Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeanza wasiwasi mapema sana.
May be an image of lumberyard and text that says 'M m Square Meter #throwbackthursday We reflect back on the progress of The Beacon Mall Then Now''M m Square Meter #throwbackthursday We reflect back on the progress of The Beacon Mall Then Now'
Nipate wasi wasi na haka kaduka mzee.? 🤣🤣🤣👇🏾
IMG_7284.jpeg
IMG_7285.jpeg
 
Tumekuzoea Kwa kuropokwa lakini dawa yako hua moja tu, utuambie anchor tenant ni nani? 🤣🤣 Then unaenda mitini.
Heb ngoja twende ground. Hii hapa Africana square hata hatuiti mall. 👇🏾
IMG_7294.jpeg
this is inside it 👇🏾
IMG_7295.jpeg
chek it out bro. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DFxkLmponoW/?igsh=MWI2Y3k0dmVnZnFqcA==. Ndugu zenu hawaji ku shop huku kwa bahati mbaya budaa. Kuna investments tumefanya. 🤣🤣🤣 sasa hii ni ndogo tu. Nakungoja ulete kamdomo nikupige kichapo. We unaleta vibanda una claim ati ni malls. 🤣🤣🤣
 
Wengine ilitupita hii ya Ethiopia, naomba uelezee kidogo.
Kwanza Ethiopia ina watu zaidi milioni 150.

Ethiopia alikopa sana kibishi, akajenga Bwawa kubwa sana la umeme (GERD).

Akajenga reli SGR (light rail) ndani ya Addis Ababa, akaipeleka mpaka Djibouti, kwenye bandari, maana Ethiopia hawana bandari.

Akawa anapika sana Data, na yeye ana thamani ya sarafu yake (Birr) akaiweka juu.

Alikuwa na GDP kubwa kuliko Kenya.

Juzi hapa IMF wamewaambia washushe thamani ya sarafu. Walileta ubishi ila wameshusha.
 
Kwanza Ethiopia ina watu zaidi milioni 150.

Ethiopia alikopa sana kibishi, ajajenga Bwawa kubwa sana la umeme (GERD).

Akajenga reli SGR (light rail) ndani ya Addis Ababa, akaipeleka mpaka Djibouti, kwenye bandari, maana Ethiopia hawana bandari.

Akawa anapika sana Data, na yeye ana thamani ya sarafu yake (Birr) akaiweka juu.

Alikuwa na GDP kubwa kuliko Kenya.

Juzi hapa IMF wamewaambia washushe thamani ya sarafu. Walileta ubishi ila wameshusha.
umesahau vita na Tigray region!
 
Heb ngoja twende ground. Hii hapa Africana square hata hatuiti mall. 👇🏾View attachment 3331965this is inside it 👇🏾View attachment 3331966chek it out bro. 👇🏾
View: https://www.instagram.com/reel/DFxkLmponoW/?igsh=MWI2Y3k0dmVnZnFqcA==. Ndugu zenu hawaji ku shop huku kwa bahati mbaya budaa. Kuna investments tumefanya. 🤣🤣🤣 sasa hii ni ndogo tu. Nakungoja ulete kamdomo nikupige kichapo. We unaleta vibanda una claim ati ni malls. 🤣🤣🤣

Nini cha maana hapa, ama hio duka inafanana na China square ndio unataka tuone? Kama ni hio, hizo tushazizoea huku Kenya. 🤣 🤣 🤣 Lakini ushamba ni mbaya, nani alikuambia Nairobi hakuna business premises with the name Square instead of a mall? The words can be used interchangeably.
 
Nini cha maana hapa, ama hio duka inafanana na China square ndio unataka tuone? Kama ni hio, hizo tushazizoea huku Kenya. 🤣 🤣 🤣 Lakini ushamba ni mbaya, nani alikuambia Nairobi hakuna business premises with the name Square instead of a mall? The words can be used interchangeably.
Heb basi fanya comparison according to what ulituambia ni mall huko kwenu. Runda mall 👇🏾🤣🤣🤣
IMG_7297.jpeg
hii ni Africana square. 👇🏾
IMG_7294.jpeg
🤣🤣🤣 ukishindwa unajielezea sanaa. 🤣🤣🤣
 
Huu mji ungekuwa na ufukwe wa bahari duuu sijui wezee walifeli wapi kupima na kuipanga Dar mapema
Hata sasa hivi Dar inawezekana wakiamua. Weka sheria kali za kusimamisha ujenzi holela, rekebisha yale maeneo yaliyojengwa hovyo, basi, mambo yatakuwa safi.

Kutakuwa na collateral damage za hapa na pale lakini tuangalie faida ya miaka 50 ijayo.
 
umesahau vita na Tigray region!
Yes, ana vita eneo la Tigray.

Na ana beef na Eritrea, jirani yake.

====

Mwenzake Kenya anapika GDP kwenye bodaboda, Ethiopia wanapika GDP kwenye kilimo, mpaka wakashtukiwa.

Ethiopia wanafanya vizuri sana kwenye Kahawa, ila eneo la nchi kubwa ni kame.
Screenshot_20250512_201122_Chrome.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20250512_201122_Chrome.jpg
    Screenshot_20250512_201122_Chrome.jpg
    394 KB · Views: 22
Heb basi fanya comparison according to what ulituambia ni mall huko kwenu. Runda mall 👇🏾🤣🤣🤣View attachment 3331986hii ni Africana square. 👇🏾View attachment 3331987🤣🤣🤣 ukishindwa unajielezea sanaa. 🤣🤣🤣
Amenities, hio Runda Mall ikona almost everything under one roof. Maduka and brands ziko hapo utazipata kwa any other mall, then compare hii kitu unatupostia hata branding tu ni shida. 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom