Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hayo ni mawazo yako. Baki hivyo hivyo. unawazidi watu wote wa security Tanzania uelewa. Yaani mpaka watu kwenye bunge la ulaya wanapiga kelele ili kuweka shinikizo, bado huelewi.

Sijui kama mambo mazito utayajua.
Lisu hana power. But nyuma ya pazia kuna guvu yenye lengo la kuiangusha TZ kutoka Ubelgiji.
Kwanini watumie njia ngumu hiyo, wakati njia rahisi zimejaa tele.


Lissu ni vita za madaraka tu. Hakuna kitu kingine

20250522_134640.jpg
 
Wakati wa Magufuli alikuja Mkenya akajifanya mnunuzi wa Korosho, akawatapeli serikali

Unaona huoni busara kujadili jambo la Lissu kwenye uzi huu lakini wewe unajadili. Upo na akili timamu kweli?
 
Unaona huoni busara kujadili jambo la Lissu kwenye uzi huu lakini wewe unajadili. Upo na akili timamu kweli?
Wewe umeuliza nimekujibu.

Ulitaka nikakujiby wapi wakati umeleta hapa.

In short kuua watu wasio hata tishio kwa usalama ni USHAMBA na ROHO ya katili.

====

Mtu kama huyu ambaye hana wafuasi, hana pesa, hana silaha hata wembe.

Unamuua.

Kumwaga damu za watu wasio na hatia.

Hata chakula tunachojivunia, ipo siku kitakosekana.

Huwezi kumwaga damu kila mara damu za watu wasio na hatia kwenye ardhi then ukategemea ardhi hiyo iendelee kukuzalishia mazao ya chakula kila mwaka.

images (1).jpeg
 
Na kama ni mambo ya kitapeli nchi hii inatapeliwa kila siku.

Mtu hana sababu za kumtumia Lissu kupata anachotaka.

Akileta uchawa anapelekwa mpaka chumbani.


View: https://youtu.be/1h9Ap2lkLqM?si=SZYPYNBwNkcBVtc3

Duh kaka mifano uliyotoa kidogo kama haiendani na kitokeacho Tanzania kwa sasa.
-Mauaji ya Gaza yanaendana na hili la Tanzania!?
-Kupigania uhuru wa nchi toka kwa mkoloni yanaendana na hili la Tanzania!?
Kuna baadhi ya mambo ya kidiplomasia ni ya kutatuliwa within na Kuna mengine ni ya kutatuliwa kwa msukumo wa nje,ila inategemea huo msukumo wa nje ni wa namna gani.
Msukumo wa nje kutoka kwa wanaharakati wa Kenya hapana ulikua wa kuteteresha amani.
Nenda kwao Kenya uone walivyopaharibu,walitaka kuleta mentality hiyo hiyo Tanzania.
Hii sio kitu kizuri.
 
Wewe umeuliza nimekujibu.

Ulitaka nikakujiby wapi wakati umeleta hapa.

In short kuua watu wasio hata tishio kwa usalama ni USHAMBA na ROHO ya katili.

====

Mtu kama huyu ambaye hana wafuasi, hana pesa, hana silaha hata wembe.

Unamuua.

Kumwaga damu za watu wasio na hatia.

Hata chakula tunachojivunia, ipo siku kitakosekana.

Huwezi kumwaga damu kila mara damu za watu wasio na hatia kwenye ardhi then ukategema ardhi hiyo iendelee kukuzalishia mazao kila mwaka.

View attachment 3341930
Sasa wameuliwa unalo la kufanya? Na Lisu atahukumiwa kunyongwa mpaka kufa.

Amani inalindwa kwa Damu siyo porojo zako
 
Duh kaka mifano uliyotoa kidogo kama haiendani na kitokeacho Tanzania kwa sasa.
-Mauaji ya Gaza yanaendana na hili la Tanzania!?
-Kupigania uhuru wa nchi toka kwa mkoloni yanaendana na hili la Tanzania!?
Kuna baadhi ya mambo ya kidiplomasia ni ya kutatuliwa within na Kuna mengine ni ya kutatuliwa kwa msukumo wa nje,ila inategemea huo msukumo wa nje ni wa namna gani.
Msukumo wa nje kutoka kwa wanaharakati wa Kenya hapana ulikua wa kuteteresha amani.
Nenda kwao Kenya uone walivyopaharibu,walitaka kuleta mentality hiyo hiyo Tanzania.
Hii sio kitu kizuri.
Tulipigania uhuru wa nini?

Lengo la uhuru lilikiwa nini?

Matendo gani ya wakoloni ambayo watawala wa sasa hawafanyi?

Kila sehemu kuna matatizo.

Na watu wema huwezi kuwaweka mipaka.

Siyo kwamba TZ kila jambo ni zuri na siyo kwamba kila jambo Kenya ni zuri.
 
I thought you said we'd come begging for his release the whole week! What happened?
Kwani hamjaomba?
Mlitupa masaa 24 tukawapuuza.
Leo siku nzima mnaomba na barua mkaandika.
Kashikishwa adabu akatupwa Ukunda.
 
Back
Top Bottom