Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa nyinyi ambao munaita nyumba self contained eti ni Master munajua nini kuhusu standards. Sasa Ile siku mtajua ensuite si watu watakua wameenda Kwa dunia ingine. 🤣🤣 Washamba with low standards nyinyi, hata dawa si hua munaprefer za Kenya expensive kwasababu ni better than hizo zenu low standards.
Ni dawa ipi tunayo prefer ya kenya.? 🤣🤣🤣🤣🤣 kwanza Tangu nizaliwe ni panadol pekee ndio dawa nimewahi kuona kutoka kenya. Wakati najitafuta tafuta nimewahi kufanya marketing na kijikampuni cha Sales cha Kenya, soko lake lilikua linasua sua mpaka ni kwere aisee.
 
Yani kumbe unatutajia tofauti ya maneno ya kiingereza kwako ndio standards aaah Juha kweli wewe 🤣🤣🤣🤣. Wew punga kabisa.
Nyumba Master ndio nini sasa. 🤣🤣 You know nothing about standards bana.
 
Ni dawa ipi tunayo prefer ya kenya.? 🤣🤣🤣🤣🤣 kwanza Tangu nizaliwe ni panadol pekee ndio dawa nimewahi kuona kutoka kenya. Wakati najitafuta tafuta nimewahi kufanya marketing na kijikampuni cha Sales cha Kenya, soko lake lilikua linasua sua mpaka ni kwere aisee.
Si heri wewe unajua Panadol kutoka Kenya. Mimi sijui hata dawa moja kutoka bongoslum. 🤣🤣 Vitu mumejaza huku ni zile advertisement za waganga tu.
 
Incompetent kwasababu kaeleza umaskini wenu juu ya Tz.? 🤣🤣🤣 mnalinda brand, bora mfe njaa au muugue hadi kufa kuliko kuonekana mmesaidiwa na Tz. 🤣🤣🤣
Incompetent is even an understatement.
 
Umeumwa hadi umeenda kutafuta taarifa ya 5 years ago. 🤣🤣 Sasa si heri hao ni wanaanchi wa kawaida, nyinyi president wenu na opposition leader si waliletwa Kenya kufanyiwa matibabu.
Kwahiyo sasa hivi hawafati tena matibabu au .?

Sasa mbona habari ya opposition leader ni habari ya miaka 10 iliyopita.? Au alikuja tena kufata matibabu.? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom