Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Because you don't hate them the way you hate us. You have no proof hate speech imeanzia kwetu but I have proof your MPs uttered hate speech against Kenya in parliament. Huwezi linganisha uzito wa banter tunazopigana humu JF na wabunge kuongea hate speech kwa parliament. Yani ni kama Mbunge wa Kenya aje humu apate mpumbavu kama Venus Star akipost hizo vitu zake za utoto alafu aende bungeni aanze kuisema Tanzania eti nchi ya ovyo. What kind of inferiority complex and hatred is that?
Chuki mlizikuza nyinyi wenyewe, hiyo mpaka imefikia bungeni ujue Kuna watu washawachoka, tuna evidence nyingi sana za nyinyi kuwachokonoa watanzania na mara nyingi tumekuwa kimya sana. Sasa kama Serikali yenu imeweza bariki raia wenu wadhalilishe rais wa nchi nyingine mlotegemea tukae kimya.
Tunaweza evidence ya hate speech zaid 1000 za wakenya kwenye mitandao ila hutakuta hate speech directed hata kwa huyo ruto kutoka kwa mtanzania.
Mkitaka respect na heshima , mjifunze kwanza kurespect wenzenu.

Refer case ya diamond tu mlivyoreact as a nation , hiyo ilikuwa wake-up call.
 
Hate speech zimeanzia kwenu, tembelea mitandao yote kuanzia TikTok,Facebook na x mmejazana kusambaza hate speech.
Kwanini tusiwe na hate speech kwa Ugandan,rwandese , burundese hata Congolese ila iwe kwenu.
Ukitaka kujua nyinyi mnasambaza chuki angalianeni nyinyi kwa nyinyi.
Ishu ya Martha karua wengi hawakufurahia ila mlipoanzisha vita yenu ya mitandaoni kutukana watz hakuna ambaye atakubali
Miaka yote huwa hate speech huwa inaanzia kwao.
Wamegombana na kila jirani yao kwa sababu ya ujuaju wa kishamba.
 
Because you don't hate them the way you hate us. You have no proof hate speech imeanzia kwetu but I have proof your MPs uttered hate speech against Kenya in parliament. Huwezi linganisha uzito wa banter tunazopigana humu JF na wabunge kuongea hate speech kwa parliament. Yani ni kama Mbunge wa Kenya aje humu apate mpumbavu kama Venus Star akipost hizo vitu zake za utoto alafu aende bungeni aanze kuisema Tanzania eti nchi ya ovyo. What kind of inferiority complex and hatred is that?
Tanzania ukitaka ugombane mtu mleteee ujuaji ila ukimuheshimu atakuheshimu.
Hakuna watu wanadharau kama rwandese ila Huwa wakifika rusumo dharau zao wanaziweka pembeni na hata kwenye mitandao huwez Kuta wanaleta kashfa dhidi ya wengine ila nyinyi mnajiona ndo usa ya afrika
 
Hata kama hujasema hivo ni kitu mnashindanga mkisema humu. Again, I addressed both hate and respect. You can still replace hate with disrespect and my point will still stand. You can also remove the first sentence where I addressed hate and focus on the next where I addressed disrespect. Usitumie hilo kuhepa mjadala.
Mko na neighbour 5 tutajie ni nchi gani kati ya hizo hamjawahi ingia katika migogoro.
Tanzania Ina neighbour 7 ebu tutajie hata nchi hata 3 tulizowahi zinguana
 
Rwanda, Malawi, Burundi, Uganda, Kenya.
RWanda, Burundi, Uganda lini?
Ushawahi ona wanakuwa na online battles au raia wakitukana watanzania au watanzania wakitukana viongozi wao kama nyinyi .
Kenya versus Uganda
Kenya versus Sudan.
Kenya versus somalia
Kenya versus tanzania
Kenya versus Ethiopia
Yaan Kila nchi mnagombana nazo Tena mnatukana mpaka viongozi wao halafu mnataka heshima🤣🤣🤣🤣
 
Sasa mtu anaandamana kisa bei ya unga utamuheshimu vipi! 😂😂😂

Tabia za illiterate people ambayo Iko kwa wakenya

Generally has low self-esteem and easily feels vulnerable when in the presence of anyone they consider more “educated” than themselves. They may act aggressive when faced with a situation they do not fully understand.

Has learned to use many tricks to hide their difficulties.


🤣🤣🤣🤣🤣
 
RWanda, Burundi, Uganda lini?
Ushawahi ona wanakuwa na online battles au raia wakitukana watanzania au watanzania wakitukana viongozi wao kama nyinyi .
Kenya versus Uganda
Kenya versus Sudan.
Kenya versus somalia
Kenya versus tanzania
Kenya versus Ethiopia
Yaan Kila nchi mnagombana nazo Tena mnatukana mpaka viongozi wao halafu mnataka heshima🤣🤣🤣🤣
Kundurendans have the tendence of considering themeselves smarter than any country in this region. 🤣🤣🤣 but vise versa is true.
 

Attachments

  • 1748342476447.png
    1748342476447.png
    1.8 MB · Views: 7
Back
Top Bottom