Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwikwikwikwikwi 👇 👇 👇 👇 May 2025

Food crisis looms as 2.5 million Kenyans face hunger​


Unajua maana ya neno "looms" yaani it is hypothetical, sio eti itatokea, ni tahadhari just in case due to weather patterns, swali langu, did it happen? hiyo famine ilitokea 2025?, kwa sasa tuko June 2025, kati kati ya mwaka...., ona sasa madhara ya elimu duni hehehe
 
Tanzania na Uganda ni kama choo ya jamii.., ni rahisi mtu wa chini kuingia na kuishi na wenzake.., wakazi wa border towns na wa Maasai wanaingiaga Tz ata bila vibali.., Uganda is the most friendly kama Kenya., kuingia na kuishi ni rahisi..., so argument yako ni ya kishabiki tu, unajifariji hehe., umeshindwa you are merely clutching at straws.., umezama wewe hehehehe
Ingekuwa ni rahisi Tanzania, basi Tanzania mpaka saa hii ingekuwa inasumbuliwa na majambazi na vibaka wengi maana timezungukwa na nchi 7 ambazo karibia zote zinasumbuliwa na ujambazi na vurugu.
Tanzania tuna miaka hatusikii ujambazi wa silaha kwa sabab askari wako makini, haya tuambie Kenya ni sehem gan Iko safe
 
Bizarre occurrences sio jambo geni.., swali langu linabakia pale pale, tulaumu serikali, jamii ama mtu binafsi kwa haya matatizo ya raiya wa Tanzania na Kenya?...,
Bizarre occurrences kwa extend gani? Tukianza kujiorodhesha Kenya versus tanzania+ Uganda+ Rwanda nyinyi bado mtashinda inaonekana ni tabia yenu
 
Ingekuwa ni rahisi Tanzania, basi Tanzania mpaka saa hii ingekuwa inasumbuliwa na majambazi na vibaka wengi maana timezungukwa na nchi 7 ambazo karibia zote zinasumbuliwa na ujambazi na vurugu.
Tanzania tuna miaka hatusikii ujambazi wa silaha kwa sabab askari wako makini, haya tuambie Kenya ni sehem gan Iko safe
Nani anatamani kuenda taifa fukara ukanda huu? tukiangalia idadi ya wakimbizi wa kutokea mataifa ya East Africa, Warundi, Rwandese, Wakongomani, South Sudanese, Ethiopians, na Wasomali; idadi ya wakimbizi kutoka haya mataifa ni kubwa sana Kenya kuliko taifa yoyote EAC.., na sio wanao ishi ndani ya refugee camps, walio mitaani ni wengi sana, Tanzania yenyewe ni kubwa lakini mtu akipita anaona ufukara wazi wazi anapita anakimbilia Kenya., jiulize ni kwa nini?.., mko na laana flani, pia omba omba wenu wanawakimbia!!
 
Bizarre occurrences kwa extend gani? Tukianza kujiorodhesha Kenya versus tanzania+ Uganda+ Rwanda nyinyi bado mtashinda inaonekana ni tabia yenu
Hapo nyinyi mtabeba ubingwa, kikombe mnapata, ujinga mlio nayo!!!.., hehehehe
 
Nani anatamani kuenda taifa fukara ukanda huu? tukiangalia idadi ya wakimbizi wa kutokea mataifa ya East Africa, Warundi, Rwandese, Wakongomani, South Sudanese, Ethiopians, na Wasomali; idadi ya wakimbizi kutoka haya mataifa ni kubwa sana Kenya kuliko taifa yoyote EAC.., na sio wanao ishi ndani ya refugee camps, walio mitaani ni wengi sana, Tanzania yenyewe ni kubwa lakini mtu akipita anaona ufukara wazi wazi anapita anakimbilia Kenya., jiulize ni kwa nini?.., mko na laana flani, pia omba omba wenu wanawakimbia!!
Hatutaki wakimbizi maana walitusumbua sana na ujambazi nyinyi mnataka wakimbizi ili muendelee kupata misaada kutoka usa.

Restrictive Policies:
Tanzania has been implementing more restrictive policies and rhetoric to deter refugee arrivals and encourage repatriation.
 
Mbona kama umepanic?

Hizo ðrámá zenu bwana ziko outdated. Sasa kama ni Tanzanians si mdeport au mpeleke ubalozi wa Tz, why shame them on media, kwanza ni humán right violation.

In Tz, Sometimes in kigoma region they deport burundians and Rwandese who come to Tz illegally. Sio kuwapiga picha na kuwatangaza mitandaoni. Huo ni ujinga
Wamekua kero.
 
Hatutaki wakimbizi maana walitusumbua sana na ujambazi nyinyi mnataka wakimbizi ili muendelee kupata misaada kutoka usa.

Restrictive Policies:
Tanzania has been implementing more restrictive policies and rhetoric to deter refugee arrivals and encourage repatriation.
Hamna hehehe, ni ufukara, Tanzania iko very open kwa wageni, la pili kukandamizwa na serikali yenu, mtanzania mwenyewe hana sauti, sembuse mgeni., mko hovyoooo hehehe
 
Fukuzeni sasa mnaogopa Nini kama sio wakenya wenu
Tunajaribu ila mnarudi tu.., ni kama USA they deport lakini illegal immigrants hawakomi.., ndio omba omba wenu walivyo hehehehe., now deal na msingi wa tatizo, ufukara wa kutupwa Tanzania, mki solve hiyo, mtamaliza hili jambo la aibu.
 
Tunajaribu ila mnarudi tu.., ni kama USA they deport lakini illegal immigrants hawakomi.., ndio omba omba wenu walivyo hehehehe., now deal na msingi wa tatizo, ufukara wa kutupwa Tanzania, mki solve hiyo, mtamaliza hili jambo la aibu.
Nyinyi mmesolve tatizo la syndicates wanateka na kuja kufanyisha hizo kazi
 
Iko open kivipi hebu tupe rates ya crimes zilizopo Tanzania versus kenya
Watu hawaendi kwenu kwa wingi, ni kwa hiari yao, nani anataka kuishi taifa fukara?.., tazama muonekano wa juu wa Dar yoote kwa upana na urefu.., it is a clear round off to ufukara kimuonekano., hehehe
 
Nyinyi mmesolve tatizo la syndicates wanateka na kuja kufanyisha hizo kazi
That is just an offshoot from the real issue, mtu aliona mnakuja kwa wingi na mnaomba mitaani hadi vijijini, akaona fursa hapo, taking advantage of the plight of your poor people, akili mtu wangu., that one was sorted after BBC expose'.., kwa sasa ni ile omba omba yenu ya kawaida tu.., uzembe
 
Watu hawaendi kwenu kwa wingi, ni kwa hiari yao, nani anataka kuishi taifa fukara?.., tazama muonekano wa juu wa Dar yoote kwa upana na urefu.., it is a clear round off to ufukara kimuonekano., hehehe
Sawa kwa juu ebu select hilo kwenye paa halafu uende ground tulinganishe na kwenu. Ukikuta nyumba ya mabati dar es salaam , jua Nairobi Kuna nyumba za mabati 50,000
 
That is just an offshoot from the real issue, mtu aliona mnakuja kwa wingi na mnaomba mitaani hadi vijijini, akaona fursa hapo, taking advantage of the plight of your poor people, akili mtu wangu., that one was sorted.., kwa sasa ni ile omba omba yenu ya kawaida tu.., uzembe
Then mnashindwa kumdhibiti ? Kwahiyo umekubali vyombo vyenu vya usalama n weak
 
Back
Top Bottom