Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mzigo tayari wakuu.
IMG_7270.jpeg
IMG_7275.jpeg
Nyuma ya hii kunayo karakana ya BRT. Mambo ni moto moto. 🔥🔥🔥
 

View: https://vm.tiktok.com/ZNdMyj8Kq/ hii ndio buyeye,safi sana,kundudwellers wakiwaona wazungu wanafuata tamaduni za kitanzania,mavi yanawabana

Ile ya mwanzo ilikuwa buyeye hii anayocheza ni Bununguli

Kuna mkundi mawili ya ngoma huko. Bagalu na Bagika haya makundi huwa yana shindana. Kila kundi lipo na aina ya ngoma zake.

Bayeye wanaochenza ngoma ya buyeye ni bagika. Banunguli wanocheza ngoma ya bununguli ni Bagalu.

Hayo makundi ni kama Simba na Yanga.

Watu wa huko lazima uwe upande wa kundi moja.
 
Wameambiwa wafanye currency devaluation!
Wamengangania currency kama roho wakikubali tuu kwisha kazi, debt to GDP ratio will shoot over the roof like a rocket, uwezo wa kukopa utapungua na kichaka cha jidipiii na LMIC kitafyekelewa mbali. waache wanganganie artificial growth sisi tukae na popcorn na soda tuu muda sio mrefu tutaona makanjanja yao yote hadharani.
 
Wamengangania currency kama roho wakikubali tuu kwisha kazi, debt to GDP ratio will shoot over the roof like a rocket, uwezo wa kukopa utapungua na kichaka cha jidipiii na LMIC kitafyekelewa mbali. waache wanganganie artificial growth sisi tukae na popcorn na soda tuu muda sio mrefu tutaona makanjanja yao yote hadharani.
Ukiona wanasema wame-give up kukopa IMF wakati ambao wako too desperate sana na mikopo, ujue ni kweli IMF wamewapa ukweli mchungu.

Ngoja wajivute vute, kama alivyofanya Ethiopia, IMF hawakwepeki watarudi kwao na watatekeleza masharti yao kama kawaida.
 
Hawafanyi regulation. Serikali inakusanya kodi tu.

Masikini Kenya hana wa kumtetea.

Wanasema ndio capitalism
shida viongozi wao wanafanya biashara zao humohumo ndio maana hawataki regulation ili wa maximize profit na hongo they really dont care about the common mwananchi. somehow naona sisi katika vitu vingine vya kudai haki yetu tuko mbele sana kuzidi wao ila kwenye siasa tuu ndio tunafeli. kiongozi wa TZ hawezi fanya madudu ya uchumi kama wanavyofanya viongozi wa Kenya.
 
shida viongozi wao wanafanya biashara zao humohumo ndio maana hawataki regulation ili wa maximize profit na hongo they really dont care about the common mwananchi. somehow naona sisi katika vitu vingine vya kudai haki yetu tuko mbele sana kuzidi wao ila kwenye siasa tuu ndio tunafeli. kiongozi wa TZ hawezi fanya madudu ya uchumi kama wanavyofanya viongozi wa Kenya.
Kenya ni Kampuni ya wahuni.

Ndio maana Kenya hakuna vyama vya siasa.

Ni wahuni wachache wenye ushawishi (Kingpins) wanaungana wanachukua madaraka, wanaanza kupiga.
 
Back
Top Bottom