Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kicc led
bc3dd51db9e0dc6542ea51b14499a394.jpg
 
kujua vernecular language sio ukabila
Hili swala unaweza kuwa sahihi katika nchi ambazo zimefuta kabisa ukabila, lakini katika nchi ambazo ukabila ni tatizo kama ilivyo katika nchi nyingi za Africa, vernecular language is almost the same as ukabila, wala usipinge,

Hata huku Tanzania ambako tunasifika kwa kufuta ukabila, lakini ukikutana na mtu ofisini anazungumza lugha ya kabila lako, automatically unajisikia kuwa karibu na yeye zaidi kuliko watu wengine, unajisikia kumpa umuhimu zaidi kuliko the rest,
 
2018 project.. Soon tu Kenya tunawapunguzia distance.. Sio lzm muende Japan

17d2884b25abec4030206daac5abcfdf.jpg
 
Huku mpo huru sana kutoa mawazo yenu bila kutukanwa kutokana na kabila lako, mngekuwa huko kwenu, tayari ungekuwa umeshatengwa kutokana na kabila lako.
Hapa tunawacharaza 24/7/365 mpaka mnatokwa povu. Wewe huwezi toboa JamiiForums.com hata siku moja wewe ni mnyonge sana ni vile huwezi toroka JF kwa kuwa hamna kuingine. Tupatane somalispot kwanza wasomali wakunyoroshe kama mbwa msikitini.
 
Hili swala unaweza kuwa sahihi katika nchi ambazo zimefuta kabisa ukabila, lakini katika nchi ambazo ukabila ni tatizo kama ilivyo katika nchi nyingi za Africa, vernecular language is almost the same as ukabila, wala usipinge,

Hata huku Tanzania ambako tunasifika kwa kufuta ukabila, lakini ukikutana na mtu ofisini anazungumza lugha ya kabila lako, automatically unajisikia kuwa karibu na yeye zaidi kuliko watu wengine, unajisikia kumpa umuhimu zaidi kuliko the rest,
sawa sawa Mr. Know-it-All.
sijui hizi tafiti zako ulizifanyia lini
 
Hapa tunawacharaza 24/7/365 mpaka mnatokwa povu. Wewe huwezi toboa JamiiForums.com hata siku moja wewe ni mnyonge sana ni vile huwezi toroka JF kwa kuwa hamna kuingine. Tupatane somalispot kwanza wasomali wakunyoroshe kama mbwa msikitini.
IMG_20171024_220902.jpg
 
Washamba mliojawa na wivu, hivi lini Hii nchi yetu tukufu ya Tanzania itaongoza ukanda huu wa Africa ya mashariki na kati? Kila Saa tupo number 2 ilhali KENYA imejaza ukabila,njaa na ugaidi.

Na je mbona hawa manyang'au kila kitu kwao rahisi kujenga? Si JKIA, Thika superhighway, SGR kilomita mia Tano wakati yetu hijulikani wapi na wapi, LAPSSET washaanza sisi hata ile ya Dar bado ndogo sana, Nchi yetu yenye rotuba na raslimali za kila aina ilhali Kenya ni jangwa la kutupwa na bado wanatubabaisha hata kwa JF. Sisi watanzania tuna shida mingi sana na jinsi kuzitatua ni sisi wenyewe wala si kuwashobokea waKenya....Hapa kazi tu slogan naona ni ya kipuzi na yakuwafumba watanzania macho. Tutafika tu wakuu.
Mtaongea yote mwaka huu na bado kudadekiii
 
Hapa tunawacharaza 24/7/365 mpaka mnatokwa povu. Wewe huwezi toboa JamiiForums.com hata siku moja wewe ni mnyonge sana ni vile huwezi toroka JF kwa kuwa hamna kuingine. Tupatane somalispot kwanza wasomali wakunyoroshe kama mbwa msikitini.
Hebu nijuze jinsi ya kujiunga JamiiForums.com niende nikawavuruge
 
Back
Top Bottom