Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie ni washamba siyo wastaarabu. Matusi mengi na picha za ngono kwenye public media. Ni ushamba na stress zenu. Hamna uwezo wa ku-control hisia zenu.
ni juu tunapenda raha. hatuna stress kila time kulialia. hakuna raha zaidi kushinda pombe na s3x
 
Huko forum zao ni makundi ya kikqbilq tu, wote wanazungumza lugha moja, kama wanapinga ni wote, kama wanaunga mkono ni wote.
Hakuna Mtzee anatoboa huko lakini sisi wakenya hapa JF ni chekechea si hata mnaona vile tunawahemesha kwa nyumba yenu, yani tunawachapa home and away bila jibu. Uliza jakoyo, geza ulole na moto chini.
 
Ninaposema wanazungumza lugha moja, sina maana ya language, ninamaanisha mtizamo mmoja kwa kuegemea kabila la kabila linalotawala kundi hilo.
nionyeshe sasa sehemu wanaegemea ukabila mmoja na sio mtazamo wa kisiasa
 
Hakuna Mtzee anatoboa huko lakini sisi wakenya hapa JF ni chekechea si hata mnaona vile tunawahemesha kwa nyumba yenu, yani tunawachapa home and away bila jibu. Uliza jakoyo, geza ulole na moto chini.
Huku mpo huru sana kutoa mawazo yenu bila kutukanwa kutokana na kabila lako, mngekuwa huko kwenu, tayari ungekuwa umeshatengwa kutokana na kabila lako.
 
17A9BE9B-493B-49CD-B4AA-FA7EFD042AC7.jpeg
 
Back
Top Bottom