instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,544
- 19,491
Tofauti ya Tanzania na Kenya is.BYD does not have a showroom in Dar is a slum lakini Nairobi iko.
Nikon does not have an official shop in Dar is a slum lakini Nairobi iko.
Xiaomi does not have an official store in Dar is a slum lakini Nairobi iko.
Tanzanians after seeing no official store ya kampuni Fulani, they take it as a gap na hufungua store wenyew na kuanza kuuza at a wholesale or rejareja. Hufata bidhaa wenyew na kutengeneza connections na big stores duniani hasa Dubai, China, turkey na India. Ingia Instagram, you will see a lot of store selling only Xiaomi or Nikon cameras owned by Tanzanians.
So ni ngumu kukosa kitu Dar, just know that.
Na hapo ndo Tanzanians wanawapiga gap kwenye entrepreneurship.
Even yesterday My favorite Metrozone shop inayosell cameras kama DJI osmo pocket 3 ilikuwa imeishiwa combo type but within 24 hours wameimport kutoka Dubai kutumia air Tanzania, sidhani Kuna mtu anafikiria NAIROBI kama backup. Kwanza vitu vyenu viko overpriced sana ni bora tu uagize moja kutoka china.