Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nani amekataa.., umeona mahali nimekataa, the news is from a reputable newspaper, Daily Nation(mmiliki wa The Citizen na Mwananchi ya Tanzania)., sijapinga taarifa ., rudi usome nilicho andika Kisha jiba kikamilifu.., my first response...,
Yes, we have problems.

Now what has Kunyan GDP solved👇👇👇

Screenshot_20250610_152036_X.jpg
 
Akili ya mtanzania ni kama imejaa uji, so wewe unafikiria eti Kenya imeshindwa kulisha huyu mzee ama ni jukumu lake mwenyewe na watu wa ukoo wake? ameshindwa kujimudu, kwa vile ni Mzee and a widower(alie fiwa na mkewe), anaenda kuokota mabaki ya mahindi kwa Airstrip ya Taveta(kiwanja ndege), umaskini wa mtu binafsi, so serikali iwatafutie Kisha iwapikie na iwalishe, idiots🤣🤣🤣🤣., the fact that anaokota imported maize shows uwezo wa Kenya kununua, watu wa ukoo wake wako wapi?.., mbona wasishughulikie wazee wao? Kwani Kuna jambo mbaya alifanyia watoto wake ili wamwache ahangaike peke yake uzeeni? ama hana watoto na wajukuu?..,

Kwa hizi fikra zako, ebu nielezee hawa👇👇👇 watoto wavalishwe na serikali ya Tanzania eti? ama ni mujibu wa wazazi, jamii yao, haswa watu wa ukoo wao?., so Tanzania ni fukara haiwezi kuvalisha watoto wa shule? Kwa huu👇👇 ufukara tulaumu nani?., nielezee wewe..,
View attachment 3363176
So kwa fikra zako utasema serikali ya Tanzania imeshindwa kuwavalisha watoto wao eti? Stupidity, ability to comprehend a situation mko zero karibia nyote,🤣🤣🤣🤣🤣

Na hawa👇👇👇 je? Tulaumu serikali ya Tanzania, Watanzania(jamii na ukoo) ama mtu binafsi??., tunajua Tanzania ni taifa yenye misingi ya Ujamaa, hawa imekuaje?.., mbona sioni wakenya wakienda kuomba omba mitaani Tanzania?

Tulaumu nani? Ufukara wa Tanzania,(uchumi hafifu), ama jamii na ukoo ya hawa👇👇 watu?
View attachment 3363178
View attachment 3363179
View attachment 3363180
View attachment 3363182
View attachment 3363183
View attachment 3363184
View attachment 3363185
Mbona kama umepanic?

Hizo ðrámá zenu bwana ziko outdated. Sasa kama ni Tanzanians si mdeport au mpeleke ubalozi wa Tz, why shame them on media, kwanza ni humán right violation.

In Tz, Sometimes in kigoma region they deport burundians and Rwandese who come to Tz illegally. Sio kuwapiga picha na kuwatangaza mitandaoni. Huo ni ujinga
 
Source from Mama Ngina News
Sasa unakwepa na reason uchwara.., same newspaper ndio ina report your cases(Kuna The Citizen hapo, na Nation for your case).., so jibu swali, in both Kenya and Tanzanian cases, tutalaumi nani?.., serikali, jamii(haswa ukoo ya mafukara), ama tulaumu watu binafsi?., na utoe sababu....,
 
Sasa unakwepa na reason uchwara.., same newspaper ndio ina report your cases(Kuna The Citizen hapo, na Nation for your case).., so jibu swali, in both Kenya and Tanzanian cases, tutalaumi nani?.., serikali, jamii(haswa ukoo ya mafukara), ama tulaumu watu binafsi?., na utoe sababu....,
99% ya NewsPapers ulizoweka ni za Kenya. We all know how much Kenyans hate Tanzania.
 
Yes, we have problems.

