Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

40.5% of total land in tanzania is protected and untouched
hii inaifanya tanzania kua ni muiongoni mwa nchi chache sana duniani ambayo ina sifa hio😀😀😀
wakenya macho kodoooo
1957EE6E-1F31-4C60-BB27-78618B0E974E.jpeg
 

Mbona mnapenda kuzungumzia sana watanzania?, huwezi kusikia habari ya Kenya ikizungumziwa katika TV channels za Tanzania zaidi ya uchaguzi tu

Bona tunamjua uyo kapombe lkn vice wake nilimjua kwa ii forum.na diamond na alikiba
 
Back
Top Bottom