Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I don't know what you are trying to say.

Sisi ni Watanzania tunajenga kote unakoona.

Maisha hayafanani.

Ila Nairobi, matajiri wamewawekea FENCE.

TAJIRI ni TAJIRI na MASIKINI ni MASIKINI.

Ndio maana mitaa ya Matajiri Nairobi ni super rich, masikini hasogei kwasababu hiyo mitaa mingi ni PRIVATE OWNED ESTATES nad CITIES.

Sisis hatuna mitaa inayomilikiwa na kampuni au MTU.
Kuishi Kwa estate Nairobi sio big deal. Naona mumezoea poverty huko Dar is a slum hadi unadhani the super rich pekee ndio wanaishii Kwa estates. Alafu PRIVATE ESTATES and CITIES ndio nini? Au ulikua unataka zikue owned na government?
 
Hauwez tumia labda illegally, ili tuweze kuseme unaweza tumia ilitakiwa utuoneshe ni wap price quotes za bidhaa mbalimbali zimewekwa kwa ksh. Tanzania wafanyabiashara wengi hupokea hela hata ikiwa ya Burundi maana wanajua wanaweza kuzichange ila huwez Kuta price tags zikiwa kwa hizo currency husika.
Na kinachomaanishwa hapo kulikuwa Kuna tendency ya kuquote au baadhi ya makampuni kulazimisha kulipwa kwa dolla kama nice one kwa wale exporters hicho ndo kilichokataliwa. Wewe hukuwa na hela ila bei ya bidhaa ilikuwa kwa tsh ukalazimishwa kununua hiyo kitu kwa rate ya yah ila ukalipa ksh .
Yaan mfano t- shirt inauzwa tsh 20000 ukawa huna tsh akakuambia utanilipa kwa rate ya 18tsh/ksh ambayo ni sawa na 1,110.ksh then yeye anaenda kidia pale akamlipia mzigo tu ambaye kaagiza mzigo toka Nairobi kwa rate ya 21 sawa na 23,000tsh wewe ukamuona mjinga kumbe kashakupiga 3000tsh na hiyo ndo biasharaa Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣.
Hata Mimi Leo ukija unataka letsay unga una ksh nakubali fasta maana najua hutakuwa na alternative kwa bei ambayo nitapanga Nini matokeo yake natengeneza faida mara mbili.
Hii maneno yote punguza brathe

View: https://x.com/btrcernest/status/1919754637030158585?s=46
 
Pharmacy haiishii tu kwenye pharmacokinetics na pharmacodynamics.
Kabla hujafikia hizo mbili itabidi usome pharmacology kwanza.
Na kwenye pharmacology ndipo mzizi wa pharmacy ambao Chemistry ulipo.
Chemistry ni mzizi wa pharmacy.
Wacha ujuaji mwingi.
Quacks like you aren’t allowed to discuss anything medicine with other people. Chemistry is a broad term so ukisema chemistry is the backbone of pharmacology what do you mean? There are so many branches of Chemistry that does not relate with pharmacology, example being inorganic Chemistry.

Alafu you are contradicting yourself, pharmacology is just a tree that branches into pharmacokinetics and pharmacodynamics. In short, pharmacokinetics and pharmacodynamics when put together forms pharmacology.

Yes, Chemistry is the backbone of Pharmacology just like biology, but not everyone who studied general chemistry or biology will understand Pharmacology. Anyway, I don’t even know why I’m wasting my time discussing with a quack.
 
Kisumu City Anderson & Lumumba Housing project. 15 floors Each block
1746573153964~2.jpg
1746574002839.jpg
 

Attachments

  • 1746574218456.jpg
    1746574218456.jpg
    232 KB · Views: 27
Back
Top Bottom