Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
Sasa jamaa mbona unampa umaarufu ambao sio wake? Website ya Bunge imetengenezwa na Watanzania. Walioweka hizo Taarifa ni watanzania. Halafu anayekuja kugundua hizo taarifa ni mkenya. Kama siyo ujinga ni nini?
Teargass kwikwikwikwi are you an idiot?
 
Teargass kuja huku

1748766147424.png
 

Attachments

  • IMG_7537.jpeg
    IMG_7537.jpeg
    334.8 KB · Views: 14
  • IMG_7535.jpeg
    IMG_7535.jpeg
    895.8 KB · Views: 8
  • IMG_7533.jpeg
    IMG_7533.jpeg
    748.5 KB · Views: 9
  • IMG_7534.jpeg
    IMG_7534.jpeg
    591.2 KB · Views: 11
  • IMG_7536.jpeg
    IMG_7536.jpeg
    1.1 MB · Views: 8
  • IMG_7480.jpeg
    IMG_7480.jpeg
    749.1 KB · Views: 13
  • IMG_7489.jpeg
    IMG_7489.jpeg
    461 KB · Views: 9
  • IMG_7492.jpeg
    IMG_7492.jpeg
    771.8 KB · Views: 11
Napokea comments nimekaa paleeee 👉
 
Ati kusom na kuandika!
2025 !
Waaaah
That's sound so 1962
Enyewe Kuna nchi za kiafrika ni Takataka kabisa.
Hiyo hiyo kusoma na kuandika ndiyo imeleta treni ya umeme ambayo hamtakuja kuwa nayo, BRT ambayo hamtakuja kuwa nayo, modern city like dodoma ambayo hamtakuja kuwa nayo, so endeleeni kupiga kelele.
 
Hiyo hiyo kusoma na kuandika ndiyo imeleta treni ya umeme ambayo hamtakuja kuwa nayo, BRT ambayo hamtakuja kuwa nayo, modern city like dodoma ambayo hamtakuja kuwa nayo, so endeleeni kupiga kelele.
Wewe elimu yako imefika wapi? Ama bora Kusoma na kuandika Kama viongozi wenu wote?
 
Karibu sana Mkuu..

Kazi Yako ni kubwa na imetukukaa Sama boy 255 The best 007 kuna picha nzuri hapa kwa matumizi ya Battle
Bwana weee, jamaa katisha sn, ndiyo mana huwa nasema hii Dar hatuna photographer wazuri, jamaa wa Nairobi washamaliza kila kitu, daily wanapost gtc ya mchina na talanta kwa angle tofauti tofauti, lkn Dar bado sn hatujafika hata nusu.
 
Back
Top Bottom