President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Anatafuta AttentionKwnn unapenda kuni qoute wakati nishakwambia stay away from me.
Anatafuta AttentionKwnn unapenda kuni qoute wakati nishakwambia stay away from me.
Kama hutaki to be quoted then quit. Watchman muoga.Kwnn unapenda kuni qoute wakati nishakwambia stay away from me.
NairobiWalker what are these black markings on the stands? They might confuse as a crane shadow but when you look keenly they are not.
View: https://youtu.be/ijjVdfcbPog?si=ifYW4__jUZbO9bFn
Imagine wabunge wenye wako na bachelor tupu huko kunyarenda wanashindwa maarifa na wabunge wa Tz wale wenye wanajua kusoma na kuandika tu. 🤣🤣🤣🤣Hiyo hiyo kusoma na kuandika ndiyo imeleta treni ya umeme ambayo hamtakuja kuwa nayo, BRT ambayo hamtakuja kuwa nayo, modern city like dodoma ambayo hamtakuja kuwa nayo, so endeleeni kupiga kelele.
Combine na Mombasa then come.Hii village ndio huwa unataka kulinganisha na kisumu?
Haitajengwa hivi. From the render hakuna running track but pale msituni Naona mmeweka running track ingine kubwa sana.
Govinda wanasema tupo kwenye foundation ,sasa wapokee kitu hicho 💪Chuma ndio hiyo tena inaondoka . View attachment 3352440View attachment 3352442View attachment 3352441Chuma ndio hivyo tena 👇🏾View attachment 3352443
NairobiWalker what are these black markings on the stands? They might confuse as a crane shadow but when you look keenly they are not.
View: https://youtu.be/ijjVdfcbPog?si=ifYW4__jUZbO9bFn
Kapata surprise 🤣🤣🤣 sasahivi kazua mapya anasema eti ni takataka. Jamaa hawapendi kuona tunaendelea hawa, Yani roho zinawauma kinoma.Govinda wanasema tupo kwenye foundation ,sasa wapokee kitu hicho 💪
picha moja inatafuna kila kitu 😂😂Hii ni Westlands tu. A city within a city. Na mjue kuna more than 20 towers unders construction in Westlands.
![]()
![]()