ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
hzi mbona fly over za kizamani sana za kuopanga matofali??? serious😀😀😀😀😀Lakini Tanzania hazikoView attachment 661578
hzi mbona fly over za kizamani sana za kuopanga matofali??? serious😀😀😀😀😀Lakini Tanzania hazikoView attachment 661578
Ila serikal ya kenya viongoz wana roho ngumu duuu sio maisha ya kuacha watu waishe hivi kwa slumskuna sehemu inaitwa makuru kayaba hehehe aise utasema sio binaadamu wanaoishi😀😀😀😀😀
Karibu sana dada nahic we wakwanza humu na kwa kiswahili chako wee ni mtzeee welcom tuwakimbize kunyansHii kweli na Kelele zoote
Nairobi haina jengo lenye Ghorofa 35?
ulete facts uwache kupayuka kanakwamba unafikiria na tako
times tower - 38 floors
prism- 34 floors
ulete na metres pia
haha eiffel tower ina 2 floors lakini ni over 300mKwenye minara huwa hakuna floors my friend. Tunahesabu ghorofa kwa number of floors.
ziko wapi za TZ??hzi mbona fly over za kizamani sana za kuoanga matofali??? serious😀😀😀😀😀
Named na magazine hahahahah
haha wewe kalale hauna factsUwe unaona Aibu kijana
Kenya Nzima hakuna jengo lenye 34f Never
Baba niwekee picha za Superhighway Tanzania na pia screenshots za JamiiForums.com.sizalimishwi....nafanya vile nataka.![]()
Karibu sana dada nahic we wakwanza humu na kwa kiswahili chako wee ni mtzeee welcom tuwakimbize kunyans
ungekua unajua travel advisor ungenyamaza na kuacha aibu ndogoNamed na magazine hahahahah
Nimejaribu kutafuta jengo hilo sijaona lina 38times tower ina 38 floors
Motochini! vipi kaka kupotea hivi hata Ktalk ulipotea yani hawa waKenya walikufunza mpaka Kiswahili ikabidi upotee kiasi? Karibu JF Tena ila hapa pia tupo na kuwapiga Tz makonde left,right and center.NAIROBI =O ZERO
DAR =4
Hivi vipi njaa?, na je mlishamaliza kulipa deni lenu la chakula mnachoagiza kwa mkopo toka Tanzania kuanzia 2014 hadi leo?.Kama unakuja Kibera wewe fika haraka na usisahau kibakuli kama omba omba wenzako tukuchangie angalau usafiri na SGR usikie vile middle incom husikia.
Bila wakenya JF is useless.
Kimbisha ndio nini anko...Ni vizuri unajua MNATUKIMBISHA...... NA MTAKIMBISHA HADI SOMALIA HIVI KARIBU....... KILA LA KHERI
Weka BRT na kama huna rudi KiberaHebu weka superhighway ya Tz hapa na kama hakuna usitoe povu.
Nimejaribu kutafuta jengo hilo sijaona lina 38
Hata 35 Hakuna hata moja Nairobi
nimeona 33f tu
Dar kumbe ipo vizuri
tafuta times tower sisteNimejaribu kutafuta jengo hilo sijaona lina 38
Hata 35 Hakuna hata moja Nairobi
nimeona 33f tu
Dar kumbe ipo vizuri