Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kumbe hii mkebe ilikwama tena jana na hawa wachawi wamenyamaza tu😂😂


View: https://x.com/KenyanSays/status/1927790632078123245


Mbona ni jambo la May 20??

Hiyo ni machine, kupata faults ni kawaida sana.
Screenshot_20250529_171720_Instagram.jpg
 
instanbul ingekuwa ni Diamond ameenda Breakfast Club alafu Wakenya wakalia mbona Bien hakuenda ungeshinda humu ukilia vile Wakenya wana roho mbaya.
Sema mnaabudu hao wazungu sio poa.
You hype too much hio media.

Bado mna kazi kubwa as a Kenyans kutengeneza your own startups na kuziembrace

Diamond ana media yake na sasa inashindana na media zote kubwa za Kenya. Wasafi Media. Hana shobo za kwenda huko sijui kuhojiwa.

I could take it seriously kama Bien labda angeanzisha media yake.
 
Kulingana na makusanyo ya mwaka 2023/2024 sumbawanga ndo ulikuwa mkoa uliokuwa na makusanyo kidogo sana ya 10bil ya mapato ya ndani ( own source)
Kwa wenzetu wa Kenya county iliyokuwa na mapato ya chini kabisa ilikuwa tana river ikiwa na 92mil sawa na 1.84bil tzs .
Naomba tulinganishe sumbawanga na mji wa hola kwa sababu ndo level zake

View: https://youtu.be/ku36ARf3pyw?si=vG3KKz5XEtlCUbKA

Kuna changamoto sana ya media zetu, watu kupenda kuonekana sana.

Yaani unamkuta Msigwa anaenda Mwanza, au Nyerere hydropower na waandishi wa habari, wakifika badala watuoneshe mradi, wao wanaonekana wao tu mbele ya kamera wanaongea.

Video nyingi inakuwa ngumu kuona miradi, badala yake tunaona watu wanaongea.

Sumbawanga👇



View: https://youtu.be/L3TWZNhG3iM?si=NvS9jAQQCId1FgKU
 
Back
Top Bottom