Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona hamkujua before wakenya waanze ku-analyse the education level ya your leaders?
Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
 
Washaweka uzio Tayari kuonyesha kazi imerudi .😎
🔥🔥🔥🔥
Screenshot_20250530-070112.jpg
Screenshot_20250530-065547.jpg
 
Angalia usije ukanya tu, mana ulianza kusema ndio kwanza tunachimba msingi, mara ooh ni 20k seats. Sahii ni takataka. 😆. Usije ukajamba tu. Ugulia polepole.
Kwani Huoni kuna side moja bado mnachimba foundation?
 
Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
Ati kusom na kuandika!
2025 !
Waaaah
That's sound so 1962
Enyewe Kuna nchi za kiafrika ni Takataka kabisa.
 
Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
Sasa jamaa mbona unampa umaarufu ambao sio wake? Website ya Bunge imetengenezwa na Watanzania. Walioweka hizo Taarifa ni watanzania. Halafu anayekuja kugundua hizo taarifa ni mkenya. Kama siyo ujinga ni nini?
Teargass kwikwikwikwi are you an idiot?
 
Back
Top Bottom