Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huna hoja Mzee , umesema language barrier sawa kwenu msomi ni yule anayejua kiingereza . Haya inakuwaje hizo nchi tajwa zimeendelea ila hazijui kiingereza ? Haya inakuwaje ukafanya exports au inakuwaje nyinyi Leo hiii mnakuja kununua bidhaa ambazo zinatoka njee wakati mngeweza kwenda wenyewe letsay china?
Msomi ni yule ambaye anaweza kuyatawala mazingira yake na akayageuza fursa badala ya kulaumu🤣🤣🤣.


Sasa wakenya nyinyi mnajua kulaumu tu na kutumika na usa
Na nyie ni fukara na hamjui English, boss try to apply logic and critical thinking angalau., was trying to break your fallacious mentality., unadhani nyie ni kama China in relation to development kwa vile hamjui kizungu idiocy on steroids 🤣🤣🤣🤣
 
Na nyie ni fukara na hamjui English, boss try to apply logic and critical thinking angalau., was trying to break your fallacious mentality., unadhani nyie ni kama China in relation to development kwa vile hamjui kizungu idiocy on steroids 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 jamani si mmeliona wenyewe hili pumbavu.? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hawana Cha maana wanajitapa na vigorofa uchwara tu.
Ulidhani mie naongea uongo kaka!?
Waje wabishe kama naongopa.
Taifa lenye uchumi unashindwa kujitosheleza kimishahara katika sekta yako ya umma!?
Huo uchumi wa dizaini gani!?
Bongo haijai tokea mishahara ikachelewa achia mbali kukosekanika kama Kenya.
Ikichelewa labda baadhi ya watumishi na huwa ni tatizo la mtandao katika kuingiza huo mshahara na haipiti wiki.
Sio mishahara tu Kuna kitu oc kinatumwa Kila mwez kwenye taasisi hata siku moja hakikosekani sembuse mishahara.
Kuna muda mnakusanya mpaka mnaaanza kuulizana vifungu vya bajeti vimebasti hela imepatikana mnaaanza kubembeleza Tena kutanunuliwa bajeti na hiyo ni kwa taasisi.
Kwa mfano tu sasa hivi ukizungukia karibia nusu ya halmashauri na manispaa washabasti na hela wanazo
 
Na nyie ni fukara na hamjui English, boss try to apply logic and critical thinking angalau., was trying to break your fallacious mentality., unadhani nyie ni kama China in relation to development kwa vile hamjui kizungu idiocy on steroids 🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo English ndo inakufanya uwe msomi, ndo maana mnaendelea kuibiwa tu, usomi ni pamoja na kujua kuiba bila kelele.
Mna GDP ya 130bil usd mmetuzidi kwa almost 50% ila mkija kwenye revenue collection mmetuzidi 1.6tril ambayo hazifiki hata 10 % tukiwambia hamna kitu mnaona tunawaonea usomi wenu ni kwenye maneno maneno🤣🤣🤣🤣na matusi
 
Is it abo

Is it about NGOs really!.., so if there wasn't any voice from the mentioned countries and some entities in Kenya or elsewhere raised an environmental concern, so ina maanisha according to you it's an indication eti mko vizuri?., ama ?🤔
It's the other way around, if it's quiet, it means we're doing the bid and being compliant.
 
Kaka kwene huu uzi kuna haya mapumbavu usiyatilie maanani huyo Don YF hilo fala nairobae na hicho kibera walker. 🤣🤣👇🏾 hayo yatadanganya vyovyote ili kushinda battle usiyatilie maanani kabisa, mapungu hayo. 🤣🤣🤣
Maumivu haya🤣🤣🤣🤣., unataka kila mtu awe boya kama wewe eti🤣🤣🤣🤣🤣.,
 
Huko keko watu wanahama linageuka kuwa eneo la viwanda.
Wanahana? I thought watu wa Dar wanamiliki ardhi wanazaiishi ndani? Tena wanahama zinageuka viwanda? What a bunch of desperados we have here!
 
Name them, weka evidence propagandist.., it's in the public domain tuone ni akina nani., who can stop global banks from financing such a project ., ujinga mzigo
IMG_3719.jpeg
 
Sasa kama mtu kanunua eneo na anataka kufanya expansion
So in Dar es salaam a residential area can become an industrial zone overnight? Yani all of a sudden watu na viwanda pua na mdomo?

Anyway, it's evident in all our residential areas. Planning was thrown out of the window
 
Back
Top Bottom