Now what has Kunyan GDP solved👇👇👇

View attachment 3363223
And what your " tuko nafuu kuliko Kenya" mentality solved?.., hadi mafukara wanakimbia nchi wanaenda nchi jirani🤣🤣🤣🤣., ukiona panya ya sewage inatembea nje, on top of the ground jua nyumbani hakukaliki., ndio hawa sasa., dhibitisho kwao kubaya zaidi
Screenshot_20240527-231129.jpg


Screenshot_20240410-202118.jpg

Screenshot_20240410-202033.jpg

99% ya NewsPapers ulizoweka ni za Kenya. We all know how much Kenyans hate Tanzania.
Unajitetea eti?.., na Kuna video evidence 🤣🤣🤣🤣.., jibu swali, tulaumu nani? The Citizen newspaper 👆👆 inachapishwa na waandishi wa Tanzania, editor ni Mtanzania.., so??

Wewe jibu., tulaumu nani kwa incidences kama hizo? Serikali, watu binafsi ama ukoo wao?..,
 
Akili ya mtanzania ni kama imejaa uji, so wewe unafikiria eti Kenya imeshindwa kulisha huyu mzee ama ni jukumu lake mwenyewe na watu wa ukoo wake? ameshindwa kujimudu, kwa vile ni Mzee and a widower(alie fiwa na mkewe), anaenda kuokota mabaki ya mahindi kwa Airstrip ya Taveta(kiwanja ndege), umaskini wa mtu binafsi, so serikali iwatafutie Kisha iwapikie na iwalishe, idiots🤣🤣🤣🤣., the fact that anaokota imported maize shows uwezo wa Kenya kununua, watu wa ukoo wake wako wapi?.., mbona wasishughulikie wazee wao? Kwani Kuna jambo mbaya alifanyia watoto wake ili wamwache ahangaike peke yake uzeeni? ama hana watoto na wajukuu?..,
Huo ni mfano tu majority yenu mnavoishi, huyo mfano wa mtu mmoja ila ukienda pale migori wapo wengi Huwa wanaokota hayo mahindi.
Kwa Tanzania wazee kama hao wanaprogram Moja ya tasaf kwa ajili yao , pamoja na kuwa inakuwa inawapa pesa Kila mwez ila wafundishwa kaz ndogondogo kwa ajili ya kujikimu. Ila kufikia hatua ya kuokota hii mmetia fora
Mchezo huuu hatuhitaji hasira, hizo ni dalili ya mtu mwenye stress na hofu
Kwa hizi fikra zako, ebu nielezee hawa👇👇👇 watoto wavalishwe na serikali ya Tanzania eti? ama ni mujibu wa wazazi, jamii yao, haswa watu wa ukoo wao?., so Tanzania ni fukara haiwezi kuvalisha watoto wa shule? Kwa huu👇👇 ufukara tulaumu nani?., nielezee wewe..,
View attachment 3363176
So kwa fikra zako utasema serikali ya Tanzania imeshindwa kuwavalisha watoto wao eti? Stupidity, ability to comprehend a situation mko zero karibia nyote,🤣🤣🤣🤣🤣

Na hawa👇👇👇 je? Tulaumu serikali ya Tanzania, Watanzania(jamii na ukoo) ama mtu binafsi??., tunajua Tanzania ni taifa yenye misingi ya Ujamaa, hawa imekuaje?.., mbona sioni wakenya wakienda kuomba omba mitaani Tanzania?

Tulaumu nani? Ufukara wa Tanzania,(uchumi hafifu), ama jamii na ukoo ya hawa👇👇 watu?
View attachment 3363178

Hiyo ni human trafficking huwez sema watanzania wanaomba ovyo wakati Tanzania hawapo na kiwango mnachohubiri.

