Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pamoja nakujipendekeza huko UN...
8fefaae51e9be858dfe1eed318f8045e.jpg
Mara ngapi watanzania wametandikwa South Africa(xenophobia) hata baada ya Tz kudai "kiukomboa'' .
 
Nairobi kuna kipindupindu, mji gani huo unatia aibu, Kenya njaa inawamaliza, mmatudhalilisha hapa East Africa

The majority of these cases had been reported from 23 regions in mainland Tanzania (20,961 cases, including 329 deaths).
 
Mara ngapi watanzania wametandikwa South Africa(xenophobia) hata baada ya Tz kudai "kiukomboa'' .
ni mtanzania gani ulisikia aliuwawa SA kwa sababu za xenophobia?.

kama yupo,leta ushahidi...mimi nakuwekea ushahidi wa mkenya,
huyu hapa
e5ab6ecaeab7b9b9b36d5af525f210d7.jpg
84d612fac95eb0032978bcfde935e7ad.jpg

NB:
for your information, kwa EA watu pekee ambao wanapendwa na wasouth africa nchini kwao,ni watanzania.

ukisikia mtz kauwawa SA,basi jua kauwawa kwa kujihusisha na uhalifu wa kutumia siraha au kauwawa kwa kujihusisha katika magenge ya drug dealers.

hakuna mtz aliyeuwawa SA kwa issues za xenophobia.
 
Back
Top Bottom