Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna kitu mtaweza buana, mara ngapi mmetikisa kiberiti mkapigwa za shavu.
Yaan mngejua tunavotamani vita na nchi nyingine,hata msingesema
Ni wewe kapuku wa jamii forums, sio serikali yenu mnyonge.., mbwa yenye inabweka sana haiumi., hehehe
 
Ni wewe kapuku wa jamii forums, sio serikali yenu mnyonge.., mbwa yenye inabweka sana haiumi., hehehe
Kwikwikwikwi

1749564203987.png
 
Laana Iko kenya ndugu itawachukua miaka kujitambua
Tanzania ndio zaidi, kama ufukara inawasukuma hadi mnakula albino nyinyi ni watu kweli?..., tulaumu nani?

Ufukara ndio chanzo.., pia omba omba wanakimbia hiyo ufukara hehehe
1749564141653.png


1749564266896.png

1749564244604.png
 
Taarifa za uongo hizo. Sote tunawajua. The Citzen ni Gazeti lilianzishwa kipindi cha mkapa. Mkapa aliwaalika wakenya. Kwikwikwikwikwikwi
Ukweli inauma, linapinga hehehehehe.., nawajua ukweli huwa inawatesa sana., hampendi kamwe hehehehe
 
Mara ya mwisho kuskia hili tatizo Turkana ni lini? na hatujawaona wakienda kukua omba omba Uganda ama Tanzania, kama mafukara wenu walivyo., ina maanisha wanapata msaada Kenya, nyie fukara wenu ata msaada hamna hehehe.., licha ya haya, mafukara wa kutupwa ni wengi Tanzania., FACT!
 
Mara ya mwisho kuskia hili tatizo Turkana ni lini? na hatujawaona wakienda kukua omba omba Uganda ama Tanzania, kama mafukara wenu walivyo., ina maanisha wanapata msaada Kenya, nyie fukara wenu ata msaada hamna hehehe.., licha ya haya, mafukara wa kutupwa ni wengi Tanzania., FACT!
Sasa hivi nimesikia. Unataka nikupatie ushahidi?
 
Mara ya mwisho kuskia hili tatizo Turkana ni lini? na hatujawaona wakienda kukua omba omba Uganda ama Tanzania, kama mafukara wenu walivyo., ina maanisha wanapata msaada Kenya, nyie fukara wenu ata msaada hamna hehehe.., licha ya haya, mafukara wa kutupwa ni wengi Tanzania., FACT!
Ukiona hawajaenda ujue system za nchi husika ziko strong sio za mchezo, mfano uko kwenye magari, Kenya mnaendesha magari kamaachokoraa mkija Tanzania mnakutanq na ngumi dume faini Kila sehem mnaona mmeonewa kumbe system zetu ziko straight
 
Mara ya mwisho kuskia hili tatizo Turkana ni lini? na hatujawaona wakienda kukua omba omba Uganda ama Tanzania, kama mafukara wenu walivyo., ina maanisha wanapata msaada Kenya, nyie fukara wenu ata msaada hamna hehehe.., licha ya haya, mafukara wa kutupwa ni wengi Tanzania., FACT!
Kwikwikwikwikwi 👇 👇 👇 👇 May 2025

Food crisis looms as 2.5 million Kenyans face hunger​


 
Ukiona hawajaenda ujue system za nchi husika ziko strong sio za mchezo, mfano uko kwenye magari, Kenya mnaendesha magari kamaachokoraa mkija Tanzania mnakutanq na ngumi dume faini Kila sehem mnaona mmeonewa kumbe system zetu ziko straight
Tanzania na Uganda ni kama choo ya jamii.., ni rahisi mtu wa chini kuingia na kuishi na wenzake.., wakazi wa border towns na wa Maasai wanaingiaga Tz ata bila vibali.., Uganda is the most friendly kama Kenya., kuingia na kuishi ni rahisi..., so argument yako ni ya kishabiki tu, unajifariji hehe., umeshindwa you are merely clutching at straws.., umezama wewe hehehehe
 
Back
Top Bottom