Hahahaha huko ulipigwa na hoja ukatoroka bila kufukuzwa. Hebu ambia wenzako wajaribu kujiunga uone watarudi hapa hapa na kilio.Nilijiunga kenya Talk. Baada ya kuona ninatofautiana nao walinifungia milele. Wakenya hawana uhuru kwenye mitandao yao. Imetawaliwa na Kikuyu.
kilimanjaro ni mkoa kama mkoa wa nairobihakuna ya dar es salaam
Gazeti la Serikali Tanzania
![]()
Kiingereza nyingi na Sheng' zilikufanya u-feel uncomfortableNilijiunga kenya Talk. Baada ya kuona ninatofautiana nao walinifungia milele. Wakenya hawana uhuru kwenye mitandao yao. Imetawaliwa na Kikuyu.
Hilo lipo online, tunapitia online ili tupate points za kuwashambulia, sio zaidi ya hapo
britam usidanganye watu😀😀😀prism- kings real estate (fully kenyan owned)
britam-britam kenya(fully kenyan)
Neno Kenya liko mdomoni mwako 24/7 hadi ukilala unaota Kenya.Huku Tanzania huwezi kuta neno Kenya katika gazeti lolote lile, hata Uhuru Kenyatta hakuna gazeti linataja jina lake, wasanii wa Kenya ndiyo hawajulikani kabisaa
Hakuna kitu kama hicho. Nipo Nairand mbona tunaenda sawa tu. Tatizo wakenya hawawapendi Watanzania. Ninyi hapa JF mpo free kuonesha hisia zenu.Kiingereza nyingi na Sheng' zilikufanya u-feel uncmfortable
Huko forum zao ni makundi ya kikqbilq tu, wote wanazungumza lugha moja, kama wanapinga ni wote, kama wanaunga mkono ni wote.Hivi mko na platform kama jf ambayo watz wanajadili kwa wingi kama ilivyo kwa wakenya humu jf??
Kenya's best forum 'Mashada' which started almost the same as Jf ilifungwa. K'Talk ni mpya.Menya talk - Kikuyu media
View attachment 660881
JF
View attachment 660882
Hivi unaubavu wa kubisha mpaka hapo?
Yako huko sana online si umecheki mwenzako akitumia Nairobi news hapa JF.Ili iweje? maana hata magazeti yenu hayapo TZ.
sasa munataka mupendewe nini surely na venye mko very poor?Hakuna kitu kama hicho. Nipo Nairand mbona tunaenda sawa tu. Tatizo wakenya hawawapendi Watanzania. Ninyi hapa JF mpo free kuonesha hisia zenu.
Kenya talk ni ya kishamba sana.
Nyie ni washamba siyo wastaarabu. Matusi mengi na picha za ngono kwenye public media. Ni ushamba na stress zenu. Hamna uwezo wa ku-control hisia zenu.Kenya's best forum 'Mashada' which started almost the same as Jf ilifungwa. K'Talk ni mpya.
Wakenya walihamia Twitter
Nioneshe wapj wanaongea kikabilaHuko forum zao ni makundi ya kikqbilq tu, wote wanazungumza lugha moja, kama wanapinga ni wote, kama wanaunga mkono ni wote.
Huko ulishindwa kuzistahimili facts ikabidi urudi kulia lia hapa.Hakuna kitu kama hicho. Nipo Nairand mbona tunaenda sawa tu. Tatizo wakenya hawawapendi Watanzania. Ninyi hapa JF mpo free kuonesha hisia zenu.
Kenya talk ni ya kishamba sana.