Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanza Ethiopia ina watu zaidi milioni 150.

Ethiopia alikopa sana kibishi, ajajenga Bwawa kubwa sana la umeme (GERD).

Akajenga reli SGR (light rail) ndani ya Addis Ababa, akaipeleka mpaka Djibouti, kwenye bandari, maana Ethiopia hawana bandari.

Akawa anapika sana Data, na yeye ana thamani ya sarafu yake (Birr) akaiweka juu.

Alikuwa na GDP kubwa kuliko Kenya.

Juzi hapa IMF wamewaambia washushe thamani ya sarafu. Walileta ubishi ila wameshusha.
Aliyekopa na kupika data alikuwa ni watigray au serikali hii ya Abiy?
 
Wakopaji ni Watigray, ila Abiy anapika data.

Nadhani alitafuta namna ya kukopesheka, baada ya Debt to GDP ratio kuwa kubwa sana
Nimepata picha hapa, kwa nini watigray wanapendwa sana na "the globalist", hata wakapewa ukatibu mkuu WHO. Inanipa ukakas zaidi, Janabi kupigiwa chepuo kwenda WHO na Kikwete kwa Traore, hii ni kama cover tuu. Mungu amlinde yule Kijana kwa kweli.
 
Nimepata picha hapa, kwa nini watigray wanapendwa sana na "the globalist", hata wakapewa ukatibu mkuu WHO. Inanipa ukakas zaidi, Janabi kupigiwa chepuo huko, huku wakienda na Kikwete kwa Traore kumpigia chapuo, kama cover. Mungu mlinde yule Kijana kwa kweli.
Huyu mzee katutenda sana kama taifa kwa yule mtu wetu. Naamini alikuwa kiuongo.
 
He is getting ready to leave Jigger nation as the result of poverty. Wachezaji hela hawapati, chakula, malazi ni hovyo. In short, Kenya ni hustler-state, chokoraa-nation. They couldn't keep such a cheap coach!

nairobae kennedy0000 Nicxie Teargass mwaiofhawaii Don YF NairobiWalker


1747073337265.png
 
Huyu mzee katutenda sana kama taifa kwa yule mtu wetu. Naamini alikuwa kiuongo.
Katika ile video alipokwenda Burkina Faso, kuna watanzania walianza ku dog whistle kwa wa Burkinabe wakisema muangalieni huyo jamaa, msimuamini sana.

Ile ziara ni kama ilikuwa ni zuga tuu, ili ku establish contacts, baadae wakajidai kwenda sijui Angola, kote huko ni kama danganya toto tuu. Kwa Traore ndo mpango mzima. Na Aziz Ki kijana wa watu wasijemtumia kuharibu nchi yake, kwa sasa wanampa pesa nyingi na kupagaishwa na K ya kibongo, asije jisahau, akajikuta anatumika.
 
Back
Top Bottom