Kwanini watumie njia ngumu hiyo, wakati njia rahisi zimejaa tele.Hayo ni mawazo yako. Baki hivyo hivyo. unawazidi watu wote wa security Tanzania uelewa. Yaani mpaka watu kwenye bunge la ulaya wanapiga kelele ili kuweka shinikizo, bado huelewi.
Sijui kama mambo mazito utayajua.
Lisu hana power. But nyuma ya pazia kuna guvu yenye lengo la kuiangusha TZ kutoka Ubelgiji.
Lissu ni vita za madaraka tu. Hakuna kitu kingine