Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yale magugu kandokando ya Busisi bridge yameanza kutolewa 👇🏾.
View: https://www.instagram.com/p/DJr-6gYKihr/?img_index=2&igsh=MXM3eTJuc2hjeDNlaw==.

Safi sana hii ndio inatakiwa kila sehemu unaona government licha ya ufala at least haijaacha misingi ya nchi.

Cheki hii clip asee hat off wakati wenzetu wanapuliziwa kuua JIGGER
Hakuna utani kwenye kilimo alafu kuna kenge anakuja eti wakulima kutoka Kenya.


View: https://www.instagram.com/reel/DJGjBvUqmEn/?igsh=MWd4ZW50c2t2dmRjOQ==
 
Kenya ni kama kuku aliyekatwa kichwa, anapapatika tuu.
  • Walitoa 'A' levels sekondari ili wawe kama US, wakaharibu elimu yao
  • Walitoa mfumo wa regional govenments na kuweka counties kama US, corruption ikaongezeka
  • Tulipoziita ndege zetu majina ya Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro n.k na wao wakatuiga.
  • Tulipojenga mfumo wa BRT wakatuiga, sasa imewashinda
Hawawezi anzisha vitu vyao wenyewe, ni kuiga iga tuu.
Ila usishangae wanageuza wanasema tumewaiga.

Imagine tumewaiga BRT na BRT hawana na walivyojaribu walichora lipstick ikafa. Imagine tumewaiga na hawana hata ujuzi wa Deport wala bus station.
 
Kwa akili zao wanafikiri wanatuharibia biashara, kumbe wanatufanyia marketing.
Shida inakuja wapo kama wale wapiga debe wa stand, utasikia hii ndege inaenda Ngoro Ngoro ukikaa unafika so watu wanaasume ipo Kenya wanaanza itumia KQ mwisho wa siku Air Tanzania inakosa watalii or watalii wengi wanaishia NBO kuja kutupigia kelele ya namba.

Ndio maana Tz ilipopiga marufuku Tour Van za Kenya kuingia bongo kutalii walilia weee.

Huoni kila wakilimwa ban KQ kutua Dar haipiti siku wanakuja kujichekesha chekesha, maana tukiwazuia uongo wote

Wa Kilimanjaro ipo Kenya, Serengeti iko Kenya, Ngorongoro iko Kenya unakufa.

Imagine mtalii atue na hujui unampelekaje Kilimanjaro?
 
Gikomba On Fire 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

1747562905210.png


1747562886587.png
 
Shida inakuja wapo kama wale wapiga debe wa stand, utasikia hii ndege inaenda Ngoro Ngoro ukikaa unafika so watu wanaasume ipo Kenya wanaanza itumia KQ mwisho wa siku Air Tanzania inakosa watalii or watalii wengi wanaishia NBO kuja kutupigia kelele ya namba.

Ndio maana Tz ilipopiga marufuku Tour Van za Kenya kuingia bongo kutalii walilia weee.

Huoni kila wakilimwa ban KQ kutua Dar haipiti siku wanakuja kujichekesha chekesha, maana tukiwazuia uongo wote

Wa Kilimanjaro ipo Kenya, Serengeti iko Kenya, Ngorongoro iko Kenya unakufa.

Imagine mtalii atue na hujui unampelekaje Kilimanjaro?
Walikuwa wanawapitisha Sirari kuwaleta Serengeti.

Sema ndio hivyo, uongo huwa una mwisho.

Imagine ,tungejichanganya na Single tourist Visa??
 
I had actually made a long post on this hadi nikashare bei za Kenya za pizza zote nikaona heri nisipoteze wakati juu huyo ninayemjibu hananga akili. 🤣 🤣
I’m sure hata Pizza hajawaiona in real life. Yani mtu analinganisha bei ya small pizza na Extra large Pizza, watanzania ni washamba sana.
 
Haha yaan 200,000 acres zitimize 41 ya demand yenu annual, sasa hivi annual production Iko kwenye 3.2mil tonnes against total demand ya 5mil
Hapo bado mnaongezeka tu
That’s already more than 50%, wewe uogopi kwamba Galana itawapotezea soko ya Mahindi Kenya?
 
Back
Top Bottom