Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa nini hatukusikia kelele kama hizo kutoka Rwanda, Burundi ama Zambia? kwani huko hakuna NGOs?
Zipo ila hamna chuki nao na hamwafuatilii kama mnavyotufuatilia.
La pili, Kenya is the hub of free speech and democracy in the region ndio maana hata nchi jirani wakitaka kuongea kiuhuru wanakujua Kenya.
 
Stick to pictures mjukuu🤣🤣🤣🤣., hauwelewi chochote., Magufuli city Dodoma iko vipi 2025?., niletee picha..,
Huna mada yoyote ya maana unayojadili manzee 🤣🤣🤣 ni empty talks unatueleza. Kwahiyo unajiona mwenyewe una akilii kwa kuandika hivyo.? Hapo unajiona umechangia mada kitaalamu kinoma eti.? 🤣🤣🤣 kuna wapumbavu wengine wala sikutarajia kukutana nao kwenye huu uso wa dunia.
 
Evidence ya kuogopa serikali ni ipo kwa mfano?
Hakuna mtu hajui hua munaficha aibu huko bongoslum. 🤣🤣🤣

20250514_100452.jpg
 
View attachment 3332950Nimejaribu kucheck issue ya mishahara ya umma, Kenya kumbe ni kweli.

Hawa watu wana uchumi FAKE sana.
Hawana Cha maana wanajitapa na vigorofa uchwara tu.
Ulidhani mie naongea uongo kaka!?
Waje wabishe kama naongopa.
Taifa lenye uchumi unashindwa kujitosheleza kimishahara katika sekta yako ya umma!?
Huo uchumi wa dizaini gani!?
Bongo haijai tokea mishahara ikachelewa achia mbali kukosekanika kama Kenya.
Ikichelewa labda baadhi ya watumishi na huwa ni tatizo la mtandao katika kuingiza huo mshahara na haipiti wiki.
 
Is it abo
Kwa nini hatukusikia kelele kama hizo kutoka Rwanda, Burundi ama Zambia? kwani huko hakuna NGOs?
Is it about NGOs really!.., so if there wasn't any voice from the mentioned countries and some entities in Kenya or elsewhere raised an environmental concern, so ina maanisha according to you it's an indication eti mko vizuri?., ama ?🤔
 
Zipo ila hamna chuki nao na hamwafuatilii kama mnavyotufuatilia.
La pili, Kenya is the hub of free speech and democracy in the region ndio maana hata nchi jirani wakitaka kuongea kiuhuru wanakujua Kenya.
Labda tukianza tu kwenye chuki kati ya Kenya na Tanzania nani anaongoza kwa kuwa na chuki na majirank zake?
Tukija kwenye mitandao tu Kuna chuki kati
Kenya versus Nigeria
Kenya versus Uganda
Kenya versus tanzania
Kenya versus Sudan
Actually ni karibia Kila nchi mnaugomvi nazo
Haya tutajie Tanzania Ina ugomvi na nchi gani
 
Huna mada yoyote ya maana unayojadili manzee 🤣🤣🤣 ni empty talks unatueleza. Kwahiyo unajiona mwenyewe una akilii kwa kuandika hivyo.? Hapo unajiona umechangia mada kitaalamu kinoma eti.? 🤣🤣🤣 kuna wapumbavu wengine wala sikutarajia kukutana nao kwenye huu uso wa dunia.
Picha iko wapi?.., riyawa ni ya nini?., 🤣🤣., size yako ni picha.🤣🤣
 
Is it abo

Is it about NGOs really!.., so if there wasn't any voice from the mentioned counties and some entities in Kenya or elsewhere raised an environmental concern, so ina maanisha according to you it's an indication eti mko vizuri?., ama ?🤔
Mwenyewe hapo unajiona bonge la genius. 🤣🤣🤣 unajiona umeandika point kisenge.. 🚮.
 
Did you mention water and sewer system ndani ya hizo nyumba?🤣🤣🤣🤣
Yani wewe mtu hujui hata sewer system inakaaje unatoa wapi nguvu ya kumention mambo sewerage system? Mibongolala wa Dar hutumia pit latrines
View attachment 3333153

And you also said proper roofs? Kwamba these are proper roofs? Hizi hapa?🤣🤣🤣View attachment 3333148View attachment 3333149View attachment 3333150View attachment 3333151View attachment 3333152

Just like most of you here, you have to find solace in Kibera everytime you are cornered. It's just 2.5 square kilometers, way too small to compare with your sprawling uswazi hovels that cover your entire cityscape
Huko keko watu wanahama linageuka kuwa eneo la viwanda.
 
Picha iko wapi?.., riyawa ni ya nini?., 🤣🤣., size yako ni picha.🤣🤣
Riyawa ❌ Riwaya✅ 🤣🤣🤣
Wewe ni kilaza tu pande zangu, chill. You are nothing. Nenda kaombe urudishiwe ada yako. Au babaako kauza ng’ombe ili asomeshe ng’ombe wewe.?

You aint any better 🤣 nakulinganisha na wadogo zangu kule nyumbani
 
Labda tukianza tu kwenye chuki kati ya Kenya na Tanzania nani anaongoza kwa kuwa na chuki na majirank zake?
Tukija kwenye mitandao tu Kuna chuki kati
Kenya versus Nigeria
Kenya versus Uganda
Kenya versus tanzania
Kenya versus Sudan
Actually ni karibia Kila nchi mnaugomvi nazo
Haya tutajie Tanzania Ina ugomvi na nchi gani
Unyonge na uwoga, Kisha language barrier ndio tatizo kwenu, ni Kenya pekee mnaweza zungumza nao Kiswahili, hapa ni wazi sana.., la sivyo nyie wagomvi sana wachokozi na wingi wa wivu na porojo.,
 
Back
Top Bottom