Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Nichomoe ujambe.? Mana unaugulia sana. 🤣🤣Na kwani hii Showroom ya Toyota yenu ni ya second hand vehicles?
Nichomoe ujambe.? Mana unaugulia sana. 🤣🤣Na kwani hii Showroom ya Toyota yenu ni ya second hand vehicles?
I already presented the figures yesterday wacha kujifanya hukuona.Are you training for the Olympics in circular reasoning? Because at this point, I think you’ve lapped me three times without ever reaching the finish line. "Acha kelele mingi, nipee hizo figures".
GDP yenye worst life standards 😂😂😂
View: https://x.com/Globalstats11/status/1936698479465861335?t=GU_cN0NNA5UDmNysET9POw&s=19
Tukianza tu hivi kujenga hio last section, wewe jua tutamaliza in 3 years or less. Sisi sio wavivu kama nyinyi.Hakuna mzigo Rwanda wa kuweza kulipa deni la sgr . Hiyo ya malaba tu mna miaka zaidi ya 8 hamjafanya lolote na hata funding bado kupata wakati wenzenu tayar lot zote Zina wakandarasi,
Dar- mwanza = 1200 km
Unajua maana ya goods exports per Capita?The last time I checked we export more goods than bongoslum, both per capita and total amount of goods.
![]()
![]()
Imewachukua almost 8 years kutafuta funding tu na bado kupata mpaka sasa, mmeamua kwenda kujipachika kwenye panda bonds ya china na bado hata uhakika wa kupata hapo, hata baada ya kupata itawachukua miaka mingine 8 kukamilisha hiyo project, meanwhile kule mwanza Iko hiviTukianza tu hivi kujenga hio last section, wewe jua tutamaliza in 3 years or less. Sisi sio wavivu kama nyiny
Watakwambia Wana service export kubwa ya labour ndo maana Wana remittances kubwa🤣🤣🤣🤣🤣Unajua maana ya goods exports per Capita?
In 2024, Tanzania's exports of goods and services totaled $16.093 billion, marking a 15.1% increase compared to the previous year
Kenya's total exports in 2024 were revised upwards by 37%, reaching Sh1.48 trillion (approximately $11.4 billion USD) after the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) revised their data. This revision was largely due to improved data capture of fuel re-exports, travel, and financial services. Prior to the revision, the value was estimated at Sh1.08 trillion.
kwenye opening hata raisi wa FIFA atakuwepo pamoja na wageni mbalimbali from all corners of the world and guess what wenyeji lazima wacheze mechi ya ufunguzi ila wao fainali hawachezi 🤣🤣🤣🤣What special for final match? Watu watakuwa wamechoka wanataka kurudi kwao. But opening ceremony everyone will be energetic and Tanzania itapata big revenue
Ukunduni kila mtu ni mpumbavu hivi?
View: https://www.instagram.com/reel/DLICs3XOePY/?igsh=dmR1enp4aGFtMDNj
utakula karatasi?Yet hizo nchi zote Kwa hio list except Nigeria zimeshinda bongoslum Kwa GDP per Capita. 🤣🤣 I doubt hata mko kwa hio ranking, wenzenu kama Burundi, Afghanistan, South Sudan etc hawako hapo.
kwahiyo wanahesabu remitansi kama exports?!!!!!!!!!!!!!!!Watakwambia Wana service export kubwa ya labour ndo maana Wana remittances kubwa🤣🤣🤣🤣🤣
Actually kwa Tanzania Inaweza mashabiki wengi kwa ajili ya unafuu wa maisha , maombi yangu tu kwa wazira ya mambo ya nje walau kungekuwa na free viza kwa nchi zote za Africa kipindi Cha mashindano hayo ili mashabiki wake kwa wingi na sisi tuuze chips zetu mtaanikwenye opening hata raisi wa FIFA atakuwepo pamoja na wageni mbalimbali from all corners of the world and guess what wenyeji lazima wacheze mechi ya ufunguzi ila wao fainali hawachezi 🤣🤣🤣🤣
Hiyo mada tulijadili siku moja. 🤣🤣🤣kwahiyo wanahesabu remitansi kama exports?!!!!!!!!!!!!!!!
upande wa DRC hakuna barabara mkuuHivi serikali inashindwa kweli kuweka meli kubwa ya roro ziwa tanganyika ili maroli ya kwenda congo yapitie kigoma kweli au ndio ubunifu 0View attachment 3379600
You only made 8 billion from Exports. Munahesabu hadi tourism kwa export figures. Kenya does not.Unajua maana ya goods exports per Capita?
In 2024, Tanzania's exports of goods and services totaled $16.093 billion, marking a 15.1% increase compared to the previous year
Kenya's total exports in 2024 were revised upwards by 37%, reaching Sh1.48 trillion (approximately $11.4 billion USD) after the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) revised their data. This revision was largely due to improved data capture of fuel re-exports, travel, and financial services. Prior to the revision, the value was estimated at Sh1.08 trillion.
Mbona mara kibao , ebu karibu fuatilia exports in manufactured goods ya Kenya na tzkwahiyo wanahesabu remitansi kama exports?!!!!!!!!!!!!!!!
ndani ya mwaka mmoja wame revise exports zao upwards by 37% from USD 8bn to 11bn lakini wapi hawajafikia ya Tz 16bn. kazi kupika data tuu hao hawana uchumi wowoteHiyo mada tulijadili siku moja. 🤣🤣🤣
You only made 8 billion from Traditional Exports. Munahesabu hadi tourism kwa export figures. Kenya does not.
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1877603811386364359