Train ya Kifafa bado inaendelea na kukwama. 🤣🤣🤣
View: https://x.com/MariaSTsehai/status/1939296909077737868?t=ybr8-ymzDhJeffEect7AuQ&s=19
Shida yenu mnatumia MGR na takataka ngarangara, mtaelewa wapi mifumo ya umeme.
Technical errors for few minutes is normal.
Hapa ni Brighton, Train ilikwama masaa mawili.