babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 13,285
- 35,687
FromSo huyu environmental activist mmoja anafanya mnafikiria ni mataifa ya wazungu zinapinga maendeleo yenu., huyu ni environmentist an advocate of clean energy, na pia anapinga ujenzi wa Nuclear plant in Kilifi hapa Kenya., so nyie mtasema Tanzannia mnaonewa na Kenya kwa akili zenu? mko hovyo kweli..,
View attachment 3333347
"Name them, weka evidence propagandist.., it's in the public domain tuone ni akina nani., who can stop global banks from financing such a project ., ujinga mzigo"
To
"So huyu environmental activist mmoja"
Hayo yote ni makasiriko ya kukosa fursa za EACOP.