evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,774
Kwani mama yako ndio kipimo cha popularity ya MTU?Aaacha uongo....mimi...mama yangu hamjui diamond
Hizi shule inabidi turudishiwe chenji!
Kwani mama yako ndio kipimo cha popularity ya MTU?Aaacha uongo....mimi...mama yangu hamjui diamond
Tuko news Nazi take na inapata dooMuseveni and Magufuli enter deals that underline their continued isolation of Kenya
Angalia mnavyolia, na bado lazima tuwatie mimba this time![]()
Hawezi kupata kwasababu sio Kikuyu, jaluo, Kalenjin, Kamba au Luhya, hata Yesu akija kugombea hamuwezi kumchagua kwasababu sio kabila lenuAkuje asimame ubunge 2one kama atapewa
Tuko news kazi yake nainapata pesaTuko news Nazi take na inapata doo
Tumia kiswahili, mimi sio jaluoTuko news Nazi take na inapata doo
Wewe undhani wanaowaletea chakula na diamond Karanga ni akina nani kama sio Bashite? Huyu bashite anazingua. Dar es salaam bado ni chafu na miundo mbinu dhaifu. Nilitegemea awe creative asimamie usafi wa jiji na miundombinu yake. Lakini yeye anataka vitu vinavyompa mileage za kisiasa.
Ajitafakari. Hahitaji TV kufanya tathmini ya utendaji wake. Sisi wananchi tutamtathimini kwa matokeo ya juhudi zake.
Magufuli misses Uhuru's inaugurationMnaimba diamond ana nn yah maana....
Kwamba Bata is a Kenyan company au? Mpumbavu sana wewe nani asiyejua Bata ni ya Canada?
Kwahiyo kila kilichopo Kenya lazima kiwepo Tanzania?, mbona ukabila na slums zipo Kenya lakini hamtaki kutuletea huku Tanzania?Aibu ni yenu! No doubt its foreign owned but why then is Bata not having a factory in Tz? Despite it being foreign owned,it has operated the Limuru factory in Kenya since 1939! It sources all materials and expertise in Kenya for its local production and exports shoes customized for Africa. Bongo lalas will always miss the point!
![]()
Mnamsifia hata aezi mfikia yemi aladeHawezi kupata kwasababu sio Kikuyu, jaluo, Kalenjin, Kamba au Luhya, hata Yesu akija kugombea hamuwezi kumchagua kwasababu sio kabila lenu
Sio Yemi, hata hawezi mfikia PrezooMnamsifia hata aezi mfikia yemi alade

Mnamsifia hata aezi mfikia yemi alade
Iyo big deal at a kwangu.....yeye..anaeza let's uhasama kati ya Kenya na tzMagufuli misses Uhuru's inauguration
Eti Magufuli kushindwa kufika tu, imekuwa big news huko kwenu, na bado ninawaambia lazima mtuzalie watoto
Mbona tulishatoa msimamo wetu, you are not our friends, Kenya ni majirani zetu lakini sio marafiki zetu, kwanini hamtaki kuelewa mnalazimisha friendship sisi hatutakiiii..tunataka uhasama na ninyi..this is last time to tell you thisIyo big deal at a kwangu.....yeye..anaeza let's uhasama kati ya Kenya na tz

oops!..kumbe hizo takataka zinatengenezwa hapo Kenya?...ndio maana zina muonekano mbaya kama sura za wakenya![]()
.
NB:
viatu vya ma-caretaker wakikuyu..vile caretaker njoroge akija kwa keja kukumbushia rent ya next month.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Magufuli: Tanzania is not a grazing land for Kenya's cowsIyo big deal at a kwangu.....yeye..anaeza let's uhasama kati ya Kenya na tz
