Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi Unadhani sisi tunanunua wapi hizi vitu? Ndio maana huwa nakwambia hujui Kenya kama unavyodhani. Wewe unaongelea Osmo 3 kuisha, hapa Nairobi there's no single day hiyo kitu itaisha. Osmo pocket 3 yangu combo nimenunua kwa kijana mdogo sana hapa Nairobi mwenye miaka 23. Anataka pia kuniuzia Drone but hiyo process ya kupata kibali inanikasirisha. Hili hapa duka nililonunua. Just a small shop run by a 23 year old who imports these cameras from china.
View attachment 3356421
Nimesema DJI pocket 3 zimeisha Dar? Au kwenye dula langu pendwa? And who told you 23 years old in Tanzania don't run shops. Just why I şaíd you didnt visit Kariakoo. Ungetembelea Kariakoo ungekuta hata watoto wa 12 years running shops and they know everything

Do you know why I ignore you most of times. Unapenda kutwist my words, you always find something to be proud for ego boosing. We call it NARSISSISM. And That's a big problem in Kenya.

Ok back to the main topic, tell us the cost of DJI OSMO Pocket 3 combo in Nairobi. Just be honnest.

I speak this because, Metrozone shop City mall is sending many DJI pocket cameras to Kenya, Uganda and Rwanda, because that camera in those countries is overpriced. So they prefer buying in Dar.
 
Hao Xiaomi/Redmi wenyewe wana maduka na store karibu kila nchi lakini sielewi mbona hizi kondoo huwa zinapenda kubrag vitu vidogo vidogo zenye Impact ndogo kwenye jamii namna hii!
Huwezi ona hata siku moja waki brag vitu vyenye manufaa kwenye jamii, wao ni upuuzi tu.
Online shop 🤣🤣🤣 Xiaomi does not have an official store in Dar is a slum. Huko utapata authorized dealers, ukitaka official store ni hadi mfike Nairobi au muende Joburg.
 
Zipo official store za Xiaomi,Oppo na Vivo pale Kariakoo.
Acha ubishi.
Xiaomi hawana official store in Bongoslum. Hizo vijiduka vya Kariakoo are not official stores, hao ni authorized dealers tu. Ukitaka kuona duka ya Xiaomi njoo Nairobi. 😄
 
BRT imewashinda, airline ndio wataweza?🤣🤣
Govi boy. Ukimalizana na njaa ndio uje

1749106502459.png
 
Tofauti ya Tanzania na Kenya is.

Tanzanians after seeing no official store ya kampuni Fulani, they take it as a gap na hufungua store wenyew na kuanza kuuza at a wholesale or rejareja. Hufata bidhaa wenyew na kutengeneza connections na big stores duniani hasa Dubai, China, turkey na India. Ingia Instagram, you will see a lot of store selling only Xiaomi or Nikon cameras owned by Tanzanians.
So ni ngumu kukosa kitu Dar, just know that.
Na hapo ndo Tanzanians wanawapiga gap kwenye entrepreneurship.

Even yesterday My favorite Metrozone shop inayosell cameras kama DJI osmo pocket 3 ilikuwa imeishiwa combo type but within 24 hours wameimport kutoka Dubai kutumia air Tanzania, sidhani Kuna mtu anafikiria NAIROBI kama backup. Kwanza vitu vyenu viko overpriced sana ni bora tu uagize moja kutoka china.
Nani amekudanganya Kenya hakuna authorized dealers? Wako wengi tena sana. Kenya kuna official stores ju kuna middle class kubwa. Nairobi is the regional hub for business kama hujui jua leo.
 
Nani amekudanganya Kenya hakuna authorized dealers? Wako wengi tena sana. Kenya kuna official stores ju kuna middle class kubwa. Nairobi is the regional hub for business kama hujui jua leo.
Kundudwellers bhana!! Kila mtu anajua kwa sasa Kenya ni kijiji cha Tanzania
 
Nani amekudanganya Kenya hakuna authorized dealers? Wako wengi tena sana. Kenya kuna official stores ju kuna middle class kubwa. Nairobi is the regional hub for business kama hujui jua leo.
Ila wafanya biashara wenu wanakuja kununua vitu bongo. 🤣🤣🤣 mbona kama unatuelezea vitu zenye huna taarifa nazo.?
 
Hivi Unadhani sisi tunanunua wapi hizi vitu? Ndio maana huwa nakwambia hujui Kenya kama unavyodhani. Wewe unaongelea Osmo 3 kuisha, hapa Nairobi there's no single day hiyo kitu itaisha. Osmo pocket 3 yangu combo nimenunua kwa kijana mdogo sana hapa Nairobi mwenye miaka 23. Anataka pia kuniuzia Drone but hiyo process ya kupata kibali inanikasirisha. Hili hapa duka nililonunua. Just a small shop run by a 23 year old who imports these cameras from china.
View attachment 3356421
Walikimbia Dubai within 24 hours. 🤣🤣🤣 Mali iliendewa Nairobi akaambiwa ni Dubai.


View: https://x.com/samson_maish/status/1928339640261501296?t=7ol80HUwZolk2KczOPGJHQ&s=19
 
Back
Top Bottom