Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Me c.jui....kwani..juu unasema gazeti ya Kenya inawafuatili na Wewe jee ulikua unafanyinyi kwa gazeti ya Kenya. .......
Lengo la gazeti linapoandikwa sio kunyea kule Kibera, kwasababu mifuko ya plastic hairuhusiwi kwahiyo mnatumia gazeti kunya wakati wa usiku?
 
ni mtanzania gani ulisikia aliuwawa SA kwa sababu za xenophobia?.

kama yupo,leta ushahidi...mimi nakuwekea ushahidi wa mkenya,
huyu hapa
e5ab6ecaeab7b9b9b36d5af525f210d7.jpg
84d612fac95eb0032978bcfde935e7ad.jpg

NB:
for your information, kwa EA watu pekee ambao wanapendwa na wasouth africa nchini kwao,ni watanzania.

ukisikia mtz kauwawa SA,basi jua kauwawa kwa kujihusisha na uhalifu wa kutumia siraha au kauwawa kwa kujihusisha katika magenge ya drug dealers.

hakuna mtz aliyeuwawa SA kwa issues za xenophobia.

2 Tanzanians killed in South Africa on Anti-Foreigners Attacks.

South Africa have been killed in what has been linked with the ongoing xenophobic violence that rocked the country recently.
News of the deaths came as the minister for Foreign Affairs and International Cooperation, Mr Bernard Membe, announced from Oman that Tanzania had begun evacuating its nationals from Yemen that has been engulfed in a bloody war between government forces and rebels.In South Africa, a representative of Tanzanians living in the country told The Citizen yesterday, that the two met their deaths in the anti-foreigners attacks that have left another five people from other countries dead and thousands displaced in the city of Durban.
Mr Bonka Kuseleka, a representative of the Tanzanians, named the deceased as Rashid Jumanne, a cigarette peddler who died on Tuesday in Stenga, a suburb in Durban and one Athumani alias China Mapepe, who died on Wednesday in the largest city in the South African province of KwaZulu-Natal.
According to Mr Kuseleka, Rashid was shot dead by unknown gunmen while peddling his merchandise while Athumani, a detainee at Westville correctional facility was stabbed to death by fellow inmates.
“As I speak to you now we are on a peaceful march with some locals in Durban to condemn these brutal killings but so far we have lost two Tanzanians here,” he told The Citizen by phone from Durban.
Vijimambo
 
Back
Top Bottom