Kichaa wewe Tanzania most of junks foods tunapika nyumbani.Tena leo story imechange to Pizza inapika nyumbani? Si huko mbeleni Mlisema Pizza ni junk na ni bad for health? How come tena manzi pika nyumbani?
Anyway what I know hizi zote are just excuses of not eating Pizza.
Naweza hata nikakurekodia video Mimi nikipika hiyo pizza unayoila kwa bei kubwa hapo Nairobi.
Kenya washamba wa vyakula ndio maana hata chapati mnaona kama chakula Cha anasa.
Washamba nyie .