President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,793
Sasa jamaa mbona unampa umaarufu ambao sio wake? Website ya Bunge imetengenezwa na Watanzania. Walioweka hizo Taarifa ni watanzania. Halafu anayekuja kugundua hizo taarifa ni mkenya. Kama siyo ujinga ni nini?Acha kujipa umuhimu we mnuka mavi. Mtu wa kwanza kubaini ubovu wa elimu wa baadhi ya viongozi ni JPM. Hao wabunge kadhaa wanaendelea kubaki bungeni kwasababu sera ya Tz ili mtu awe mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu. Mahali palitiliwa mkazo ni maeneo ya kiutendaji. Na ndio mana sahii tunawakimbiza karibu katika kila sector.. wasomi wamepewa nafasi zao.
Teargass kwikwikwikwi are you an idiot?