Inaonesha vyombo vyenu vya Sheria ni incompetent inakuwaje mtu aje kufanya kazi ya uombaji Tena sio mkenya mkamuacha kama sio propaganda 🤣🤣🤣🤣

Fukuzeni tuone wataenda wapi
 
Good question.
Sisi hatuna roho mbaya kama nyinyi, hatusumbui mtu mwenye shida, tunatoa huruma, but pia wamekua deported sio mara moja, ila wanarudi..,
Hapa gazeti lenyu kinaonyesha that were arrested, wengi wakiingia Makueni(Ukambaani penye ukame mkali wakati wa kiangazi, na bado omba omba wanaenda kule), na wengine Migori., karibu na Isbania border ya Kenya na Tz.., jiangalieni., nasisitiza tulaumu nani??
Screenshot_20240410-202118.jpg
 
Sasa unakwepa na reason uchwara.., same newspaper ndio ina report your cases(Kuna The Citizen hapo, na Nation for your case).., so jibu swali, in both Kenya and Tanzanian cases, tutalaumi nani?.., serikali, jamii(haswa ukoo ya mafukara), ama tulaumu watu binafsi?., na utoe sababu....,
Nyinyi ni watu wa drama buana depot them muone kama , italeta ugomvi .
 
Sisi hatuna roho mbaya kama nyinyi, hatusumbui mtu mwenye shida, tunatoa huruma, but pia wamekua deported sio mara moja, ila wanarudi..,
Hapa gazeti lenyu kinaonyesha that were arrested, wengi wakiingia Makueni(Ukambaani penye ukame mkali wakati wa kiangazi, na bado omba omba wanaenda kule), na wengine Migori., karibu na Isbania border ya Kenya na Tz.., jiangalieni., nasisitiza tulaumu nani??
View attachment 3363240
Sio kwamba hamna roho mbaya ,sema mko weak , kwanini mnashindwa kuwafukuza kama sio raia wenu. Umeona tulichokifanya kwa mkenya mwenzenu alipokuja kuleta ujinga tz. Tunatenda na wala hatuongei kimya kimya tu
 
Sisi hatuna roho mbaya kama nyinyi, hatusumbui mtu mwenye shida, tunatoa huruma, but pia wamekua deported sio mara moja, ila wanarudi..,
Hapa gazeti lenyu kinaonyesha that were arrested, wengi wakiingia Makueni(Ukambaani penye ukame mkali wakati wa kiangazi, na bado omba omba wanaenda kule), na wengine Migori., karibu na Isbania border ya Kenya na Tz.., jiangalieni., nasisitiza tulaumu nani??
View attachment 3363240
Huwa huna kazi ya kufanya! Huu muda unaotumia kuandika hizi pumba zote ndefu unautoa wapi, angalau hata ungekuwa unaandika vitu vya maana inge make sense.
Hii mipasho ondoa hapa.

Kama ni Watanzania si muwarudishe.
Yaani watu wenu wakiomba omba mitaani mnawaita ati ni Watanzania.
Sikulaumu, ni uwezo wako mdogo wa kufikiri ndo unaleta yote hayo.
Sisi huku kwenye magereza ya Tanzania tumejaza majambazi kutoka ukunyani failed state.
 
Huwa huna kazi ya kufanya! Huu muda unaotumia kuandika hizi pumba zote ndefu unautoa wapi, angalau hata ungekuwa unaandika vitu vya maana inge make sense.
Hii mipasho ondoa hapa.

Kama ni Watanzania ni muwarudishe.
Yaani watu wenu wakiomba omba mitaani mnawaita ati ni Watanzania.
Sikulaumu, ni uwezo wako mdogo wa kufikiri ndo unaleta yote hayo.
Sisi huku kwenye magereza ya Tanzania tumejaza majambazi kutoka ukunyani failed state.
Eti wanashindwa kuwadepot wanaogopa tutafunga mipaka wakose hela ya mahindi
 
Huo ni mfano tu majority yenu mnavoishi, huyo mfano wa mtu mmoja ila ukienda pale migori wapo wengi Huwa wanaokota hayo mahindi.
Kwa Tanzania wazee kama hao wanaprogram Moja ya tasaf kwa ajili yao , pamoja na kuwa inakuwa inawapa pesa Kila mwez ila wafundishwa kaz ndogondogo kwa ajili ya kujikimu. Ila kufikia hatua ya kuokota hii mmetia fora
Mchezo huuu hatuhitaji hasira, hizo ni dalili ya mtu mwenye stress na hofu


Hiyo ni human trafficking huwez sema watanzania wanaomba ovyo wakati Tanzania hawapo na kiwango mnachohubiri.


