Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Toa mfano.

Anatumika na nani?

Nani anamlipa?

Mtu kama Maria tunajua analipwa hata agenda yake ya kupinga EACOP ilikuwa ya malipo.

Ila Mange kulipwa kufanya harakati, hilo ni uwongo.

Mange analipwa kwa umbea siyo harakati za siasa.
Nakupa mfano mdogo tu,alikuwaga na clip ya nyalandu,kwanini akuitoa kama sio nyalandu alimlipa asiitoe
 
Donโ€™t bite the hand that feeds youโ€ฆ how much of my hard earned tax money have you utilized today?โ€ฆ at least buy yourself a new pair of shoes..๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Screenshot_20250621-090932.png
20250626_101237.jpg

Maku umlishe nani ๐Ÿ˜€,nakuona mshamba tu,ndio maana umefanana na kicheche,lisha familia yako ya kibera kwanza babu jinga
 
Sawa Mombasa kubwa, why hamjapeleka CHAN or AFCON?

Hii CHAN Tanzania ina Miji miwili ZANZIBAR, DAR ES SALAAM.

Afcon ina miji 4, Dar, Dodoma, Zenji, Arusha.

Ukunyaaa NAIROBI NAIROBI

Uganda KAMPALA, HOIMA, LIRA

Wasenge sana, lini mtapona kuishi kwa virtual
Siku hizi mmeacha kusema hatotahost, mnasema Nairobi pekee. Mmeacha kusema Talanta haitojengwa? ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ ๐Ÿคฃ
 
Nakupa mfano mdogo tu,alikuwaga na clip ya nyalandu,kwanini akuitoa kama sio nyalandu alimlipa asiitoe
Yule dada aliyekuwa na Nyalandu pamoja na familia yake walitishiwa sana maisha na Nyalandu.

Yule dada alimuomba sana Mange asiposti.

Mange alimhurumia.

Alijua watamuua.
 
Toa mfano.

Anatumika na nani?

Nani anamlipa?

Mtu kama Maria tunajua analipwa hata agenda yake ya kupinga EACOP ilikuwa ya malipo.

Ila Mange kulipwa kufanya harakati, hilo ni uwongo.

Mange analipwa kwa umbea siyo harakati za siasa.
Ila wote wasenge tu,hususan Mange kimambi.
Kama ningekua raisi na akathubutu kukanyaga nchini namchinjilia mbali.
 
Ila wote wasenge tu,hususan Mange kimambi.
Kama ningekua raisi na akathubutu kukanyaga nchini namchinjilia mbali.
Kwasababu unasema unamchinja, maana yake Mange anachopigania yuko sahihi.

Kuua, kuteka watu, kuumiza watu ni tabia za kishamba za kizamani za karne ya 4.

Ni tabia za ovyo.

Na watu wauaji ndio watakuja kuua kabisa nchi hii.

Amani hailindwi kwa bunduki na mauaji.
 
Back
Top Bottom