REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,602
- 11,523
Ndio maana Traore alitoa tano tu za kisela, wakati ile ilikuwa ziara nzito ya kidiplomasia. Something haiko right na yule mzee ni chata na ndio maana anapewa sana zile posts za wale watu. Lazima kuna kitu amefanya ama anawafanyia.Katika ile video alipokwenda Burkina Faso, kuna watanzania walianza ku dog whistle kwa wa Burkinabe wakisema muangalieni huyo jamaa, msimuamini sana.
Ile ziara ni kama ilikuwa ni zuga tuu, ili ku establish contacts, baadae wakajidai kwenda sijui Angola, kote huko ni kama danganya toto tuu. Kwa Traore ndo mpango mzima. Na Aziz Ki kijana wa watu wasijemtumia kuharibu nchi yake, kwa sasa wanampa pesa nyingi na kupagaishwa na K ya kibongo, asije jisahau, akajikuta anatumika.