buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,129
- 13,110
TWIGA MINERALS Joint Venture 50/50 economic benefits.Magufuli pamoja na vita nzito, tulipata 16% pekee.
Alifumua leseni nyingi za kijinga hivyo hata huo wa Sengerema ulikua kwa Leseni Ya Barrick hadi huko Tembo ila baada ya Kupitisha sheria Permanent Sovereignty over Natural Resources, serikali ilikua na uwezo wa kupitia every natural resources na kubadili.ikiwa aliyepewa hanufaishi.
Alafu baada ya kubadilisha regulations aliweka kitu inaitwa LOCAL CONTENTS it means mgodi utatumia local contractors pale ambapo wanaweza kwa kila shughuli nenda tu mgodi wa NORTH MARA BAADA YA HIZI KUPITA NOW SHUGHULI ZIMECHANGE
TAIFA (CASPIAN MINING) - Kubeba Mawe kutoka machimboni hadi crasher before alikuwepo KIRIBO LTD(Mzawa kabisa wa Nyamongo) akitumia hizi Bell) na hajulikani kabisa utajiri
Kuna kampuni nyingi kwa sasa Nyamongo zinafanya General Supply, Manpower supply, Contractors.
Ni benefits nyingi hata ukitoa 16% ya serikali yaani kiujumla faida nyingi sana.
Ila siku hizi hiyo LOCAL CONTENTS MIGODI MINGINE kama inadharauliwa hasa ya WACHINA kisa wamehonga kidogo 😡🤬🤬
Angalia tu hata gesi hao kina ExxonMobil etc ambao sasa wamekuja walikua close ila aliona kama haijakaa sawa akawapa TPDC muda wapitie vizuri maana aliona kama kuna chenga ila ajabu wizara ya kifala na Bodi ipo imemuweka kizuizini MKUU WA TPDC MATARAGIO.
Even hata haya masoko ya Madini alianzia huko, kutoa baadhi ya watu wa leseni za juu kushikilia hadi machimbo madogo kuwaondoa waende eneo la leseni tu, ndio maana hata siku hizi wabongo mambo yameanza jipa kwenye madini.
Ila inasikitisha baada ya Huu uchawa kuna wachina wanapewa machimbo madogo ambayo ni KINYUME CHA SHERIA KABISA na Mitz mijinga mijinga kwa kuwa ili isishitukiwe inaenda kufanya uchawa kwa nguvu.