ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
Unajua maana ya neno "looms" yaani it is hypothetical, sio eti itatokea, ni tahadhari just in case due to weather patterns, swali langu, did it happen? hiyo famine ilitokea 2025?, kwa sasa tuko June 2025, kati kati ya mwaka...., ona sasa madhara ya elimu duni heheheKwikwikwikwikwi 👇 👇 👇 👇 May 2025
Food crisis looms as 2.5 million Kenyans face hunger
![]()
Food crisis looms as 2.5 million Kenyans face hunger
Particular concern has been raised over pastoral areas in Turkana, Marsabit, and Garissa counties, where food insecurity is expected to last until at least May...eastleighvoice.co.ke
Ingekuwa ni rahisi Tanzania, basi Tanzania mpaka saa hii ingekuwa inasumbuliwa na majambazi na vibaka wengi maana timezungukwa na nchi 7 ambazo karibia zote zinasumbuliwa na ujambazi na vurugu.Tanzania na Uganda ni kama choo ya jamii.., ni rahisi mtu wa chini kuingia na kuishi na wenzake.., wakazi wa border towns na wa Maasai wanaingiaga Tz ata bila vibali.., Uganda is the most friendly kama Kenya., kuingia na kuishi ni rahisi..., so argument yako ni ya kishabiki tu, unajifariji hehe., umeshindwa you are merely clutching at straws.., umezama wewe hehehehe
Sisi ni fukara ila hatufi njaa na hatuongoz kwa kuvaa mitumba bali nguo mpya. Haya nyinyi matajiri inakuwaje mnakufa njaa na mnaongoza kwa importation ya mitumba e.africaUnfortunately nyie ndio mna ufukara wa kiaina., wanawakimbia hehehe
Bizarre occurrences sio jambo geni.., swali langu linabakia pale pale, tulaumu serikali, jamii ama mtu binafsi kwa haya matatizo ya raiya wa Tanzania na Kenya?...,
Bizarre occurrences kwa extend gani? Tukianza kujiorodhesha Kenya versus tanzania+ Uganda+ Rwanda nyinyi bado mtashinda inaonekana ni tabia yenuBizarre occurrences sio jambo geni.., swali langu linabakia pale pale, tulaumu serikali, jamii ama mtu binafsi kwa haya matatizo ya raiya wa Tanzania na Kenya?...,
Nani anatamani kuenda taifa fukara ukanda huu? tukiangalia idadi ya wakimbizi wa kutokea mataifa ya East Africa, Warundi, Rwandese, Wakongomani, South Sudanese, Ethiopians, na Wasomali; idadi ya wakimbizi kutoka haya mataifa ni kubwa sana Kenya kuliko taifa yoyote EAC.., na sio wanao ishi ndani ya refugee camps, walio mitaani ni wengi sana, Tanzania yenyewe ni kubwa lakini mtu akipita anaona ufukara wazi wazi anapita anakimbilia Kenya., jiulize ni kwa nini?.., mko na laana flani, pia omba omba wenu wanawakimbia!!Ingekuwa ni rahisi Tanzania, basi Tanzania mpaka saa hii ingekuwa inasumbuliwa na majambazi na vibaka wengi maana timezungukwa na nchi 7 ambazo karibia zote zinasumbuliwa na ujambazi na vurugu.
Tanzania tuna miaka hatusikii ujambazi wa silaha kwa sabab askari wako makini, haya tuambie Kenya ni sehem gan Iko safe
Hapo nyinyi mtabeba ubingwa, kikombe mnapata, ujinga mlio nayo!!!.., heheheheBizarre occurrences kwa extend gani? Tukianza kujiorodhesha Kenya versus tanzania+ Uganda+ Rwanda nyinyi bado mtashinda inaonekana ni tabia yenu
Hatutaki wakimbizi maana walitusumbua sana na ujambazi nyinyi mnataka wakimbizi ili muendelee kupata misaada kutoka usa.Nani anatamani kuenda taifa fukara ukanda huu? tukiangalia idadi ya wakimbizi wa kutokea mataifa ya East Africa, Warundi, Rwandese, Wakongomani, South Sudanese, Ethiopians, na Wasomali; idadi ya wakimbizi kutoka haya mataifa ni kubwa sana Kenya kuliko taifa yoyote EAC.., na sio wanao ishi ndani ya refugee camps, walio mitaani ni wengi sana, Tanzania yenyewe ni kubwa lakini mtu akipita anaona ufukara wazi wazi anapita anakimbilia Kenya., jiulize ni kwa nini?.., mko na laana flani, pia omba omba wenu wanawakimbia!!
