Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

AFCON 2027 finals, Kenya vs Morocco 😍
1000010131.jpg
1000010130.jpg
 
Sijasema hatujadili, inajadiliwa ila mmekuwa mkiimba humu eti tunamjadili wakati nyie mnatijadili zaidi. The point is ka.a imefika bungeni hapo kwenu inamaanisha kwa gumzo la kawaida si basi imechacha?

Unaongelea mwanaharakati hapo kwenu Kuna wanaharakati?
Nyie wakenya kweli ni vichaa na hamna haya hata robo, sasa mambo aliyofanyiwa mkenya mwenzenu mnayaona ya kawaida? Au kwasababu asilimia kubwa ya wanaume wa Kenya mmezoea kufanyiwa unyama kama wa Boniface mwangwi? Upinzani Tanzania unalalamika kwann mwangwi na na huyo mganda wamefanyiwa vitendo vya udhalilishaji, cha ajabu serikali yenu imekaa kmy as if hakuna kilichotokea, hata kama uoga lkn serikali yenu imezidi aisee, yn inaiogopa serikali ya Tz mpk aibu. Ukweli ni kwamba kitendo cha ulawiti aliofanyiwa mkenya mwenzenu kimegusa upinzani huku Tanzania na hautakaa kmy mana ndiyo point ya kuipiga CCM, hata kama serikali yenu itakaa kmya kwa uoga but upinzani huku kwetu hautakaa kmy cz kwao ni mtaji wa kisiasa.
 
Back
Top Bottom