Inaonesha vyombo vyenu vya Sheria ni incompetent inakuwaje mtu aje kufanya kazi ya uombaji Tena sio mkenya mkamuacha kama sio propaganda 🤣🤣🤣🤣

Fukuzeni tuone wataenda wapi
Sasa unadanganya wewe, yaani unajibu kishabiki kujiliwaza, mbwa 🤣🤣🤣🤣🤣

FACTS!!! unajaribu kukwepa swali?.., utalaumu nani kwa huu👇👇 ufukara, na ukweli usio fichika yaani aibu ya omba omba??.
FB_IMG_1733217671623.jpg

Screenshot_20250610-153514.jpg

1749560938428.jpeg
 
Eti wanashindwa kuwadepot wanaogopa tutafunga mipaka wakose hela ya mahindi
Wanarudishwa Kisha wengi kutokea vijijini wanaendelea kuingia Kenya.., mko hovyo, mafukara wanawakimbia🤣🤣🤣, sio makosa mnatajwa miongoni mwa mataifa yenye watu wengi mafukara wa kutupwa 🤣🤣🤣🤣.,
Screenshot_20240802-022252.jpg

From WB poverty Index report., ground inadhibitisha kwa kishindo.., 🤣🤣🤣
 
Sasa unadanganya wewe, yaani unajibu kishabiki kujiliwaza, mbwa 🤣🤣🤣🤣🤣
Haha Mimi nilijua wako uchi kumbe ni watoto ambao wametoka zao kucheza . Kwa kuangalia tu walivyo pamoja na kuwa na vumbi ila Wana afya njema,ukizoom miguuu Haina jiggers linganisha na wenu sasa
1749561158151.jpeg
1749561158151.jpeg
!!! unajaribu kukwepa swali?.., utalaumu nani kwa huu👇👇 ufukara, na ukweli usio fichika yaani aibu ya omba omba??.
View attachment 3363250
View attachment 3363249
View attachment 3363253
 
Huwa huna kazi ya kufanya! Huu muda unaotumia kuandika hizi pumba zote ndefu unautoa wapi, angalau hata ungekuwa unaandika vitu vya maana inge make sense.
Hii mipasho ondoa hapa.

Kama ni Watanzania si muwarudishe.
Yaani watu wenu wakiomba omba mitaani mnawaita ati ni Watanzania.
Sikulaumu, ni uwezo wako mdogo wa kufikiri ndo unaleta yote hayo.
Sisi huku kwenye magereza ya Tanzania tumejaza majambazi kutoka ukunyani failed state.
Ni akili zenu zilizo duaa ndio tatizo, lazima nguvu nyingi itumike kuwaelimisha., ki fikra wengi mko hovyo., too obvious!🤣🤣🤣
 
Wanarudishwa Kisha wengi kutokea vijijini wanaendelea kuingia Kenya.., mko hovyo, mafukara wanawakimbia🤣🤣🤣, sio makosa mnatajwa miongoni mwa mataifa yenye watu wengi mafukara wa kutupwa 🤣🤣🤣🤣.,
View attachment 3363260
From WB poverty Index report., ground inadhibitisha kwa kishindo.., 🤣🤣🤣
Kwa hiyo unakubali kuwa askari wenu ni weak ? Yaan mnashindwa kucontrol ombaomba tu mtaweza Kweli kushindana na jiggers
 
Haha Mimi nilijua wako uchi kumbe ni watoto ambao wametoka zao kucheza . Kwa kuangalia tu walivyo pamoja na kuwa na vumbi ila Wana afya njema,ukizoom miguuu Haina jiggers linganisha na wenu sasa
So tulaumu nani?.., kwa matatizo ya ufukara, omba omba, jiggers, etc, Kenya na Tanzania ni nani wa kulaumiwa?.., hapa ndio unakwepa.., kwa mafukara wa kutupwa walio wengi Tanzania tulaumu nani??.,
 
Back
Top Bottom