Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna nyumba iliyo kwa riverbed itabaki. Hio yote ni part of Nairobi River Regeneration Program.
Tuliza boli. The shanties will be demolished slowly as the new units become available.
Weka stockpile ya tissue, machozi itakuwa mingi.
Nairobi tu Ina population ya watu 2.5mil tukisema basi Kila slum familia iwe na watu 5, mahitaji units zaid ya 500,000 kwa nchi nzima , lakini nyinyi mnajenga nchi nzima units 150,000 ,
Kwa nchi nzima mnahitaji units 2mil maana 10mil wako kwa slums.
Na bahati mbaya majority ya wanaoishi kwenye slums hawana uwezo wa kulipia hiyo initial deposits
 

Haya tuanzie hapa sasa. Tunataka maelezo

1747738874982.png
 
Hakuna nyumba iliyo kwa riverbed itabaki. Hio yote ni part of Nairobi River Regeneration Program.
Tuliza boli. The shanties will be demolished slowly as the new units become available.
Weka stockpile ya tissue, machozi itakuwa mingi.
Sa unaturingishia kamradi ka vigorofa viwili vitatu we matrako.? 🤣🤣🤣
 
A quick Google search shows China gave TPDF a $550million loan to build 12,000 houses.
Lol. That's not even Mukuru project numbers alone.
You're boasting about a decade-long nationwide project that has produced fewer numbers than one project in Nairobi.

Fomu sixi on full display again. 😂😂😂

Kenya has over 150,000 housing units from the affordable program alone, in various stages of construction. Many more in planning or in courts.
As long as the housing levy exists, the money is there to scale this up to at least 1 million completed or ongoing houses in the next 5 years.
Halafu watanzania hawajengewi nyumba, hivi hamjifunzi kwenye clips kama hizi tunazoweka humu? Hii Dom ukiondoa naislum hakuna mkoa huko kwenu unaleta pua linapokuja suala la housing na hakuna miradi ya kitapeli ya nyumba za serikali kama huko kwenu


View: https://vm.tiktok.com/ZMSNSML7n/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
 

Huu mradi ni wa wizi yaani nikanunue 20sqm kwa 840,000 sawa na tzs 16,800,000 yaan sqm 1 tzs 840,000
wakati Tanzania nyumba nzuri sana zaid ya hizo kubwa kwa sqm 270,000 yaan thrice ya hiyo bei yenu

View: https://www.instagram.com/reel/DHNkWRwNbeP/?igsh=MWwyNTFlOXJqNng2bg==
 
Nairobi tu Ina population ya watu 2.5mil tukisema basi Kila slum familia iwe na watu 5, mahitaji units zaid ya 500,000 kwa nchi nzima , lakini nyinyi mnajenga nchi nzima units 150,000 ,
Kwa nchi nzima mnahitaji units 2mil maana 10mil wako kwa slums.
Na bahati mbaya majority ya wanaoishi kwenye slums hawana uwezo wa kulipia hiyo initial deposits
Bongolala unaumia kweli kweli. Badaa ya hizi kelele zote, ungetuambia sisiemu tukufu inafanya nini kuondoa slums zenu zilizotapakaa kila mahali. What is your government doing about this?
images - 2025-04-26T012824.599.jpeg
IMG_6821.jpeg
images - 2025-04-12T083655.807.jpeg
204833415_3084541728_z.jpg
images - 2025-01-24T122612.220.jpeg
 
Nairobi tu Ina population ya watu 2.5mil tukisema basi Kila slum familia iwe na watu 5, mahitaji units zaid ya 500,000 kwa nchi nzima , lakini nyinyi mnajenga nchi nzima units 150,000 ,
Kwa nchi nzima mnahitaji units 2mil maana 10mil wako kwa slums.
Na bahati mbaya majority ya wanaoishi kwenye slums hawana uwezo wa kulipia hiyo initial deposits
Unadhani Kenya nyumba zinajengwa na serikali pekee. Fomu sixi akifungua mdomo tu bure.
Na unazotaja hapa ni namba za bongoslum.

Mukuru project is only smaller than Egypt new city housing project, and Angola's Kilamba city, in Africa.
And there is another one of a similar size coming up in Kibera.
 
Basi tukubali hata waangalizi wa kimataifa kwenye chaguzi hawaruhisiwi kabisa kuja kwenye chaguzi zetu maana wanatakiwa washughulike na yaliyo kwenye nchi zao
Hawawezi kukuelewa hao Tanzania uchawa ni janga la taifa, mwaka juzi Jk alienda kenya kuhudhuria uchaguzi wa kenya sasa sijui jk naye ni mwanaharakatii
 
Unadhani Kenya nyumba zinajengwa na serikali pekee. Fomu sixi akifungua mdomo tu bure.
Na unazotaja hapa ni namba za bongoslum.

Mukuru project is only smaller than Egypt new city housing project, and Angola's Kilamba city, in Africa.
And there is another one of a similar size coming up in Kibera.
🤣🤣🤣🤣 mtu mmoja alisema wewe ni mpumbavu kama hizo 000 kwenye id yako .. size ya project ya new cairo ni 343km square.. almost the same size of Naipori city.
 
Back
Top Bottom