Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ikikufa baada ya sisi kuanza kufikiria ujenzi wa Burundi
Mpango wa mwanzo ulikuwa reli inagawanyika Keza, moja inakwenda Rwanda nyingine Burundi.

Inaonekana baadae Kagame na Magu wakazinguana, maana zile bashasha na Kagame ziliisha ghafla. Kukawa na viugomvi fulani kama Rwanda kunyanyasa madereva wetu, na ugomvi na Nkurunzinza ukazidi. Ndiyo baadae tukaanza kuona hii ya kwenda Msongati ikianza kuongelewa.
 
Mpango wa mwanzo ulikuwa reli inagawanyika Keza, moja inakwenda Rwanda nyingine Burundi.

Inaonekana baadae Kagame na Magu wakazinguana, maana zile bashasha na Kagame ziliisha ghafla. Kukawa na viugomvi fulani kama Rwanda kunyanyasa madereva wetu, na ugomvi na Nkurunzinza ukazidi. Ndiyo baadae tukaanza kuona hii ya kwenda Msongati ikianza kuongelewa.
Ila pale ilikuwa rahisi sana kwa nchi karibia zote tatu , basi tu na sisi hatukupiga hesabu vizuri
 
Mpango wa mwanzo ulikuwa reli inagawanyika Keza, moja inakwenda Rwanda nyingine Burundi.

Inaonekana baadae Kagame na Magu wakazinguana, maana zile bashasha na Kagame ziliisha ghafla. Kukawa na viugomvi fulani kama Rwanda kunyanyasa madereva wetu, na ugomvi na Nkurunzinza ukazidi. Ndiyo baadae tukaanza kuona hii ya kwenda Msongati ikianza kuongelewa.
reli ya SGR kwenda Msongati kutokea Kigoma haikuwemo kipindi cha Magufuli! Magufuli alikuwa analazimishia reli kwenda Rwanda pasipokuwa na mzigo wa maana! Suala la Tabora-Uvinza-Kigoma na Uvinza-Msongati ni maamuzi baada ya JPM kufariki!
 
reli ya SGR kwenda Msongati kutokea Kigoma haikuwemo kipindi cha Magufuli! Magufuli alikuwa analazimishia reli kwenda Rwanda pasipokuwa na mzigo wa maana! Suala la Tabora-Uvinza-Kigoma na Uvinza-Msongati ni maamuzi baada ya JPM kufariki!
Mipango ilianza kabla ya Magu kufariki.
 
INgekuwa mnauwezo mpaka sasa mngekuwa mshamwitisha baloz wa Tanzania aje atoe maelezo, lakini kwa sababu mko weak,mmebaki TikTok tu mnapiga kelele🤣🤣🤣🤣😬
Afadhali sisi tuko TikTok, nyinyi mshafikisha mjadala hadi bungeni
 
Wajibu wenu ni kutudiscuss bungeni? Don't you have important things to do in your parliament?
Hiyo imekisha mzee. Tulikuwa tunajadiliana kuhusu budget ya Wizara ya Mambo ya Ndani (Uhamiaji, Police etc). So lazimia kuongelea yale yanayoendelea. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi.

Sijaona ubaya wowote. Kinachofuata sasa ni kuanza kuwafinya.
 
Hiyo imekisha mzee. Tulikuwa tunajadiliana kuhusu budget ya Wizara ya Mambo ya Ndani (Uhamiaji, Police etc). So lazimia kuongelea yale yanayoendelea. Wabunge ni wawakilishi wa wananchi.

Sijaona ubaya wowote. Kinachofuata sasa ni kuanza kuwafinya.
Kubali yaishe, your parliamentarians were discussing Kenyans in your parliament. Maneno miiingi ya nini?
 
Kubali yaishe, your parliamentarians were discussing Kenyans in your parliament. Maneno miiingi ya nini?
Kwikwikwikwikwi

Upo na Comeback katika hili?

1748331254626.png
 
Back
Top Bottom