Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We kweli ni famba. 🤣🤣🤣 hizo calvert ndio za kutamba nazo? How much does it cost to build one.? Tunajenga madaraja marefu Africa na mahandaki, unatutishia calvert.?
You call them mahandaki yet you talk about them night and day
 
Hamjaiga munatumia renders zao kudanganya watu ni yenu. Wewe zoea kubeba rungu, mambo ya interchange wachia civil engineers.
Kuna siku ushawahi kuona tumeweka render alafu tukajenga tofauti na render? Msifosi tufanane, fyi tutajenga interchange exactly na hiyo render ambayo I'm 100% sure hata hao Ghana hawajaitendea haki.
 
Football Nation 🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

Mind you, hatujapeleka kikosi cha Afcon
Screenshot_20250612_083659_Google.jpg
 
Hii interchange ni ya ghana..inatwa takoradi interchange

View: https://www.youtube.com/watch?v=yJ4PYzZa2_A

View attachment 3365110

Wewe mbunda takoradi interchange ipi wewe kima.? 🤣🤣🤣 takoradi interchange render yake hii hapa. 👇🏾
IMG_8863.jpeg
vs 👇🏾
IMG_8843.jpeg
🤣🤣 do they look the same.?
So now get to know that, huko ulikookota hiyo renda sio ya takoradi ni ya dodoma. Niliona post yako hawa mbunda walijichekesha. Oyyaa come again mcheke hii. mwaiofhawaii nairobae Nicxie
 
Hizi ni mbaya bhana. , Dodoma and Ungaja city them building their interchanges, no sooner they are gonna be opened. Hichi kichaka unachojificha tunakichoma. 🤣🤣🤣 👇🏾 this one for Unguja View attachment 3364794View attachment 3364792this one for dodoma 👇🏾View attachment 3364854nyingine 👇🏾View attachment 3364857View attachment 3364859.. vipi una jingine. 🤣🤣🤣
Umeamua Utuweke renders cause you can’t get any interchange in Tanzania outside Dar si slum?
 
Leta development ya kenya kijana. Hatutaki Debate za trivial issues 👇 👇 👇 👇 👇

Tanzania’s Total National Grid Power Capacity Reaches 4,031.71 MW as of April 2025​


View attachment 3364454

View attachment 3364455
Great a developing nation should produce energy and use it , hiki nikipimo kikubwa cha maendeleo maana viwanda vinakuja kwenye umeme wa uhakika
 
Back
Top Bottom