Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You have changed now from respect to love.

Bro Tanzania is more relevant to SA than kenya.
That's a truth and you can change it. History inatubeba.

Nyinyi miaka hiyo mlikuwa busy na building your economy mfanane na singapore, cha ajabu mko mnajilinganisha na Tz sasa nchi ambayo ilisemwa kwa kuhost criminals that were fighting for independence.

Kenya ni business tu ya kuwa puppets wa wazungu and European Company branches but no country respects kenya. History inawakataa. Labda fantancies na PR zenu mitandaoni mkijipiga vifua
Sawa, endelea kujidanganya.
It would make more sense if South Africans were telling the same tale you've been telling for years. FYI part of the reason S Africans respect Kenya is the fact that we don't bombard them with 'we freed you from bondage' nonsense that comes with lots of entitlement.
Ndio hao Wasauzi waki comment kwa Mgogoro unaendelea dhidi ya yetu na nyinyi.

Screenshot_20250527-053127.png
 
Ikikufa baada ya sisi kuanza kufikiria ujenzi wa Burundi
Mpango wa mwanzo ulikuwa reli inagawanyika Keza, moja inakwenda Rwanda nyingine Burundi.

Inaonekana baadae Kagame na Magu wakazinguana, maana zile bashasha na Kagame ziliisha ghafla. Kukawa na viugomvi fulani kama Rwanda kunyanyasa madereva wetu, na ugomvi na Nkurunzinza ukazidi. Ndiyo baadae tukaanza kuona hii ya kwenda Msongati ikianza kuongelewa.
 
Mpango wa mwanzo ulikuwa reli inagawanyika Keza, moja inakwenda Rwanda nyingine Burundi.

Inaonekana baadae Kagame na Magu wakazinguana, maana zile bashasha na Kagame ziliisha ghafla. Kukawa na viugomvi fulani kama Rwanda kunyanyasa madereva wetu, na ugomvi na Nkurunzinza ukazidi. Ndiyo baadae tukaanza kuona hii ya kwenda Msongati ikianza kuongelewa.
Ila pale ilikuwa rahisi sana kwa nchi karibia zote tatu , basi tu na sisi hatukupiga hesabu vizuri
 
Mpango wa mwanzo ulikuwa reli inagawanyika Keza, moja inakwenda Rwanda nyingine Burundi.

Inaonekana baadae Kagame na Magu wakazinguana, maana zile bashasha na Kagame ziliisha ghafla. Kukawa na viugomvi fulani kama Rwanda kunyanyasa madereva wetu, na ugomvi na Nkurunzinza ukazidi. Ndiyo baadae tukaanza kuona hii ya kwenda Msongati ikianza kuongelewa.
reli ya SGR kwenda Msongati kutokea Kigoma haikuwemo kipindi cha Magufuli! Magufuli alikuwa analazimishia reli kwenda Rwanda pasipokuwa na mzigo wa maana! Suala la Tabora-Uvinza-Kigoma na Uvinza-Msongati ni maamuzi baada ya JPM kufariki!
 
reli ya SGR kwenda Msongati kutokea Kigoma haikuwemo kipindi cha Magufuli! Magufuli alikuwa analazimishia reli kwenda Rwanda pasipokuwa na mzigo wa maana! Suala la Tabora-Uvinza-Kigoma na Uvinza-Msongati ni maamuzi baada ya JPM kufariki!
Mipango ilianza kabla ya Magu kufariki.
 
INgekuwa mnauwezo mpaka sasa mngekuwa mshamwitisha baloz wa Tanzania aje atoe maelezo, lakini kwa sababu mko weak,mmebaki TikTok tu mnapiga kelele🤣🤣🤣🤣😬
Afadhali sisi tuko TikTok, nyinyi mshafikisha mjadala hadi bungeni
 
Wajibu wenu ni kutudiscuss bungeni? Don't you have important things to do in your parliament?
Hiyo imekisha mzee. Tulikuwa tunajadiliana kuhusu budget ya Wizara ya Mambo ya Ndani (Uhamiaji, Police etc). So lazimia kuongelea yale yanayoendelea. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi.

Sijaona ubaya wowote. Kinachofuata sasa ni kuanza kuwafinya.
 
Hiyo imekisha mzee. Tulikuwa tunajadiliana kuhusu budget ya Wizara ya Mambo ya Ndani (Uhamiaji, Police etc). So lazimia kuongelea yale yanayoendelea. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi.

Sijaona ubaya wowote. Kinachofuata sasa ni kuanza kuwafinya.
Kubali yaishe, your parliamentarians were discussing Kenyans in your parliament. Maneno miiingi ya nini?
 
Back
Top Bottom