Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

4b6e56a6d32dbd571f5ae164cf82fd95.jpg
some of houses in msa
 
Na huku Moshi naona magari ya wa Kenya na wa Kenya kibao wanakuja hapa KCMC kupata huduma za matibabu ..vip hamna hospitals ?
Mkuu. Wanafuata matibabu Ya uhakika na kwa gharama nafuu, Kumbuka KCMC ni hospitali ya Rufaa yenye Miundombinu dhabiti na madaktari bingwa wengi wa kila namna kama vile Maskio, Pua na Koo (E.N.T), Physicians, Madaktari bingwa wa Mifupa, Moyo, Njia ya Chakula, Ngozi, Watoto, Kima mama n.k
Na Sio hapo tu, Wakenya Wengi wanakuja pia Ocean Road cancer institute na Jakaya Kikwete cardiac Institute kupata matibabu ,
Hii imetokana na juhudi na hatua za makusudi Tanzania imepiga katika sekta ya Afya ukilingamisha na nchi nyingine za Ukanda huu wa Africa mashariki.
Ni matumaini yangu kuwa kukamilika kwa Mloganzila Modern Medical Center na Benjamin Mkapa Ultramodern Hospital kutakuwa ni Mkombozi kwa Jamii nzima ya Africa Mashariki, hususani Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi.
Pamoja na hayo, pia tumekuwa tukipokea Ndugu zetu toka Zambia na Malawi wakifuata Matibabu.
Halafu kumbuka kazi ya Udaktari ni ya Wito, inahitaji uwe kweli na moyo wa kusaidia,
Watanzania wengi tupo wakarimu na tuna Lugha nzuri kwa wengine, huo ni Utamaduni wetu,
Ndivyo hivyo madaktari wa Tanzania walivyo kwa Hao wagonjwa wa Kenya, (Hapa nadhani madaktari wa Kenya hutumia aggressive language kwa wagonjwa),
Ni rahisi sana mgonjwa kupata faraja kama daktari atazungumza nae kwa Lugha ya Ukarimu, hata kama tatizo ni Kubwa daktari mtanzania wanaweza zungumza na mgonjwa na mwishowe mgonjwa ataliona ni la kawaida Tofauti na Daktari Mkenya.
 
Na huku Moshi naona magari ya wa Kenya na wa Kenya kibao wanakuja hapa KCMC kupata huduma za matibabu ..vip hamna hospitals ?

Naona Wadanganyika kibao sehemu za Isebania wanakuja shule upande huu wanarudi nyumbani Jioni..... Vipi hamna Mashule? ??
 
tunashukuru sana kenya kwa kumuweka tundu lissu wetu salama
Poa bro na karibu sana Kenya. Wafahamishe na wenzako pia kwamba wakihitaji matibabu mema na yenye nafuu, wasisite kuja Kenya. Huku hatuhitaji passport wala visa.
 
yaani ukipitia comment kwenye hiyo link ya huyo dada wakenya wamemind kisenge et ni mbongo huku MTU anaongea kinyarwanda hahaha
 
Mkuu. Wanafuata matibabu Ya uhakika na kwa gharama nafuu, Kumbuka KCMC ni hospitali ya Rufaa yenye Miundombinu dhabiti na madaktari bingwa wengi wa kila namna kama vile Maskio, Pua na Koo (E.N.T), Physicians, Madaktari bingwa wa Mifupa, Moyo, Njia ya Chakula, Ngozi, Watoto, Kima mama n.k
Na Sio hapo tu, Wakenya Wengi wanakuja pia Ocean Road cancer institute na Jakaya Kikwete cardiac Institute kupata matibabu ,
Hii imetokana na juhudi na hatua za makusudi Tanzania imepiga katika sekta ya Afya ukilingamisha na nchi nyingine za Ukanda huu wa Africa mashariki.
Ni matumaini yangu kuwa kukamilika kwa Mloganzila Modern Medical Center na Benjamin Mkapa Ultramodern Hospital kutakuwa ni Mkombozi kwa Jamii nzima ya Africa Mashariki, hususani Kenya, Uganda, Tanzania, Rwanda na Burundi.
Pamoja na hayo, pia tumekuwa tukipokea Ndugu zetu toka Zambia na Malawi wakifuata Matibabu.
Halafu kumbuka kazi ya Udaktari ni ya Wito, inahitaji uwe kweli na moyo wa kusaidia,
Watanzania wengi tupo wakarimu na tuna Lugha nzuri kwa wengine, huo ni Utamaduni wetu,
Ndivyo hivyo madaktari wa Tanzania walivyo kwa Hao wagonjwa wa Kenya, (Hapa nadhani madaktari wa Kenya hutumia aggressive language kwa wagonjwa),
Ni rahisi sana mgonjwa kupata faraja kama daktari atazungumza nae kwa Lugha ya Ukarimu, hata kama tatizo ni Kubwa daktari mtanzania wanaweza zungumza na mgonjwa na mwishowe mgonjwa ataliona ni la kawaida Tofauti na Daktari Mkenya.
Yes,mkuu,TZ ni nchi ya watu wenye ukarimu na utu,here is evidence.
0e5d7922469a1f5bf0c6befcc077e8ea.jpg
 
Back
Top Bottom