.
Watu wote hatutaki siasa za wizi, dhulma, ubaguzi, ukabila, mauaji, wahuni na risasi.
Kwasababu zitakuja kuua nchi.
DRC kuna vikundi zaidi ya 100 vinapigana msituni.
West africa wanapinduana kila siku.
TZ tulichagua vyama vya siasa, uchaguzi, na kutatua matatizo yetu kwa mazungumzo na sheria.
Sasa ukizuia sheria kufanya kazi, uchaguzi ukiwa hauna maana, kura haina thamani maana yake unataka watu wasio ridhika wapate haki vipi?
Maana yake unataka nchi ivuruguke kabisa