Tuanze na kesi za kufanya sex na mifugo kwanza🤣🤣🤣Hapo nyinyi mtabeba ubingwa, kikombe mnapata, ujinga mlio nayo!!!.., hehehehe
Wamekua kero.Mbona kama umepanic?
Hizo ðrámá zenu bwana ziko outdated. Sasa kama ni Tanzanians si mdeport au mpeleke ubalozi wa Tz, why shame them on media, kwanza ni humán right violation.
In Tz, Sometimes in kigoma region they deport burundians and Rwandese who come to Tz illegally. Sio kuwapiga picha na kuwatangaza mitandaoni. Huo ni ujinga
Fukuzeni sasa mnaogopa Nini kama sio wakenya wenuWamekua kero.
Hamna hehehe, ni ufukara, Tanzania iko very open kwa wageni, la pili kukandamizwa na serikali yenu, mtanzania mwenyewe hana sauti, sembuse mgeni., mko hovyoooo heheheHatutaki wakimbizi maana walitusumbua sana na ujambazi nyinyi mnataka wakimbizi ili muendelee kupata misaada kutoka usa.
Restrictive Policies:
Tanzania has been implementing more restrictive policies and rhetoric to deter refugee arrivals and encourage repatriation.
Iko open kivipi hebu tupe rates ya crimes zilizopo Tanzania versus kenyaHamna hehehe, ni ufukara, Tanzania iko very open kwa wageni, la pili kukandamizwa na serikali yenu, mtanzania mwenyewe hana sauti, sembuse mgeni., mko hovyoooo hehehe
Tunajaribu ila mnarudi tu.., ni kama USA they deport lakini illegal immigrants hawakomi.., ndio omba omba wenu walivyo hehehehe., now deal na msingi wa tatizo, ufukara wa kutupwa Tanzania, mki solve hiyo, mtamaliza hili jambo la aibu.Fukuzeni sasa mnaogopa Nini kama sio wakenya wenu
Nyinyi mmesolve tatizo la syndicates wanateka na kuja kufanyisha hizo kaziTunajaribu ila mnarudi tu.., ni kama USA they deport lakini illegal immigrants hawakomi.., ndio omba omba wenu walivyo hehehehe., now deal na msingi wa tatizo, ufukara wa kutupwa Tanzania, mki solve hiyo, mtamaliza hili jambo la aibu.
Watu hawaendi kwenu kwa wingi, ni kwa hiari yao, nani anataka kuishi taifa fukara?.., tazama muonekano wa juu wa Dar yoote kwa upana na urefu.., it is a clear round off to ufukara kimuonekano., heheheIko open kivipi hebu tupe rates ya crimes zilizopo Tanzania versus kenya
That is just an offshoot from the real issue, mtu aliona mnakuja kwa wingi na mnaomba mitaani hadi vijijini, akaona fursa hapo, taking advantage of the plight of your poor people, akili mtu wangu., that one was sorted after BBC expose'.., kwa sasa ni ile omba omba yenu ya kawaida tu.., uzembeNyinyi mmesolve tatizo la syndicates wanateka na kuja kufanyisha hizo kazi
Sawa kwa juu ebu select hilo kwenye paa halafu uende ground tulinganishe na kwenu. Ukikuta nyumba ya mabati dar es salaam , jua Nairobi Kuna nyumba za mabati 50,000Watu hawaendi kwenu kwa wingi, ni kwa hiari yao, nani anataka kuishi taifa fukara?.., tazama muonekano wa juu wa Dar yoote kwa upana na urefu.., it is a clear round off to ufukara kimuonekano., hehehe
Then mnashindwa kumdhibiti ? Kwahiyo umekubali vyombo vyenu vya usalama n weakThat is just an offshoot from the real issue, mtu aliona mnakuja kwa wingi na mnaomba mitaani hadi vijijini, akaona fursa hapo, taking advantage of the plight of your poor people, akili mtu wangu., that one was sorted.., kwa sasa ni ile omba omba yenu ya kawaida tu.., uzembe