Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni akili zenu zilizo duaa ndio tatizo, lazima nguvu nyingi itumike kuwaelimisha., ki fikra wengi mko hovyo., too obvious!🤣🤣🤣
Hivi kwa akili ya yako wakenya wako na elimu kweli? Mwenye elimu hashindwi kuzalisha chakula, mwenye elimu hawez endesha nchi kwa k recurrent budget ya over 70%
Mwenye elimu mambo yake ni kimya kimya ila matokeo unayaona
 
And what your " tuko nafuu kuliko Kenya" mentality solved?.., hadi mafukara wanakimbia nchi wanaenda nchi jirani🤣🤣🤣🤣., ukiona panya ya sewage inatembea nje, on top of the ground jua nyumbani hakukaliki., ndio hawa sasa., dhibitisho kwao kubaya zaidi
View attachment 3363234

View attachment 3363236
View attachment 3363235

Unajitetea eti?.., na Kuna video evidence 🤣🤣🤣🤣.., jibu swali, tulaumu nani? The Citizen newspaper 👆👆 inachapishwa na waandishi wa Tanzania, editor ni Mtanzania.., so??

Wewe jibu., tulaumu nani kwa incidences kama hizo? Serikali, watu binafsi ama ukoo wao?..,
Hizo newspapers za kenya kila mtu duniani anazijua.
 
So tulaumu nani?.., kwa matatizo ya ufukara, omba omba, jiggers, etc, Kenya na Tanzania ni nani wa kulaumiwa?.., hapa ndio unakwepa.., kwa mafukara wa kutupwa walio wengi Tanzania tulaumu nani??.,
Mjilaumu nyinyi ambao hamna akili , yaan jiggers 2025 halafu unajiita msomi?
Yaan 2025 unaishi kwenye nyumba ya bati na slums halafu unajiona msomi?
 
Kwa hiyo unakubali kuwa askari wenu ni weak ? Yaan mnashindwa kucontrol ombaomba tu mtaweza Kweli kushindana na jiggers

Utu sio unyonge kilaza, ni nguvu, ata kama ni kwa kiwango kidogo 💪💪,ila nyie mmelaaniwa, hadi askari wabaka mwanaume mwenzako na dada🤣🤣🤣., taifa la giza na shetani🤣🤣🤣🤣., mshindweeee!! Pepo mbaya.,
 
Hizo newspapers za kenya kila mtu duniani anazijua.
Na hili lililo andikwa na waandishi wenu?..,
1749561634960.jpeg
 
Utu sio unyonge kilaza, ni nguvu, ata kama ni kwa kiwango kidogo 💪💪,ila nyie mmelaaniwa, hadi askari wabaka mwanaume mwenzako na dada🤣🤣🤣., taifa la giza na shetani🤣🤣🤣🤣., mshindweeee!! Pepo mbaya.,
Ile ni intentional tuone mngefanya Nini. Na hakuna mlichofanya ,tulitegemea mngekuwa mshafunga mipaka , kuzuia ndege za Tanzania ila tumeyasubiri hayo yote hatuuoni, Ile mmetuonesha nyinyi hamna kitu ni waoga
 
Jilaumuni nyinyi maana pamoja na kujiona wasomi mmeshindwa kujitoa kwenye huo umaskini wa kujidhalilisha ,haya mambo huwez yasikia Tanzania 🤣🤣🤣🤣😝.
Kwahiyo kaeni kimyaa nyinyi ni maskini wa kutupw
kisha mnakuja kuomba omba kwa masikini wa kutupwa eti? wageni wakiwatembelea wanaona mko nyuma miaka 30.., dogo jiangalieni sana..,
sio laana hii?
1749562370512.png
 
Kila mtu anajua hizo propaganda. Hebu tuambie hiyo taarifa ni ya mwaka gani? Mbona umekata mwaka Kwikwikwikwikwi, propaganda za kitoto hizo, kila mtu anaijua chuki yenu.
Kilaza anajiliwaza eti.., hehehe.., mnalaumu nani kwa ufukara wenu? .,
Propaganda eti? hehehehe, pendeni ukweli vilaza.., mikwara hehe
1749562482158.png

1749562501820.png
 
Ile ni intentional tuone mngefanya Nini. Na hakuna mlichofanya ,tulitegemea mngekuwa mshafunga mipaka , kuzuia ndege za Tanzania ila tumeyasubiri hayo yote hatuuoni, Ile mmetuonesha nyinyi hamna kitu ni waoga
We are strong, not idiots, but smart, a weak man reacts kiufala., kama Tanzania., siku ile mtavuka mpaka by trying something substantial, with direct threat to our national security, sio petty things ndio mtajua mbivu na mbichi, hamjajaribu hamna kende, yaani vitu vya kitoto hadi Raisi wenu anahutubia taifa, mko hovyo, very cheap, hadi vikao vya bunge vinajadili na kujibizana na watoto wa Gen Z hehehe, hauoni ni aibu hiyo?
 
kisha mnakuja kuomba omba kwa masikini wa kutupwa eti? wageni wakiwatembelea wanaona mko nyuma miaka 30.., dogo jiangalieni sana..,
sio laana hii?
View attachment 3363298
hebu waambieni hao majangiri wafanye hayo Tanzania tuone, system zenu ziko weak, yaan inshort Kenya mnatuangusha , kama mmeshindwa na cartels mtaweza Kweli kupigana kna muhoozi

Beggars who are rounded up are often treated as criminals. The current legal system is incapable of dealing with the cartels that bring people on the streets to beg. There is no accurate data to show how many human traffickers have been convicted and sentenced for trafficking people with disabilities into Kenya. The victims are the ones arrested instead of the cartels, which does not help in combatting human trafficking and organized crime in Kenya. Beggars are rounded up for deportation while those that brought them in remain free and continue to bring in more disabled persons. They take advantage of the laxity of the authorities to engage in human trafficking in Kenya

 
We are strong, not idiots, but smart, a weak man reacts kiufala., kama Tanzania., siku ile mtavuka mpaka by trying something substantial, with direct threat to our national security, sio petty things ndio mtajua mbivu na mbichi, hamjajaribu hamna kende, yaani vitu vya kitoto hadi Raisi wenu anahutubia taifa, mko hovyo, very cheap, hadi vikao vya bunge vinajadili na kujibizana na watoto wa Gen Z hehehe, hauoni ni aibu hiyo?
Hakuna kitu mtaweza buana, mara ngapi mmetikisa kiberiti mkapigwa za shavu.
Yaan mngejua tunavotamani vita na nchi nyingine,hata msingesema
 
kisha mnakuja kuomba omba kwa masikini wa kutupwa eti? wageni wakiwatembelea wanaona mko nyuma miaka 30.., dogo jiangalieni sana..,
sio laana hii?
View attachment 3363298
Laana Iko kenya ndugu itawachukua miaka kujitambua
 
Back
Top Bottom