Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No wonder Tanzania kila mtu ni mjinga. Wenye Bachelor and Master degrees wamesomea hizo degrees with less than a year each. Yani Bachelor degree jamaa Kusoma na less than 12 months, Master pia Kusoma na 12 months😂😂😂🤣.

Diploma zake zote kasema na less than a year Alafu Secondary and Primary Schools nazo hakumaliza hata wiki😂😂

Kenyans really opened the eyes of Tanzanians concerning the education background of their leaders.

View attachment 3352421
Kwenye hili nawaunga mkono ila sio ninyi mmeopen our eyes, yupo mwamba aliewafyeka waliokua na vyeti fake, hata Kenya wapo wengi wenye fake certificates au nikuletee?


View: https://x.com/swahilitimes/status/857888923053416449?t=7h1wM3BHC6R2ETsBaf5M-A&s=19
 
Mbona hamkujua before wakenya waanze ku-analyse the education level ya your leaders?
Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
 
Washaweka uzio Tayari kuonyesha kazi imerudi .😎
🔥🔥🔥🔥
Screenshot_20250530-070112.jpg
Screenshot_20250530-065547.jpg
 
Angalia usije ukanya tu, mana ulianza kusema ndio kwanza tunachimba msingi, mara ooh ni 20k seats. Sahii ni takataka. 😆. Usije ukajamba tu. Ugulia polepole.
Kwani Huoni kuna side moja bado mnachimba foundation?
 
Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
Ati kusom na kuandika!
2025 !
Waaaah
That's sound so 1962
Enyewe Kuna nchi za kiafrika ni Takataka kabisa.
 
Back
Top Bottom