Zuwenna
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 2,203
- 4,111
Hii kweli na Kelele zooteNAIROBI =O ZERO
DAR =4
Nairobi haina jengo lenye Ghorofa 35?
Hii kweli na Kelele zooteNAIROBI =O ZERO
DAR =4
Wenzie wanahesabu Minara sio ghorofa sawaHii kweli na Kelele zoote
Nairobi haina jengo lenye Ghorofa 35?
times tower ina 38 floorsWenzie wanahesabu Minara sio ghorofa sawa
dar hakuna over 35..tpa ni 35..times tower ni 38....na kwa architecture tunatumia metres wala si floors...UAP NI 163 metres na ina 33 floors times tower 38 na ni 140 metresWeka list ya over 35 ghorofa hapa acha kuimbaimba.
Nothing specialWatanzania msafishe macho na miundo mbinu ya kikenya [HASHTAG]#mombasa[/HASHTAG]
Kama unakuja Kibera wewe fika haraka na usisahau kibakuli kama omba omba wenzako tukuchangie angalau usafiri na SGR usikie vile middle incom husikia.Wewe pia si ni mkazi wa Kibera tena kwa muda mrefu zaidi yake?, wewe una uzoefu zaidi yake, nitajie tu idadi ya mifuko, mbona unapanic?,
Bila wakenya JF is useless.Nyie wakenya mliopo humu jf mna bahati sana maana mnajifunza vingi ikiwemo umoja maana tumewafunza humu mmeungana na kutetea taifa lenu hongeren cjawai ona mnauliza makabila humu na hiyo inadhihirisha jf ina positive effect kwenu nawashauri muwakaribishe na wenzenu waje wajifunze ustarabu na umoja humu
Wewe huwa kichaa sio mzimatimes tower ina 38 floors
Ya Kericho.Umekunywa chai kijana
Majengo unayoyataja hayapo yapo kwenye makaratasi.dar hakuna over 35..tpa ni 35..times tower ni 38....na kwa architecture tunatumia metres wala si floors...UAP NI 163 metres na ina 33 floors times tower 38 na ni 140 metres
Hebu weka superhighway ya Tz hapa na kama hakuna usitoe povu.Weka list ya over 35 ghorofa hapa acha kuimbaimba.
ulete facts uwache kupayuka kanakwamba unafikiria na takoWewe huwa kichaa sio mzima
Kenya yoote kwasasa hakuna jengo lenye zaidi ya 33 F
Jengo refu lina 32 kwa ujinga wenu wakuongeza namba mnasema 33!!
ulete na metres piaMajengo unayoyataja hayapo yapo kwenye makaratasi.
1. TPA 40 fl au haujui?
2. PSPF 1 35fl
3. PSPF 2 35fl
4. PPF 40fl
5. mzizima tower 35fl
Sasa mwenzangu unaleta vitu ambavyo havipo vipi?
Lakini Tanzania hazikoNothing special
usisahau mzizima towers 35 fl kwa 33flMajengo unayoyataja hayapo yapo kwenye makaratasi.
1. TPA 40 fl au haujui?
2. PSPF 1 35fl
3. PSPF 2 35fl
4. PPF 40fl
5. mzizima tower 35fl
Sasa mwenzangu unaleta vitu ambavyo havipo vipi?