Chuki mlizikuza nyinyi wenyewe, hiyo mpaka imefikia bungeni ujue Kuna watu washawachoka, tuna evidence nyingi sana za nyinyi kuwachokonoa watanzania na mara nyingi tumekuwa kimya sana. Sasa kama Serikali yenu imeweza bariki raia wenu wadhalilishe rais wa nchi nyingine mlotegemea tukae kimya.Because you don't hate them the way you hate us. You have no proof hate speech imeanzia kwetu but I have proof your MPs uttered hate speech against Kenya in parliament. Huwezi linganisha uzito wa banter tunazopigana humu JF na wabunge kuongea hate speech kwa parliament. Yani ni kama Mbunge wa Kenya aje humu apate mpumbavu kama Venus Star akipost hizo vitu zake za utoto alafu aende bungeni aanze kuisema Tanzania eti nchi ya ovyo. What kind of inferiority complex and hatred is that?
Miaka yote huwa hate speech huwa inaanzia kwao.Hate speech zimeanzia kwenu, tembelea mitandao yote kuanzia TikTok,Facebook na x mmejazana kusambaza hate speech.
Kwanini tusiwe na hate speech kwa Ugandan,rwandese , burundese hata Congolese ila iwe kwenu.
Ukitaka kujua nyinyi mnasambaza chuki angalianeni nyinyi kwa nyinyi.
Ishu ya Martha karua wengi hawakufurahia ila mlipoanzisha vita yenu ya mitandaoni kutukana watz hakuna ambaye atakubali
Tanzania ukitaka ugombane mtu mleteee ujuaji ila ukimuheshimu atakuheshimu.Because you don't hate them the way you hate us. You have no proof hate speech imeanzia kwetu but I have proof your MPs uttered hate speech against Kenya in parliament. Huwezi linganisha uzito wa banter tunazopigana humu JF na wabunge kuongea hate speech kwa parliament. Yani ni kama Mbunge wa Kenya aje humu apate mpumbavu kama Venus Star akipost hizo vitu zake za utoto alafu aende bungeni aanze kuisema Tanzania eti nchi ya ovyo. What kind of inferiority complex and hatred is that?
Hakuna nchi ambayo hawajakwazanaMiaka yote huwa hate speech huwa inaanzia kwao.
Wamegombana na kila jirani yao kwa sababu ya ujuaju wa kishamba.
Mko na neighbour 5 tutajie ni nchi gani kati ya hizo hamjawahi ingia katika migogoro.Hata kama hujasema hivo ni kitu mnashindanga mkisema humu. Again, I addressed both hate and respect. You can still replace hate with disrespect and my point will still stand. You can also remove the first sentence where I addressed hate and focus on the next where I addressed disrespect. Usitumie hilo kuhepa mjadala.
Bongoslum is not a serious country.🤣🤣🤣she spent 13 years pursuing secondary education... 😁 😁
View attachment 3347405
penye alifanyia diploma yake..👇👇👇👇..😁😁..hivi kweli majirani mko na akili? hawa ndio viongozi wenu?
View attachment 3347410
Ni taifa lisilo na busara, hekima na adabu.Hakuna nchi ambayo hawajakwazana
Wanataka waheshimiwe wakati hawawezi heshimu wenzao.Ni taifa lisilo na busara, hekima na adabu.
Rwanda, Malawi, Burundi, Uganda, Kenya.Mko na neighbour 5 tutajie ni nchi gani kati ya hizo hamjawahi ingia katika migogoro.
Tanzania Ina neighbour 7 ebu tutajie hata nchi hata 3 tulizowahi zinguana
RWanda, Burundi, Uganda lini?Rwanda, Malawi, Burundi, Uganda, Kenya.
Sasa mtu anaandamana kisa bei ya unga utamuheshimu vipi! 😂😂😂Wanataka waheshimiwe wakati hawawezi heshimu wenzao.
Wanajihisi wamesoma ila ukifuatilia bado wako nyuma sana kwa karibia Kila kitu isipokuwa kushinda mtandaoni
Sasa mtu anaandamana kisa bei ya unga utamuheshimu vipi! 😂😂😂
Kundurendans have the tendence of considering themeselves smarter than any country in this region. 🤣🤣🤣 but vise versa is true.RWanda, Burundi, Uganda lini?
Ushawahi ona wanakuwa na online battles au raia wakitukana watanzania au watanzania wakitukana viongozi wao kama nyinyi .
Kenya versus Uganda
Kenya versus Sudan.
Kenya versus somalia
Kenya versus tanzania
Kenya versus Ethiopia
Yaan Kila nchi mnagombana nazo Tena mnatukana mpaka viongozi wao halafu mnataka heshima🤣🤣🤣🤣